Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

Fukara wa akili wewe,kwani huna uwezo wa kuziongeza Hadi uige.?
Tuige ujinga sio?

Wewe unaweza kumnunulia mwanao boda ajiajiri?

Ni CCM pekee, wanaotembelea V8, wanawanunulia watendaji boda boda waendee kazini.
 
Tuige ujinga sio?

Wewe unaweza kumnunulia mwanao boda ajiajiri?

Ni CCM pekee, wanaotembelea V8, wanawanunulia watendaji boda boda waendee kazini.
Ujinga kwako ila usilazimishe wanaonufaika na hiyo kazi wawe kama wewe..

Na mtaendelea kuangukia pua Kila uchaguzi.
 
Kwani hukioni hicho Cha maana? Tafsiro Yako ya Cha maana ni ipi kwani tukusaidie?
Tafriri yangu ya maana ni Maendeleo. Maendeleo yaliyopo hayaendani na muda tulioutumia na rasilimali zilizopo. Kuna maeneo ambayo actually tumeunder achieve kama vile elimu, kilimo, afya na maendeleo ya mtu binafsi.

Thanks to poor strategies za CCM for the past 60 years.
 
Godbless Lema wa Chadema....
View attachment 2534970

Kwamba bodaboda ni kazi ya laana! Sawa tumekusikia! Ebu tuambie kama umeona hao ni laana! Ina maana kwamba hata abiria wao nao ni laana kubwa zaidi. Maana wao ndio wanaowawezesha hao bodaboda kuweza kujiendesha kutokana na malipo wanayowalipa. Na ikumbukwe kwamba wananchi wengi wa kipato cha kati na cha chini ndio wanaonufaika na huduma hii ya bodaboda nchini Tanzania. Na pia ikumbukwe kwamba kwa hapa nchini Tanzania, hilo tabaka pia ndio ambalo linashiriki siasa katika kiwango cha upigaji kura kwenye chaguzi mbalimbali.

Je, Lema unamaanisha hata wapiga kura wa nchi hii nao wamelaaniwa? Pia tuambie... kama bodaboda ni laana nchi hii. Inakuwaje mnaowatumia kwenye shughuli zenu zote za kisiasa nchini? Je, mnaitumia laana ili kupata political mileage toka kwao?

#Lema na #Chadema njooni hapa mtutajie nchi ya Afrika ambako hakuna bodaboda! Na mnapowaita bodaboda laana, ni kazi ipi mmewaandalia ambayo ni mbadala wa hiyo laana! Msiishie kuchonganisha wananchi huku mkiwa hamna lolote la mbadala vichwani. Mfano mzuri ni hapo #Kenya kwa Rutto, aliwaahidi Paradiso kwa kujiita "Hustler"... Nenda leo Kenya au angalia media zao na uone kinachojiri huko...
Yaani hapo abiria laana, mwendeshaji laana, muuzaji laana hata wanaochukua kodi laana sijui nani atabaki kwenye laana hii ya taifa.
 
Sahihi kabisa
Jaribuni kufikiria kidogo, kwanini Bongo Kuna bodaboda, Dubai, Marekani, Canada hakuna bodaboda? Kwanini kijana wa Tanzania, akose ajira ya maana viwandani,akimbilie bodaboda kama mbadala wa kusongesha maisha?

Ni ufukara tu na umaskini wa nchi yetu.

Ulaana wake upo hapo,waendesha boda hawana laaana,kazi yao jinsi isivyo na Mapato na staha za kuleta maisha Bora,ndio laaana hiyo, tunaamua kufanya kazi za hovyo Ili mkono uende kinywani. Hii haikupangwa na Mungu, ni mipango duni ya CCM kwa miaka 60!

Vijana wa Zenj, na wamasai wanakuwa ma beachboy wanatumika kama sex toys kwa wazungu,kwa vile wanapata vipato tuipambe hiyo kazi kama kazi ya maana? Ni laaana tupu.
 
Hao vijana Kiboko wanafanya hivyo kwa sababu viwanda ni vichache sana na vijana wafanyakazi wamejaa mtaani, siku kukiwa na viwanda vingi na wafanyakazi wazuri wakawa adimu hawataweza kuwanyanyasasa wafanyakazi wao ambao watakuwa wanaweza kuunda hadi trade unions.
Kuna wakati ni heri kijana akaendesha bodaboda kwa kipato cha kawaida na risks nyingi kuliko kwenda pale Kiboko kuwa mfanyakazi wa kiwanda cha bomba(hollow sections) na nondo. Trust me!
 
Tafriri yangu ya maana ni Maendeleo. Maendeleo yaliyopo hayaendani na muda tulioutumia na rasilimali zilizopo. Kuna maeneo ambayo actually tumeunder achieve kama vile elimu, kilimo, afya na maendeleo ya mtu binafsi.

Thanks to poor strategies za CCM for the past 60 years.
Chadema ndio italeta maendeleo?
 
Lema alizungumza mambo mazito kuhusu sababu za kutoroka, mateso nk. Lakini hili wazandiki wamejaribu kupotosha kwa nguvu zote. Kwa nini walikimbia ni jambo zito sana lakini mhh!
 
Jaribuni kufikiria kidogo, kwanini Bongo Kuna bodaboda, Dubai, Marekani, Canada hakuna bodaboda? Kwanini kijana wa Tanzania, akose ajira ya maana viwandani,akimbilie bodaboda kama mbadala wa kusongesha maisha?

Ni ufukara tu na umaskini wa nchi yetu.

Ulaana wake upo hapo,waendesha boda hawana laaana,kazi yao jinsi isivyo na Mapato na staha za kuleta maisha Bora,ndio laaana hiyo, tunaamua kufanya kazi za hovyo Ili mkono uende kinywani. Hii haikupangwa na Mungu, ni mipango duni ya CCM kwa miaka 60!

Vijana wa Zenj, na wamasai wanakuwa ma beachboy wanatumika kama sex toys kwa wazungu,kwa vile wanapata vipato tuipambe hiyo kazi kama kazi ya maana? Ni laaana tupu.
Sawa wacha tufanye kazi za baraka za siasa tugombee ubunge nasi tukalipwe maposho, maana kama hata Lema mwenyewe ameifanya hiyo kazi na bado anaitaka ni wazi hiyo ndio kazi yenye baraka isiyo na laana.
 
Ukitoka ulaya bodaboda lazma uione laana
... nikama ukitoka uarabuni kumkumbatia na kumbusu mke wamtu na laana tuhlaii...
Tujifunze tusikurupukie mambo!
 
Mtu anamaliza degree kisha anapiga boda, hayo hayakua malengo. Hilo nijanga
Kazi hiyo sio yakujivunia. Hakuna boda anaejivunia kazi hiyo. Tatizo nikwamba hakuna mbadala ndio maana
Mbadala ni siasa tena inalipa sana bongo, Msukuma ni elimu ya msingi tu ila anafanya kazi ya maana yenye baraka yupo mjengoni yote hayo ni siasa.
 
Godbless Lema wa Chadema....
View attachment 2534970

Kwamba bodaboda ni kazi ya laana! Sawa tumekusikia! Ebu tuambie kama umeona hao ni laana! Ina maana kwamba hata abiria wao nao ni laana kubwa zaidi. Maana wao ndio wanaowawezesha hao bodaboda kuweza kujiendesha kutokana na malipo wanayowalipa. Na ikumbukwe kwamba wananchi wengi wa kipato cha kati na cha chini ndio wanaonufaika na huduma hii ya bodaboda nchini Tanzania. Na pia ikumbukwe kwamba kwa hapa nchini Tanzania, hilo tabaka pia ndio ambalo linashiriki siasa katika kiwango cha upigaji kura kwenye chaguzi mbalimbali.

Je, Lema unamaanisha hata wapiga kura wa nchi hii nao wamelaaniwa? Pia tuambie... kama bodaboda ni laana nchi hii. Inakuwaje mnaowatumia kwenye shughuli zenu zote za kisiasa nchini? Je, mnaitumia laana ili kupata political mileage toka kwao?

#Lema na #Chadema njooni hapa mtutajie nchi ya Afrika ambako hakuna bodaboda! Na mnapowaita bodaboda laana, ni kazi ipi mmewaandalia ambayo ni mbadala wa hiyo laana! Msiishie kuchonganisha wananchi huku mkiwa hamna lolote la mbadala vichwani. Mfano mzuri ni hapo #Kenya kwa Rutto, aliwaahidi Paradiso kwa kujiita "Hustler"... Nenda leo Kenya au angalia media zao na uone kinachojiri huko...
Uwezo wako wa kufikiri unatia mashaka.
Kwa hiyo kwako hata Ukahaba kwa vile unaingiza kipato ni kazi isiyo na laana?
Nadhani hata huyu mwanaccm mwenzako atakuunga mkono kama atakuwa sio wewe!
IMG-20230302-WA0010.jpg
 
Uwezo wako wa kufikiri unatia mashaka.
Kwa hiyo kwako hata Ukahaba kwa vile unaingiza kipato ni kazi isiyo na laana?
Nadhani hata huyu mwanaccm mwenzako atakuunga mkono kama atakuwa sio wewe!
View attachment 2536450
Chadema ni genge la Chokoraa!

Msilazimishe kila mtu kuamini na kuwaza kama mnavyowaza nyinyi.
Unaposema BodaBoda ni laana....nimewauliza je!
Watumiaji nao tumelaaniwa?
Nimewauliza je!
Nchi xote zenye Bodaboda pia zimelaaniwa?
Halafu hii tabia Chadema ndio kwao!
Ha..ha..haaa!
Sio kila unapochokoza ni sahihi bwashee @Chakazwa!
[emoji116]
FB_IMG_1677677487143.jpg
FB_IMG_1676843846803.jpg
JamiiForums972103401.jpg
 
Back
Top Bottom