Lema: Kuna Vijana walitaka kuiba Mwenge Arusha wakaukosa, nilisikitika sana

Yeye amewahi kuona wapi mzimu unaibwa?.Ibeni muone kama hamjafa ukoo wenu wote,dadeki![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wasingefanikiwa kwani kunakuwa na mwenge wa spea ndani ya mojawapo ya magari.Mwenge si mbaya bali ingafamyika mara Moja katika miaka mitano
 
wazee wa ni zamu yetu kwisha kabisa,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,malaana ni yale mnayoendaga kuyafanya mwezi wa 12 na hija zenu za mchongo
 
Nabii anahimiza uwizi ,hakika jasiri haachi asili
 
Kwahiyo nayo hiyo ni ajenda ya Chadema? Hongereni!
 
Ndugu yangu
Mwenge ni zindiko tena linaambatana na kafara za watu wasio na hatia.

Msimu wa kukimbiza mwenge kunakuwa na ongezeko la ajali zinazogharimu maisha ya watu.

Mwenge huu utupwe. Haufai hata kuweka Makumbusho
 
Pamoja na kuwa hatukubaliani kwenye masuala mengi, kwa hili, naunga mkono. Badala ya kuuza sera za Chama chake, anafanya Hamasa za Kuiba Mwenge. Haya ndio aliyofundishwa na Masters wake Canada.

Lema ni Kibaraka wa Mabeberu wenye Siasa za mrengo wa kulia. Siaisa za Utengano, na mifumo kandamizi. Ukizingatia rangi ya ngozi yake na ukishakuwa kwenye kundi kama hilo, unabakia kuwa "house Boy"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…