Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
Yeye amewahi kuona wapi mzimu unaibwa?.Ibeni muone kama hamjafa ukoo wenu wote,dadeki![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Orodha ya Mizimu iliyoibiwa mkoani Kigoma
Je umewahi kusikia milango 7 ya kuzimu ya Ziwa tanganyika? sio hadithi za kusikika ni vitu ambavyo vipo na vinatendeka hadi sasa, tutaileta mada hiyo siku zijazo, leo tunazungumzia Mizimu iliyoibiwa hapa mkoani Kigoma. Itakuchukua dk 12 kusoma taarifa za maajabu haya Kwanza fahamu maana ya...