wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Tumuombe Mungu atuvushe salama.Aliyekuwa Mbunge Arusha Mjini, Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Twitter amesema msafara wa Tundu Lissu umevamiwa katika Ofisi za Chama hicho Wilayani Hai
Amesema "Msafara wa mgombea Urais Mh Tundu Lissu umevamiwa na kushambuliwa vibaya katika ofisi ya CHADEMA HAI,magari yame haribiwa. Mgombea Uraisi na Team yake wako salama. Polisi wako lakini wana shuhudia, mkutano umevunjika. Taarifa kamili kuwajia"
Wewe bwabwaMuulizeni Mwkt Mbowe kwa nini imetokea kwenye jimbo lake??
Heshima huwa haiji hivi hivi.Haya yasipo dhibitiwa Kuna hatari huu uchaguzi wa mwaka huu kukatokea machafuko.
Ndiyo ushukuru sasaWanaweza kuwa wameahambuliwa na nyuki tu lkn kwa haraka za kuwa wa kwanza kuripoti ndo inakuwa hivyo
Kuna tetesi kuwa kuna mwenzenu mmoja kakumbana na hasira za wananchi katangulizwa, ndiyo muwache kimbelembeleWanaweza kuwa wameahambuliwa na nyuki tu lkn kwa haraka za kuwa wa kwanza kuripoti ndo inakuwa hivyo
Kipindi Cha kampeni upo umuhimu wa kukodi huduma ya ulinzi kutoka ktk kampuni binafsi wakisaidiwa na red brigade...
Inasemekana ni vijana was MCC na katika mapigano amekufa kijana mmoja wa MCCSasa Wameshambuliwa Na Nani
Mbona Habari Hujaivisha Nguo Ikaeleweka
Ofisi Imechomwa Usiku Wewe Unasema Saa Hizi
Lo nani alikuwa mwizi wazamani wa magari?Acha bangi wewe. Nani ahangaike na nyinyi mna sera gani za kutisha watu mpka watu wawavamie. Mgombea wenu kila sehemu anaongelea risasi risasi, anatafuta huruma ya wananchi. Mnavunja sheria, hakuna anayesumbuka nanyinyi, mmeamua kuapply plan B kwa kuanza kutengeneza Matukio wenyewe. Mastemind wa haya matukio ni huyo mwizi wa zamani wa magari. Yaani matukio yote yaongozane halafu yatokee kanda ya kaskazini tu.
Nadhani ni wakati muafaka wa kupiga marufuku hii misafara ya Lissu tuone kama kuna matukio yatatokea. Atafute wadhamini kimya kimya kupitia Makatibu wa wilaya na mikoa. Hakuna ulazima wowote wa yeye kwenda kuhutubia, kama watu wanamkubali watamdhamini tu.
Nasikia kibaka mmoja yuko icu baada ya wananchi wenye hasira kumfundisha adabuHapa ndio patamu tulipokuwa tunapataka
Wahamiaji haramu wote lazima tuwarudishe kwenu BurundiBaada ya kuzunguka kote sasa mmeanza chochoko ili tu mvuruge uchaguzi.
CHADEMA mtaishia matukio tu lakini ikulu hamtaiona. Bahati mbaya hamjuo CCM ndio iko madarakani na ina intelijensia yote.
Mkifanyiana unyama mkikamatwa iwe kiki..mwendo wa kuwachungulia tu na kuwapuuuza.
Afu mnataka vyombo vya habari viwatangaze na upuuzi huu?
Kibaka mwenzenu mmoja nasikia kapokea adhabu toka kwa wananchi wenye hasiraMnaanzisha Vurugu hata kabla ya Kampeni CHADEMA Uhuni mnataacha Lini?
Yeye kama Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi Wilaya atueleze kuwa kazi imemshinda?Usitarajie hayo kufanyika,
Mkuu wa hiyo wilaya nae achunguzwe.
Safari hii mmeshikwa pabaya,Huyu ndio Kiboko ya Jiwe,Mlishindwa kumuua sasa basi mtamtisha na nini tena.Acha bangi wewe. Nani ahangaike na nyinyi mna sera gani za kutisha watu mpka watu wawavamie. Mgombea wenu kila sehemu anaongelea risasi risasi, anatafuta huruma ya wananchi. Mnavunja sheria, hakuna anayesumbuka nanyinyi, mmeamua kuapply plan B kwa kuanza kutengeneza Matukio wenyewe. Mastemind wa haya matukio ni huyo mwizi wa zamani wa magari. Yaani matukio yote yaongozane halafu yatokee kanda ya kaskazini tu.
Nadhani ni wakati muafaka wa kupiga marufuku hii misafara ya Lissu tuone kama kuna matukio yatatokea. Atafute wadhamini kimya kimya kupitia Makatibu wa wilaya na mikoa. Hakuna ulazima wowote wa yeye kwenda kuhutubia, kama watu wanamkubali watamdhamini tu.