HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Hiyo ni mipango ya Ole Sabai, nawaambia bila kumrestisha in pisi huyo dogi atasumbua sana
kooumaChadema acheni kuumizana wenyewe kwa wenyewe haya mambo kaeni muoongee msuluhishane myamalize.
Mmeilea nyoka inayoitwa sabaya.Upo sahihi.. Yule anataka anataka kumuaminisha boss kubwa kwamba kaifuta chadema..
Mkuu hii ni hatari sana watakuja kushituka wakati watu wameshajaa visasi mioyoni mwao.Inasemekana mrusha mawe mmoja kauwawa na wananchi huko.
Polisi walikuwepo wakiangalia tu kama sinema vile.
Endelea kuchochea hasira za watu ila usijejuta yakiwa yamehamia huko unakodhani kuna ulinzi wa kutosha.Tatizo wewe hujui, watu wa kaskazini siyo wale wa miaka ile, huyu tarumbeta wenu hawajui amekwenda kufanya mkutano au amekwenda kutafuta wadhamini? watu wa kaskazini ni wasomi, hiyo ni salamu tuu kuwa awamu hii kaskazini kwa upande wa Rais anajulikana, wazee walishaomba upatanisho na Mh. Magufuli hawataki kufanya makosa wanataka maendeleo. Pia hicho ni chama chao, wanashangaa lijitu limetokea wapi ambalo halijulikani miaka 3 lilikuwa wapi? hajui CHADEMA imepitia machungu gani eti yeye anakurupuka anaanza kuleta sera za uchochezi na RAMRI chonganishi. Wazee wa KILIMANJARO HONGERENI SANA
Huu ni muda wa kudeploy red brigades kwenye matukio kama hayo. Wakija wahuni wachache wanakutana na nguvu sawa au ikibidi zaidi ya ile waliyokuja nayo. Muhenga Newton aliliona hilo kitambo sana: to every action, there should always be an equal and opposite reaction
Acha upuuzi wewe. Kwani wilayani kwake kuna uzio wa kuwazuia wahuni wanaorubuniwa na Mkuu wa wilaya?? Muda sio mrefu mtacheka kama hamtolia.
Ulitaka washambulie watu ?
Rais Magufuli atuachie nchi yetu imemshinda.Mkuu hii ni hatari sana watakuja kushituka wakati watu wameshajaa visasi mioyoni mwao.
Mungu atuepushe tufanye siasa za kistaarabu.
Utaanza wewe kurestishwa mkuu. Hizo ni mbinu za kijinga za Mwenyekiti wa Maisha wa Saccos.Hiyo ni mipango ya Ole Sabai, nawaambia bila kumrestisha in pisi huyo dogi atasumbua sana
Aliyekuwa Mbunge Arusha Mjini, Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Twitter amesema msafara wa Tundu Lissu umevamiwa katika Ofisi za Chama hicho Wilayani Hai
Amesema "Msafara wa mgombea Urais Mh Tundu Lissu umevamiwa na kushambuliwa vibaya katika ofisi ya CHADEMA HAI,magari yame haribiwa. Mgombea Uraisi na Team yake wako salama. Polisi wako lakini wana shuhudia, mkutano umevunjika. Taarifa kamili kuwajia"
Unatafuta mabwana weweNataka kupata habari kamili. Kupata picha halisi ya tukio. Au habari imeletwa hapa kwa lengo gani kama haielezi hali halisi ya tukio?
Una nchi wewe?Rais Magufuli atuachie nchi yetu imemshinda.
[emoji706]Una nchi wewe?
Kuna kitu kinakwenda kumpata huyo DC wa hapo mwaka huu.Aliyekuwa Mbunge Arusha Mjini, Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Twitter amesema msafara wa Tundu Lissu umevamiwa katika Ofisi za Chama hicho Wilayani Hai
Amesema "Msafara wa mgombea Urais Mh Tundu Lissu umevamiwa na kushambuliwa vibaya katika ofisi ya CHADEMA HAI,magari yame haribiwa. Mgombea Uraisi na Team yake wako salama. Polisi wako lakini wana shuhudia, mkutano umevunjika. Taarifa kamili kuwajia"
Hakuna chama chochote kinachohusika hapo. Ni wao wenyewe wanayatengeneza hayo matukio.Hii ni hatari kwa mstakabali wa Taifa,vipi upande wa pili wakiamua kujibu mashambulizi.
Wote kwa pamoja tukemee bila kujali vyama vyetu, maana hali ikibadilika haiangalii ulishiriki ama hukushiriki.
Wakamatwe na nani wakati anaetakiwa kuwakamata ndio amewatuma kushambulia
Hao ni wapinzani tu. Kwa nini iwe Hai?? Tumia ubongo wako vizuri. Kwa nini kwenye jimbo la Mwenyekiti unataka kutuaminisha kuwa Lissu hakjbaliki kwenye jimbo la Mbowe??Yaani cha kushangaza kuna watu hapa watatetea waleta fujo, wachoma ofisi, wavamiaji. Kama tulivyosema ukiwapata watu kwenye mioyo hakuna wa kuzuia. Wanatengeneza mazingira ya fujo halafu wasingizie upinzani!!!