Lema aache kumpangia mtu maneno yakuongea na kumuongoza lissu nini afanye haya yanafanywa na watu wanaojipendekeza ndio maana wanaitwa machawa wewe huwezi kuona kwasababu umekunywa damu ya chama
Uchawa unakufanya kipofu. Lema ameripoti tu yaliyosemwa na Lissu lakini kwa uchawa wako unaona kuwa anataka kuwa mentor wa Lissu. Kuwa mkweli tu kuwa una usongo na Chadema. Ni haki yako na hamna atakaye kulaumu au kukubeza. Ukweli utakupa uhuru.