Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa vipi? Mashabiki wa CCM si ndio mmesema kuwa itolewe fomu moja tu! Shida ni kuwa nyie mnataka tukubali kila mnachosema. Wewe kama mshabiki wa CCM sema nimekosea wapi.Shida mnaushabiki wa vyama sana kama ingekuwa ni upande wa CCM sidhani ungeongea kama hivyo
Wewe ndiye umeliweka vyema hili,wachangiaji wengi wa hapo juu ndiyo hao wapambe anaowazungumzia Lissu.Bottom line ni statement nzima kwamba "wapambe wasitugombanishe". Chadema hakuna crisis yoyote kama ni kugombea urais, mbona Lissu aligombea 2020 licha ya Mbowe kuchukuliwa fomu ya urais na wapambe?
Issue kubwa ya hiyo statement ni kwamba Lissu hataki wapambe wawakosanishe wakati personally anamheshimu Mbowe and vice versa kwa kurejea issue ya Mbowe kusimama kwenye ndege akishikilia chupa za kumuongezea damu hadi Nairobi.
Fadhila 🐼Wewe ndiye umeliweka vyema hili,wachangiaji wengi wa hapo juu ndiyo hao wapambe anaowazungumzia Lissu.
Haha hapa ndio huwa nawaelewa Chadema sasa...Chama hapewi chasaka
Swali zuri sana.Kwahiyo ataishi Milele?🐼
Nasikia ukitumia siasa unapata mkopo benki 😃Siasa ni mchanganyiko wa uongo uongo na wizi na utapeli na ufisadi na propaganda na mengineyo
Kwanza nikusahihishe Mimi sio mshabiki wa chama chochote cha siasa nimeongea hivyo cos lema ameact kama ni chawa wa mbowe kitu ambacho mmekuwa mkikipigia hapa kelele kwa kiongozi kugeuka machawaKwa vipi? Mashabiki wa CCM si ndio mmesema kuwa itolewe fomu moja tu! Shida ni kuwa nyie mnataka tukubali kila mnachosema. Wewe kama mshabiki wa CCM sema nimekosea wapi.
Amandla...
Exactly!Nasikia ukitumia siasa unapata mkopo benki 😃
Ndio wote mnavyosema mnapotaka kujifanya mko neutral. Lema ameelezea alichosikia unakimbilia kumvisha jina ambalo wengi mmekuwa mkiitwa. Sio dhambi kuwa mshabiki wa chama chechote. Muhimu ni kuwa mkweli na sio kuchochea majungu.Kwanza nikusahihishe Mimi sio mshabiki wa chama chochote cha siasa nimeongea hivyo cos lema ameact kama ni chawa wa mbowe kitu ambacho mmekuwa mkikipigia hapa kelele kwa kiongozi kugeuka machawa
SIHASAUnaweza kuta hata hajasema yani siasa ni siasa tu
io kupoteana ,ingepotezwa!Bila Mbowe Chadema wangekuwa wamepoteana kitambo
Halafu Ramadan Kareem anafuturisha na kujiita Ustaadh AbubakarKwamba bado Mbowe anataka kuwa mwenyekiti wa cdm? Si alisema 2024 ndio mwisho wake?! Upuuzi mtupu.
Lema aache kumpangia mtu maneno yakuongea na kumuongoza lissu nini afanye haya yanafanywa na watu wanaojipendekeza ndio maana wanaitwa machawa wewe huwezi kuona kwasababu umekunywa damu ya chamaNdio wote mnavyosema mnapotaka kujifanya mko neutral. Lema ameelezea alichosikia unakimbilia kumvisha jina ambalo wengi mmekuwa mkiitwa. Sio dhambi kuwa mshabiki wa chama chechote. Muhimu ni kuwa mkweli na sio kuchochea majungu.
Amandla...