Pre GE2025 Lema: Nikiwa na Wenje, Heche na Msigwa makamu Tundu Lisu alituhakikishia Nafasi atakayogombea Mbowe basi Yeye hatachukua fomu!

Pre GE2025 Lema: Nikiwa na Wenje, Heche na Msigwa makamu Tundu Lisu alituhakikishia Nafasi atakayogombea Mbowe basi Yeye hatachukua fomu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bottom line ni statement nzima kwamba "wapambe wasitugombanishe". Chadema hakuna crisis yoyote kama ni kugombea urais, mbona Lissu aligombea 2020 licha ya Mbowe kuchukuliwa fomu ya urais na wapambe?

Issue kubwa ya hiyo statement ni kwamba Lissu hataki wapambe wawakosanishe wakati personally anamheshimu Mbowe and vice versa kwa kurejea issue ya Mbowe kusimama kwenye ndege akishikilia chupa za kumuongezea damu hadi Nairobi.
Wewe ndiye umeliweka vyema hili,wachangiaji wengi wa hapo juu ndiyo hao wapambe anaowazungumzia Lissu.
 
Kwa vipi? Mashabiki wa CCM si ndio mmesema kuwa itolewe fomu moja tu! Shida ni kuwa nyie mnataka tukubali kila mnachosema. Wewe kama mshabiki wa CCM sema nimekosea wapi.

Amandla...
Kwanza nikusahihishe Mimi sio mshabiki wa chama chochote cha siasa nimeongea hivyo cos lema ameact kama ni chawa wa mbowe kitu ambacho mmekuwa mkikipigia hapa kelele kwa kiongozi kugeuka machawa
 
CHADEMA ni mithili ya mwanamke kahaba. Unaweza jaribu kumpenda kidhati ila ipo siku aidha utamfumania anagongwa kisela au kukuta hata msg tu ya mapenzi toka kwa wanaume wengine.
 
Kwamba bado Mbowe anataka kuwa mwenyekiti wa cdm? Si alisema 2024 ndio mwisho wake?! Upuuzi mtupu.
 
Kwanza nikusahihishe Mimi sio mshabiki wa chama chochote cha siasa nimeongea hivyo cos lema ameact kama ni chawa wa mbowe kitu ambacho mmekuwa mkikipigia hapa kelele kwa kiongozi kugeuka machawa
Ndio wote mnavyosema mnapotaka kujifanya mko neutral. Lema ameelezea alichosikia unakimbilia kumvisha jina ambalo wengi mmekuwa mkiitwa. Sio dhambi kuwa mshabiki wa chama chechote. Muhimu ni kuwa mkweli na sio kuchochea majungu.

Amandla...
 
Kwamba bado Mbowe anataka kuwa mwenyekiti wa cdm? Si alisema 2024 ndio mwisho wake?! Upuuzi mtupu.
Halafu Ramadan Kareem anafuturisha na kujiita Ustaadh Abubakar

Muislam akiahidi anatimiza 🐼
 
Hivi mtu akichukua fomu kwa ajili ya kuchuana na bingwa mtetetzi inatafsiriwa kama ni vita au ndio democrasia. Aisee nimeamini democrasia ni ngumu kutekelezeka wewe isikie tu kwa mwenzako, kumbe hata ambao hawataki kubadili katiba nao wapo sahihi.
 
Vyama vichanga vinataka mtu makini bila hivyo vitapoteana na kuyumba kabisa

Mwalimu alikijenga chama tangu 1960 akang’atuka 1990 jumla Miaka 30 akitengezena chama .

Mbowe akigombea Tena bila kupingwa sio tatizo .
Wazungu wametumia zaidi ya miaka 100 kujenga demokrasia imara .
Marekani yenyewe pamoja na kujiita kiongozi wa demokrasia duniani udhaifu wake wa kupiga kura ni mkubwa Mpaka Leo na Hata mfumo wa mahakama za chini una madhaifu kiasi kwamba trump na republicans hawauamini .
 
Ndio wote mnavyosema mnapotaka kujifanya mko neutral. Lema ameelezea alichosikia unakimbilia kumvisha jina ambalo wengi mmekuwa mkiitwa. Sio dhambi kuwa mshabiki wa chama chechote. Muhimu ni kuwa mkweli na sio kuchochea majungu.

Amandla...
Lema aache kumpangia mtu maneno yakuongea na kumuongoza lissu nini afanye haya yanafanywa na watu wanaojipendekeza ndio maana wanaitwa machawa wewe huwezi kuona kwasababu umekunywa damu ya chama
 
Back
Top Bottom