Pre GE2025 Lema: Nikiwa na Wenje, Heche na Msigwa makamu Tundu Lisu alituhakikishia Nafasi atakayogombea Mbowe basi Yeye hatachukua fomu!

Pre GE2025 Lema: Nikiwa na Wenje, Heche na Msigwa makamu Tundu Lisu alituhakikishia Nafasi atakayogombea Mbowe basi Yeye hatachukua fomu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Godbless Lema ameandika ukurasani X

Halafu wakitoka hapo wanasema CCM inatoa Fomu Moja

Siasa za Tanzania pasua kichwa sana aiseee

====

Nimeona andiko la BOB Wangwe na maandiko mengine ya watu wengi pamoja na ushauri wake.

Jibu langu kwenu ni hili ,tukiwa Arusha mahali fulani kwenye mazungumzo yetu ambapo nilikuwepo pamoja na Kamanda Wenje, Heche,Msigwa na Mkti F.Mbowe, Mh Lissu aliongea maneno haya “ Nanukuu “ Kaka , Mwenyekiti , ulibeba chupa ya damu nisife wkt nimeshambuliwa kutoka Dodoma ukiwa umesimama kwenye ndege mpaka Nairobi, na ulikaa Nairobi na wenzako hawa muda wote wa matibabu yangu , siwezi kuchukua fomu utakayogusa kwenye Chama hiki,tusiruhusu wapambe watuharibie CHAMA “.

Maneno haya niliyasikia Mimi, Heche, Msigwa, Wenje na Mwenyekiti Mbowe.Hakuna vita kwenye nafasi ya Urais CHADEMA isipokuwa kuna wapambe wajinga na CCM haswa ktk muelekeo wa siasa 2024/2025.

View attachment 2981595
Huyu Lema ndio muharibifu namba moja wa Chadema na unabii wake fake

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
 
Godbless Lema ameandika ukurasani X

Halafu wakitoka hapo wanasema CCM inatoa Fomu Moja

Siasa za Tanzania pasua kichwa sana aiseee

====

Nimeona andiko la BOB Wangwe na maandiko mengine ya watu wengi pamoja na ushauri wake.

Jibu langu kwenu ni hili ,tukiwa Arusha mahali fulani kwenye mazungumzo yetu ambapo nilikuwepo pamoja na Kamanda Wenje, Heche,Msigwa na Mkti F.Mbowe, Mh Lissu aliongea maneno haya “ Nanukuu “ Kaka , Mwenyekiti , ulibeba chupa ya damu nisife wkt nimeshambuliwa kutoka Dodoma ukiwa umesimama kwenye ndege mpaka Nairobi, na ulikaa Nairobi na wenzako hawa muda wote wa matibabu yangu , siwezi kuchukua fomu utakayogusa kwenye Chama hiki,tusiruhusu wapambe watuharibie CHAMA “.

Maneno haya niliyasikia Mimi, Heche, Msigwa, Wenje na Mwenyekiti Mbowe.Hakuna vita kwenye nafasi ya Urais CHADEMA isipokuwa kuna wapambe wajinga na CCM haswa ktk muelekeo wa siasa 2024/2025.

View attachment 2981595
Lisu anachochea moto, Lema anazima moto kwa kuililia moshi wa CCM dah 🐒
 
Godbless Lema ameandika ukurasani X

Halafu wakitoka hapo wanasema CCM inatoa Fomu Moja

Siasa za Tanzania pasua kichwa sana aiseee

====

Nimeona andiko la BOB Wangwe na maandiko mengine ya watu wengi pamoja na ushauri wake.

Jibu langu kwenu ni hili ,tukiwa Arusha mahali fulani kwenye mazungumzo yetu ambapo nilikuwepo pamoja na Kamanda Wenje, Heche,Msigwa na Mkti F.Mbowe, Mh Lissu aliongea maneno haya “ Nanukuu “ Kaka , Mwenyekiti , ulibeba chupa ya damu nisife wkt nimeshambuliwa kutoka Dodoma ukiwa umesimama kwenye ndege mpaka Nairobi, na ulikaa Nairobi na wenzako hawa muda wote wa matibabu yangu , siwezi kuchukua fomu utakayogusa kwenye Chama hiki,tusiruhusu wapambe watuharibie CHAMA “.

Maneno haya niliyasikia Mimi, Heche, Msigwa, Wenje na Mwenyekiti Mbowe.Hakuna vita kwenye nafasi ya Urais CHADEMA isipokuwa kuna wapambe wajinga na CCM haswa ktk muelekeo wa siasa 2024/2025.

View attachment 2981595
Hii kauli ina ubaya gani? Kuwa Lissu kumwamini Mbowe na kumuona ni kiongozi mzuri kuna ubaya? Je, Lissu alisema Mbowe asipingwe na wengine wanaotaka kufanya hivyo? Je, Lissu alisema Mbowe awe mwenyekiti wa maisha wa CHADEMA?
 
Godbless Lema ameandika ukurasani X

Halafu wakitoka hapo wanasema CCM inatoa Fomu Moja

Siasa za Tanzania pasua kichwa sana aiseee

====

Nimeona andiko la BOB Wangwe na maandiko mengine ya watu wengi pamoja na ushauri wake.

Jibu langu kwenu ni hili ,tukiwa Arusha mahali fulani kwenye mazungumzo yetu ambapo nilikuwepo pamoja na Kamanda Wenje, Heche,Msigwa na Mkti F.Mbowe, Mh Lissu aliongea maneno haya “ Nanukuu “ Kaka , Mwenyekiti , ulibeba chupa ya damu nisife wkt nimeshambuliwa kutoka Dodoma ukiwa umesimama kwenye ndege mpaka Nairobi, na ulikaa Nairobi na wenzako hawa muda wote wa matibabu yangu , siwezi kuchukua fomu utakayogusa kwenye Chama hiki,tusiruhusu wapambe watuharibie CHAMA “.

Maneno haya niliyasikia Mimi, Heche, Msigwa, Wenje na Mwenyekiti Mbowe.Hakuna vita kwenye nafasi ya Urais CHADEMA isipokuwa kuna wapambe wajinga na CCM haswa ktk muelekeo wa siasa 2024/2025.

View attachment 2981595
Yohana unatakiwa uwe unafikiri wakati mwingine. Alichosema Lema ni kuwa Lissu alimuahidi Mwenyekiti wake kuwa hatashindana nae katika kugombea nafasi yeyote. Hajakatazwa bali ni utashi wake. Aidha, hamna mtu yeyote ( ikiwa pamoja na Lissu) aliyekatazwa na chama kugombea nafasi yeyote katika Chama.
Hii ni tofauti sana na huko kwenu ambako kuna jitihada za kutoa fomu tu kwa mgombea wa urais (kwenu nafasi ya uenyekiti ya chama haijawahi kugombewa) na hivyo kuzuia mtu mwingine yeyote kuwa mgombea wa nafasi hiyo kwa niaba ya chama chenu!

Amandla...
 
Lema kazingua sana, hapo ni kwamba anamkumbusha Lissu ahadi yake wala sio kujibu hoja za Bob Wangwe na wenziwe kama anavyodai.

Siasa za fadhila ndizo tunazozipiga vita kila wakati, zikitumika kutoa vyeo isivyo kihalali. Leo hii nao wanakumbushana fadhila, ujinga mtupu.
Lissu hawezi kupewa uwenyekiti Chadema hana busara na hekima za kiuongozi chama kitayumba bora ya HECHE mara kumi.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Mleta mada umeandika kitu tofauti na kile alichoandika Lema kwenye ukurasa wake wa X.

Lema kaongelea fomu ya uenyekiti, wewe unaongelea urais.

Hebu soma tena

Kuna uhusiano gani kati ya mbowe kuokoa uhai wa lisu na kugombea uenyekitiki?

Lile tendo la fadhili alilotenda mbowe kwa lisu na kuchukua fomu ya uenyekiti lisiwekwe chungu kimoja cha demokrasia. Kufanya hivyo kutapoteza maana ya ule wema wake na kuonekana alifanya kwa kumuhonga lisu ili awe mtiifu kwake.
 
It's too late. Chawa hamwezi kuokoa jahazi lililozamishwa na Lema. Statement ya Lema iko wazi kumwambia Lissu akumbuke fadhila. Na hapo Lema kamwambia kistaarabu sana kwasababu Lema alishawahi kumshurutisha kiongozi mwenzake Msigwa afute post yake kwa neno moja tu FUTA.
That's nonsense.... mbona 2020 Mbowe alichukua fomu na Lissu alichukua fomu ya urais pia? Fadhila zisilipwe 2020 zije kulipwa 2025? Mmeshaambiwa wapambe acheni chokochoko!! Chadema hakuna mgogoro.
 
Yohana unatakiwa uwe unafikiri wakati mwingine. Alichosema Lema ni kuwa Lissu alimuahidi Mwenyekiti wake kuwa hatashindana nae katika kugombea nafasi yeyote. Hajakatazwa bali ni utashi wake. Aidha, hamna mtu yeyote ( ikiwa pamoja na Lissu) aliyekatazwa na chama kugombea nafasi yeyote katika Chama.
Hii ni tofauti sana na huko kwenu ambako kuna jitihada za kutoa fomu tu kwa mgombea wa urais (kwenu nafasi ya uenyekiti ya chama haijawahi kugombewa) na hivyo kuzuia mtu mwingine yeyote kuwa mgombea wa nafasi hiyo kwa niaba ya chama chenu!

Amandla...
Shida mnaushabiki wa vyama sana kama ingekuwa ni upande wa CCM sidhani ungeongea kama hivyo
 
Kwa hiyo kumbe issue hapo ni mgombea urais ... okay
 
That's nonsense.... mbona 2020 Mbowe alichukua fomu na Lissu alichukua fomu ya urais pia? Fadhila zisilipwe 2020 zije kulipwa 2025? Mmeshaambiwa wapambe acheni chokochoko!! Chadema hakuna mgogoro.
Hayo maswali muulize Lema.
 
Hiki CHAMA Kimekuwa kikubwa sana ndiyo maana mishale ni mingi
 
Back
Top Bottom