Lema ulifutiwa makosa na Rais Samia lakini unataka Pauline Gekul ang'ang'aniwe. Tabia za kubebana msipende maana zinaharibu mfumo

Acheni upambe na siasa za maji taka. Tusitetee maovu kwa kisingizio cha siasa. Unyama alioufanya huyu Paulina ni wa kukemewa na anastahili adhabu. Hizo taaruki alizokusabishia Lema kama alisema uongo ni jambo jingine.
Shangaa sijui angefanyiwa mume wake angefurahi
 
Wewe ni mpumbavu
 
Issue sio lema bali ni unyanyasaji aliofanyiwa kijana.
 
We mwanaCCM jinai ni jinai tu. Kila mtu anatakibwa ashitakiwe kwa kosa alilotenda.
Unataka kutuambia Samia kajigeuza mahakama anawafutia watu makosa ya jinai? Unayoyaita makosa kwa Lema yalikuwa ya kubambikiwa kisiasa. Samia ni Rais anazo taarifa sahihi kuliko wewe. Hakurupuki kufanya maamuzi kwa kufuata umbea wa mitandaoni.
 
Acha ujinga kwa hyo kumtia mtoto wa watu chupa ya makalio we unaona ni sawa?acha usenge
Huyu anayejiita kamanda asiyechoka ni shoga ndiyo maana anaona mtoto wa watu kuingiziwa chupa makalioni ni sawa kwa vile yeye mwenyewe hana marinda
 
Unataka kutuambia Samia kajigeuza mahakama anawafutia watu makosa ya jinai? Unayoyaita makosa kwa Lema yalikuwa ya kubambikiwa kisiasa. Samia ni Rais anazo taarifa sahihi kuliko wewe. Hakurupuki kufanya maamuzi kwa kufuata umbea wa mitandaoni.
Kwenda zako huko. Lema hakutoa kauli za uchochezi huko Singida?
 
Lema aliongea wapi uongo au u hichezi? Au ukweli ndo uchichezi. Nani asiyejua kuwa jpm kaua watu kibao akiwemo huyo aliyemsema. Ulitaka serikali ndo ije itamke kwamba ni kweli tumeua ndo uamini. Lini serikali ilikiri kuua. Uwe unatumia akili basi
 
Lema aliongea wapi uongo au u hichezi? Au ukweli ndo uchichezi. Nani asiyejua kuwa jpm kaua watu kibao akiwemo huyo aliyemsema. Ulitaka serikali ndo ije itamke kwamba ni kweli tumeua ndo uamini. Lini serikali ilikiri kuua. Uwe unatumia akili basi
Thibitisha
 
Utakalia hayo hayo ya thibitieha na mahakama zetu hizi za kupigiwa simu kutoka ikulu. Ingekuwa mahakama zipo huru ingeenda kuthibitisha mahakamani
Kwani humu huwezi kuweka video ya namna serikali inaua watu?
 
Kwahiyo Gekul chupa angekuwekea wewe unduni ungemsamehe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…