Your browser is not able to display this video.

Mwiba wa ujambazi?

Ujinga mtupu.
 
Hakuna wa kumbugudhi.
 
Utamfanya nini?

Panya road tu wanawapeleka puta
Ndugu mm hata kumsogelea siwezi.
Ila Karma ndo ina majibu yote.

Ukitenda haki utalipwa.

Ukitenda dhulma utalipwa.

Haachwi mtu hakiachwi kitu,malipo kwa kika angle yapo.
Karibu.
 
Mungu ni mwema sana ,haki ya mtu haipotei, huyu alitolewa kafara sababu ya kutaka kumkomoa kisa Mr Culture akatumia urafiki wake na Born town kumlazimisha CEO.
 
Atakuja sawa mtaaani ila ataishi kama digi digi yule mwengine wa Daslam.
Ardhi hii ba ndugu inapaswa uikanyage kwa adabu,sana.
Ipo siku utaogopa hata vishindo vya miguu yako mwenyewe.
Hawezi ishi ka digidigi atatembea kifua mbele mtaa
 
Kijana wa watu ameonewa sana, haki ya mtu haipotei.
 
Ni roho mbaya tu za watu kutaka jamaa azidi kuteseka zaidi wakati mateso anayopitia saizi bado yamekuwa too heavy to handle

Nina noma kama mhakama itatoa kibali cha kumfufua yule kibopa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…