Anarudi mtaa upi? Kimeo cha uhujumu uchumi kakimaliza?

Akipatikana na hatia ni miaka 30, its over yet, Sabaya ataendelea kukaa jela mpaka siku ya hukumu kesi yake haina dhamana.
Mlisema alikua anawabaka, mpelekeeni sasa hivi kwa hiari.

Mafi yako
 
Wenye chuki wajinyonge...
 

Na usishangae akitoka akawafanyizia waliotoa ushahidi kwenye kesi yake, na wasifanywe lolote hata serikali ikijua.
 
Ewaaaaah [emoji1787][emoji1787]
.
Sabaya anarudi kasongo kama Mtuhumiwa na Sio Kama Mfungwa.
.
Jaji Kisanya Kanifuraisha Sana Leo.
.
Brain man adv. Mauna na Adv. Magafu Wanai-enjoy Sana Leo Hapa Arusha [emoji2]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu nilimwambia mda sanaa akanibishia, nimeelewa kile kijiwe sio level yangu
 
Kama gaidi katoka iweje kwa anayefanya uvamizi 😁😁
 
safi sana haki imepatakana, dogo alikuwa anaonewa tuu, yaani ma - CCM yamtume kufanya mauaji alafu hayo hayo mwisho wa siku yamtoe kafara, hapana, hapana. ila hili la Sabaya liwe fundisho kwa vijana wengine walio na kiherehe here kama Sabaya…...
 
Wazungu huwa wanamsemo mmoja kuwa Negroes hawawezi kujiongoza wenyewe

Nimeanza kuwaamini.
 
Na usishangae akitoka akawafanyizia waliotoa ushahidi kwenye kesi yake, na wasifanywe lolote hata serikali ikijua.
Bavicha mlisema sabaya alikua anawabaka, haya mpelekeeni tena hayo masaburi kwa hiari yenu.
 
[emoji81][emoji81][emoji81]sijui nimechekea nini
 
Once a system always a system.

Haya tushikeni majembe tukalime.
 
Ataleta u king kong gani sasa?

Sasa atatulia kula maisha kma mwenzie makonda, huku nyie mkiendelea kuoandishiwa bei za mafuta hadi mkome
Ukiachana na mabishano yetu haya trust me, mi na wewe wote hakuna anaye wish awe na moment kama ya makonda anayopitia saizi

Sina hakika ila nafikiri nafasi yako hii uliyonayo wewe ambayo inakuweka katika furaha na amani , mwenzako huko anaikeshea kwa kuomba na kusali aje kuipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…