Mmhhh, hukumu ya rufaa ilipangwa kabla ya mafuta kupanda, wala haina mahusiano na mjadala wa bei ya mafuta. Haya maneno ndio ccm huyatumia kujifanya ni wajanja kumbe upuuzi mtupu.Serikali ya CCM ni wajanja sana. Yaani wameona watu wanapiga kelele kuhusu mafuta kupanda. Tayari wanaleta drama nyingine ya kuwapumbaza wananchi ili wasahau ya Mafuta. Kudadeki this time lazima tuite maji mmmaaa
Kisongo huwa wananyoa viduku?Yuko back Kisongo
Hawezi ishi ka digidigi atatembea kifua mbele mtaa
Bavicha mlisema sabaya alikua anawabaka, haya mpelekeeni tena hayo masaburi kwa hiari yenu.
Kwa hiyo ameachiwa akiwa anatokea nyumbani sio?Kisongo huwa wananyoa viduku?
Janja janja hizi...CCM wajanja, wameamua kuwahamisha kutoka kujadili bei ya mafuta hadi kumjadili Sabaya
Sawa hata akiachiwa huru Bado yupo na kesi nyingine sita ikiwemo ya kukata watu masikio
Nyie ndio mlisema, Kama ww hukubakwa basi shukuru tu pengine zamu yako haikufika.Labda alibaka maboya, angekosea aingie kwenye 18 yangu angejuta kunifahamu.
Nakuuliza ushawahi kuona sabaya kanyoa upara?Kwa hiyo ameachiwa akiwa anatokea nyumbani sio?
Ugaidi sio uhuni?hakuna uhuni kafanya kwa watu
Choko kweli wewe.Sabaya ni bonge la kiongozi, mama mpe Ka kitengo hapo Ikulu akunyoshee wahuni, ikipendeza mpe ukuu wa mkoa wa DSM kama miez miwili hivi akusafishie panya road, then umrudishe chawa wako Makala the great
Nyie si ndio mlisema sabaya alikua anawabaka? Haya mpelekeeni kwa hiari yenuHata hivyo amechakazwa marinda kiasi cha kutosha, hongera yao waliomfaudu.
Ugaidi wa kutaka kulipua vituo vya mafuta.hakuna uhuni kafanya kwa watu
Ulisikiliza kesi ?????Ugaidi sio uhuni?