Kama lini aliwahi kuupiga mwingi? Yeye hana tu zile siasa za kishamba kama yule bush star wa chattle.
Hana ndio ndiomaana mnapumua baada ya kuonewa sana kwa miaka 5!
 
SHINIKIZO LAZIMA. HATA HIZO ZINGINE HAMNA KITU.
 
Nitamshangaa Sabaya akiomba msamaha kwa hukumu hizi za mahakama zetu. Kama mtu amepatikana na ushahidi wa yale aliyoyatenda na bado anaachiwa, atakuwa ni zuzu kama ataomba msamaha. Labda ccm itoke madarakani ndio ataomba msamaha.
Anaachiwa kwani dhalimu wako yuko madarakani?
 
Hili la kuokoka na kutokuwa mbali na mlango wa kanisa ni ushauri tosha
 
Kashinda rufaa au wameamua kumuachia. Tabia haina dawa
 
Kutaja ndio kumemsaidia, mana koss sio lake ni yule aliemtuma. Lazima iwe hivyo ili asimwage mboga zaidi.
 
Tusubiri mwitikio wa Jamhuri ila wakiwa kimya huko kwingine mtelezo kijana anatoka na atarudi kwenye ukoka
 
Na usishangae akitoka akawafanyizia waliotoa ushahidi kwenye kesi yake, na wasifanywe lolote hata serikali ikijua.
Hahaha, kama ambavyo Mbowe ameanza tena kupanga mipango ya ugaidi na hakuna wa kumsumbua!
 
Zaidi ya asilimia 60 ya watumishi wa umma hawana uwezo kwa mujibu wa Prof. M. Assad, ambao ndio ukweli wenyewe na hali halisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…