Utamfanya nini?Atakuja sawa mtaaani ila ataishi kama digi digi yule mwengine wa Daslam.
Ardhi hii ba ndugu inapaswa uikanyage kwa adabu,sana.
Ipo siku utaogopa hata vishindo vya miguu yako mwenyewe.
Aione Tate Mkuu kwenye faili.Sabaya na wenzake watatu wamebakiza ngwe moja ya hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi baada ya Mahakama Kuu ya kumwachia huru muda huu. Warufani wengine katika kesi hiyo ni Silvester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka matatu ya unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Oktoba 15, mwaka 2021, Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Odira Amworo, alimtia hatiani Ole Sabaya na wenzake kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.
View attachment 2213863
Ole Sabaya wakati akifikishwa Mahakamani kusikiliza rufaa yake Mei, 2022
Pia, soma=> Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha
Mbowe alihukumiwa kufungwa na mahakama gani? na kwa uhalifu upi aliotenda?kwani mbowe alivyoachiwa tuliishije
Sasa kama watu qenyewe ndio wanachezeka akili wao wafanyaje sasaCCM wajanja, wameamua kuwahamisha kutoka kujadili bei ya mafuta hadi kumjadili Sabaya
Mbona mnalazimisha hisia zenu ziwe za kila mtu?Kamwe hatayafurahia maisha
Kuna mahakama za mtaani
Judge ni nani
Mahakama zimejaa rushwa
Hapa ndipo inapokuja Ile maana ya SII hasaView attachment 2213870
Aisee Judiciary System ya Tanzania iko very Corrupt huyu atatafutiwa njama za kuuawa huyu katesa na kuteka watu wengi sana tena kwa kutumia vitendea kazi vya Serikali !! This is not right something is wrong here
Bado ataendelea kukaa mahabusu maana ana kesi nyingine ya uhujumu uchumi inayomkabiliMara Buku awe huko ndani, uraiani itakuwa ni hatari sana kwake, watu wana machungu nae sana, na sasa hana kinga sijui itakuwaje huku uraiani walahi!!!
Lema taahira tuLema hakutabiri??
Kama GAIDI aliachiwa huru basi na huyu aachiwe huru tuView attachment 2213870
Aisee Judiciary System ya Tanzania iko very Corrupt huyu atatafutiwa njama za kuuawa huyu katesa na kuteka watu wengi sana tena kwa kutumia vitendea kazi vya Serikali !! This is not right something is wrong here
Kijakazi wa mbowe unachelea nini?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hawa jamaa wana mafaili mengi sana ya kuhamisha watu kwenye reli na wanachagua lipi la kuachia kitegemeana na wakati.CCM wajanja, wameamua kuwahamisha kutoka kujadili bei ya mafuta hadi kumjadili Sabaya
Kunya boga mkuu, itakusaidia! Naona una hasira!View attachment 2213870
Aisee Judiciary System ya Tanzania iko very Corrupt huyu atatafutiwa njama za kuuawa huyu katesa na kuteka watu wengi sana tena kwa kutumia vitendea kazi vya Serikali !! This is not right something is wrong here
Ni gaidi.Mbowe sio jambazi