Duuh kweli maajabu kama ya mechi real madrid vs man city
 
kwa hiyo hakimu ambaye hakufanya kazi kiweledi atafutwa kazi au atapeta kama kawaida...
 
Sema maana ya SII hasa imetenda kazi yake.
 
Serikali ya CCM ni wajanja sana. Yaani wameona watu wanapiga kelele kuhusu mafuta kupanda. Tayari wanaleta drama nyingine ya kuwapumbaza wananchi ili wasahau ya Mafuta. Kudadeki this time lazima tuite maji mmmaaa
 
Karibu uraiani Comrade SABAYA..

HAKI IMETENDEKA

Baada ya kushangilia hukumu ya Mbowe sasa ni wakati wa kula na kunywa kushangilia haki ya SABAYA.

Hakimu alifanya maamuzi kwa mihemko

KAZI INAENDELEA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…