Kama hii imefutwa hiyo iliyobaki hamna kitu!Anarudi mtaa upi? Kimeo cha uhujumu uchumi kakimaliza?
Akipatikana na hatia ni miaka 30, its over yet, Sabaya ataendelea kukaa jela mpaka siku ya hukumu kesi yake haina dhamana.
Hamna lolote!Duu! japo sifurahii Sabaya afungwe miaka 30, lakini kwa mtazamo wangu ni bora wamfunge hata miaka michache wanaweza kumuongezea usalama dhidi ya maadui zake kuliko kinyume chake! Kwa unyama alowafanyia watu wengi kuna uwezekano watu wakaamua kufanya nae plea bargaining kwa kivyao!
Mwache aje uraiani akutane na torati za mtaa, huku kila mtu nigger akijitusu kuleta u king kong wakati hana cheo ataona kumbe wakati yuko jela alikuwa ana enjoy kuliko hukuHuwa wanaufanya wakiwa na madaraka, unamuona Bashite anavyolalamika..! Kapoteza marafiki wote ikiwemo Le mbebezi
Jinyonge ufe!Spinning ya kisen*ge sana hii ..
Kwahiyo wanataka tuache kujadili mafuta tufate huu umbeya ?
Daaah sawa mmeshika mpini
Ndio.Au ndio unatoka jela🤔
Ataleta u king kong gani sasa?Mwache aje uraiani akutane na torati za mtaa, huku kila mtu nigger akijitusu kuleta u king kong wakati hana cheo ataona kumbe wakati yuko jela alikuwa ana enjoy kuliko huku
Ni kama makonda wanavyosema anateseka uraiani kuliko sabaya, sasa sabaya akisikia hii atakuwa mtulivu sana
Ukameze limao. Tafuna ndimu.Kamwe hatayafurahia maisha
Kuna mahakama za mtaani
Judge ni nani
Mahakama zimejaa rushwa
Hata kwa gaidi ulisema hivi?Mahakama za mchongo, mahakimu wa mchongo no surprise
Hawana Cha kumfanyaKwa uhuni aliowafanyia watu, huko mtaani sijui kama atakuwa salama
View attachment 2213870
Aisee Judiciary System ya Tanzania iko very Corrupt huyu atatafutiwa njama za kuuawa huyu katesa na kuteka watu wengi sana tena kwa kutumia vitendea kazi vya Serikali !! This is not right something is wrong here
Maajabu ya nchi hii utakuta anakuwa DC tenaAnarudi mtaani huyu
Mahakama zipo huruMaamuzi ya Mahakama yaheshimiwe.
Kumbe hiyo miaka aliyopangua leo ni kama bonaza afu hiyo 30 ambayo bado ni kama jackpotAnarudi mtaa upi? Kimeo cha uhujumu uchumi kakimaliza?
Akipatikana na hatia ni miaka 30, its over yet, Sabaya ataendelea kukaa jela mpaka siku ya hukumu kesi yake haina dhamana.
Leo mnalala na kihoroKarudi uraiani? Amepata rufaa kwenye uhujumu uchumi? Ngoja niwaachie wenyewe.