Lengo lenu nini mnao wakataz wake zenu kufanya kazi?

Wengine ni wivu tu,akiwaza alichowafanya Baltazary, anawaza kua na mkewe itakua ni hivyohivyo, ingawa ni ukweli kua UNATAKIWA USIWE NA WIVU,mfano mkeo labda ni nesi au askari,kuchapiwa ni kawaida sana.
Sio wivu maofisini nidhamu mbovu kuna wapuuz hawaheshimu wake za watu ukutu akiongea kitu lazma amshike mkono mara koridoo ukipita matani utafikir hawapo kazn wakt wa chai lunch unakuta mke wa mtu anaenda na kinyago kula luch kissing hakuna nidham kama maisha unayaweza better abakie home usisubir fitna
 
'Kimasta' zaidi👊
 
Siku akifa ndiyo atajua.
Mwanamke atakachoweza ni kuolewa na mwanaume mwingine.
Muulizeni Nikifa MkeWangu Asiolewe
Mtoa mada Bado ni mvulana sana hajielewi mwanamke ni mlinzi na mlezi wa familia. Swala la mwanamke kufanya kazi ni upuuzi sana wewe kama mwanaume ukiliribariki!!

Mwanaume unatakiwa uwe na miradi kadhaa wa kadhaa swala la kufa lipo palepale na. Ukiset mifumo Bora ya kukuingizia kipato Wala Watoto wako hawatakuja kuteseka haijarishi utakula Leo jioni ama kesho asubhi.
 
Tuna maono na mitazamo tofauti. kiasi kila mtu abaki na misimamo yake.

Hivi Mke akiwa goli kipa shida ni yako au ya mume wake?
Imagine wanawake millioni 1 wenye uwezo wa kufanya kazi wakae nyumbani kama magolikipa.
Huoni tatizo kwenye uzalishaji na uchumi wa nchi kwa ujumla?
 
Mkeo akiajiriwa Mwajiri huwa ndo boss namba 1.
Mwajiri ndo anayeamua muda gani Mkeo awe na wewe au hata kulala na mkeo inategemea mwajiri amruhusu.
Mwajiri ndo anayempangia safari mkeo na siku za wewe kulala na mkeo zitategemea ratiba ya mwajiri.
Unaweza kumwita mkeo chumbani ile unamvua chupi tu Boss anamwita ofcn
 
Inategemeana na kazi ya mkeo kama askar hapo ni kweli au nurse sawa ila kuna kazi mkeo akifanya hawezi kuitwa ovyo ovyo
 
Wengi walioachishwa kazi wamekuwa watumwa kwa waume zao wamekuwa ovyo hawavutii kabisa na akili inadumaa kwasababu mda wote yupo nyumbana kazi yake kusafisha nyumba
Sana na wanajutia kusikiliza ahadi hewa ila ndio hivo tena washapoteza ramani wanaishia kushinda makanisani.
 
Inategemeana na kazi ya mkeo kama askar hapo ni kweli au nurse sawa ila kuna kazi mkeo akifanya hawezi kuitwa ovyo ovyo
Sio Askari tu, hata Mtendaji wa Kijiji, Secretary nk.
Tena kama Mhasibu ndo kabisaaaaa hao kurudi home usiku ni kawaida tu.
Afisa Utumishi hali kadhalika hao wote kurudi kwao home mpk Boss atake na wewe upo tu wasubiri Boss akupangie muda wa kulala na Mkeo
 
Kila mtu acheze karata zake sion umuhimu wa mke alie ajiriwa hapa nikufanya kile nachotaman kifanyike hasa miradi mikubwa/midogo ntakayo anzisha awe msimamizi na mtoa maamuzi kwa ushirikiano wangu na wake YES
 
Wengine ni wivu tu,akiwaza alichowafanya Baltazary, anawaza kua na mkewe itakua ni hivyohivyo, ingawa ni ukweli kua UNATAKIWA USIWE NA WIVU,mfano mkeo labda ni nesi au askari,kuchapiwa ni kawaida sana.
Mstari wa mwisho is like unaunga mkono uzi vile?
 
Hapana
Lkn mtu nilienaye ndio yupo mistari wa mbele kuhakikisha nafika mbali anasemaga wazi kabisa anawish niwe vizuri financially niwe na biashara pia za maana na ananihudumia pia kma kawaida
Siku ukiingia kwenye ndoa utaelewa tunachokiongea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…