Leo hii nimetapeliwa

Leo hii nimetapeliwa

Ukipenda vya kunyonga utaendelea kupigwa Sana

Ubongo wa Bata then mnaigiza Maisha kwa kula mmea mwisho wa siku mnapata homoni za kutaka mtelezo

Wewe uliona wapi GB 40 ukazipata kwa elfu 15K
Ila mkuu mmea umekufanyaje??Au ulishawahi kukufanyia vibaya??
 
Daaaah sona habari na nyiee...
Nimetapeliwa 15000,hii ela siningekunywa zangu beer hata 5.
View attachment 2472149
Mwingine uyu hapa alijifanya baba mwenye nyumba wakat hata kupanga sijapanga nikamuunganishia nione mwisho wake..ahhhhhh
Screenshot_20230107-135717_Messages.jpg
 
Back
Top Bottom