dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
"alidanganywa na wale, wenye pesa nyumba gari, mi kapuki hakunijali, akanikimbiaaaa"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee umetisha angalia usije ukajiingiza king next timeBangi na vuta na mama yako ulishawahi kumuuliza mama ako baba yako ni nani??
Mkuu natoa ajira mshahara million 10 kwa mwezi nicheki nawe uwe young millionaire. Fee yangu 15,000 tu🤣🤣Daaaah sona habari na nyiee...
Nimetapeliwa 15000,hii ela siningekunywa zangu beer hata 5.
View attachment 2472149
Tapeli yeyote akishikwa niachieni mimi nije kusafisha mtaroAisee umetisha angalia usije ukajiingiza king next time
Kwanini usitafute ndugu zako wa huko matako bar wafanye hiyo kaziMkuu natoa ajira mshahara million 10 kwa mwezi nicheki nawe uwe young millionaire. Fee yangu 15,000 tu🤣🤣
yani kama keshawahi kudeti na demu mwenye kope za kubandika, anayepaka make up, au anayevaa wigi, apo ametapeliwa.Kwani haujawahi kutapeliwa
😂😂😂😂yani kama keshawahi kudeti na demu mwenye kope za kubandika, anayepaka make up, au anayevaa wigi, apo ametapeliwa.
Ukipenda vya kunyonga utaendelea kupigwa SanaTapeli yeyote akishikwa niachieni mimi nije kusafisha mtaro
Kwa kulamba?Tapeli yeyote akishikwa niachieni mimi nije kusafisha mtaro
Ongeza sautiKwenye maisha usipende rahisi ndugu
Ila mkuu mmea umekufanyaje??Au ulishawahi kukufanyia vibaya??Ukipenda vya kunyonga utaendelea kupigwa Sana
Ubongo wa Bata then mnaigiza Maisha kwa kula mmea mwisho wa siku mnapata homoni za kutaka mtelezo
Wewe uliona wapi GB 40 ukazipata kwa elfu 15K
Sasa hapa bangi imekosa nini?Acheni uvutaji wa bangi Ni hatari unaharibu ubongo Hadi unatamani vitu Rahisi
Pole Mkuu
Nalamba na ulimiKwa kulamba?
Nyie madogo wa Arusha mmea umewafanya kupenda mtelezoIla mkuu mmea umekufanyaje??Au ulishawahi kukufanyia vibaya??
Ndo tatizo la vijana wa bongo,kazi kudiss bangi,wanashindwa kuelewa hakuna utapeli mnzuri kama wa kutumia mdomoSasa hapa bangi imekosa nini?
Amekaribia kuuza sufuria na vijiko vya mamake apate ya kununua bangi🤣Acheni uvutaji wa bangi Ni hatari unaharibu ubongo Hadi unatamani vitu Rahisi
Pole Mkuu
Hapo unapoenda usije ukakimbia jamii,maana nakuona jinsi unavyoanza kunisimamisha mgegedo,Nyie madogo wa Arusha mmea umewafanya kupenda mtelezo
Mwingine uyu hapa alijifanya baba mwenye nyumba wakat hata kupanga sijapanga nikamuunganishia nione mwisho wake..ahhhhhhDaaaah sona habari na nyiee...
Nimetapeliwa 15000,hii ela siningekunywa zangu beer hata 5.
View attachment 2472149
Umeona sasa ? We ushaishaHapo unapoenda usije ukakimbia jamii,maana nakuona jinsi unavyoanza kunisimamisha mgegedo,