Leo hii nimetapeliwa

Leo hii nimetapeliwa

Kuna mmoja alijifanya Dc wa wailaya X sijui alipata wapi namba ananiambia nimtafutie vijana wawili waliomaliza chuo degree ila wawe wamepitia JKT mara ya kwanza nilijua ni kweli ila kutokana na code alizokuwa ananipa machale yakanicheza nikamwambia kuna msela afuatilie hizo namba si nikaambiwa ni tapeli mkubwa tena wanamvizia wamshike nikamcheki kistaarabu nikamwambia nimeshtukia mchezo wako wazee matusi najua ila toka nimezaliwa sija wahi kutukanwa vile kama huyo mtu anasoma hapa heshima yako mkuu ila?
 
Kuna mmoja alijifanya Dc wa wailaya X sijui alipata wapi namba ananiambia nimtafutie vijana wawili waliomaliza chuo degree ila wawe wamepitia JKT mara ya kwanza nilijua ni kweli ila kutokana na code alizokuwa ananipa machale yakanicheza nikamwambia kuna msela afuatilie hizo namba si nikaambiwa ni tapeli mkubwa tena wanamvizia wamshike nikamcheki kistaarabu nikamwambia nimeshtukia mchezo wako wazee matusi najua ila toka nimezaliwa sija wahi kutukanwa vile kama huyo mtu anasoma hapa heshima yako mkuu ila?
Matapeli wanajua kutukana hakuna mfano🤣
 
Ukiitwa kwenye fursa wewe ndo fursa
 
Bora mtapeliwa Tu tena waambie ng'ombe wengine wajiunge mwendelee kulia machozi
 
Chizi Maarifa ngoja aje akusaidie hyuu mwamba
Jamaa ame act kibwege sana. Yaani utapeli huo ni kama umetoka Muheza jana au Sitimbi. Mtoto wa Town unaamini upuuzi kama huo? Anyway APPROXIMATELY una tsh ngapi nimwoneshe sisi watu wa Pemba tunafanyaje... Atakutafuta namba uliyotumia kumtumia pesa si ipo hewani? Atakutafuta huku analia nakwambia. Nitumie tu namba yake na pia nitumie tsh 25,000 tu nimtumie Mtaalamu hapo Bagamoyo.
 
When the deal is so right beware you are the deal.
 
Back
Top Bottom