Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Kaka JPM kushinda kwa 90% usilete hasira kwangu. Muunganiko wa kata kadhaa za halmashauri huzaa tarafa. Ninavyojua wanataka kuapishwa kwenye tarafa ila Chadema hawana nauli za kufika huko. Pitisheni bakuli ili mawakala wafike huko.Yeyote anayeshabikia CCM ni mjinga. Yaani wewe kwa miaka yako yote hiyo unaamini makao makuu ya kata ni tarafa? Mko wajinga na wabishi. Na ndio mnaoiweka CCM madarakani. Mmoja jana anauliza eti NDC ni nini? Kweli CCM inafaidika sana na ujinga wa watu!
Mawakala wetu hawajawahi kutuangusha.“Wagombea wanaambiwa Mawakala wataapa kwenye Tarafa nk. Hakuna ngazi ya Tarafa kwenye Uchaguzi. Mawakala wanapaswa kuapa ama kwa Msimamizi msaidizi ( kwenye Kata ) au kwa Msimamizi wa Uchaguzi ( Kwenye Jimbo ). Baadhi ya wasimamizi wa Uchaguzi wanasumbua wagombea MAKUSUDI”. Zitto Kabwe.
“Miaka yote katika chaguzi zote Mawakala wetu wanaapishwa makao makuu ya kata na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi. Leo Mkurugenzi anataka tusafirishe watu zaidi ya 1600 kwenda halmashauri maeneo mengine umbali wa km 60 kwa barabara zetu, risk, gharama na usumbufu mkubwa”. John Heche.
“Nimeongea na Mkurugenzi wa tume Dk Mahera akasema anatoa maelekezo kwa msimamizi wa uchaguzi lakini bado msimamizi amegoma. Badala ya uchaguzi kuwa wa wadau unakua mali ya msimamizi ambae alipaswa kuwa facilitator tu. Impunity,ujinga na uhuni”. John Heche.
Alianza na heka 20,000 Kagera.Bado mtakuja kusema pori Burigi limebinafisihwa.
Hehehee hakuna kanuni hiyo kwenye kanuni za uchaguzi za Tume. Mawkaala wanaapishwa majimboni na katanni tu basi. Tarafa haimo.Kaka JPM kushinda kwa 90% usilete hasira kwangu. Muunganiko wa kata kadhaa za halmashauri huzaa tarafa. Ninavyojua wanataka kuapishwa kwenye tarafa ila Chadema hawana nauli za kufika huko. Pitisheni bakuli ili mawakala wafike huko.
Nadhani hawana ila wanasubiri wataalam wao wa IT wachakachue hayo matukio ndipo waweke picha!Nawauliza mbona hamtumi picha zozote hapa
Yaani kila kinachoendelea mtupeni taarifa tafadhali
Tano za kishindo👏👏👏Magufuli mitano tena
Nani kawaelekeza hivyoMawakala wa CCM wanaapishwa kwenye kata halafu mawakala wa upinzani wanaambiwa waende kwenye tarafa.Mawakala wa upinzani wakifika kwenye tarafa wanaambiwa kuwa sheria haielekezi kuwa waende kwenye tarafa!
Mijizi katika ubora wao
CCM lini mtajifunza kutenda haki? Hao watu mnaowaibia wamejitoa, wametumia pesa zao kufanya kampeni halafu mwisho wa siku mnafanya ujinga ujinga huo. Mnataka kufanya Tanzania isikalikeMijizi katika ubora wao
Hebu mwelewesheni huyu mwenzetu, anajifanya hajui tofauti kati ya Kata na Tarafa.Mbona mnajikanganya? Makao makuu ya kata si tarafa?
Sasa ndiyo uchaguzi unaanza..wale walijikisanya huko ati kulimbea taifa amani wanatakiwa wachungulie huku ili haki itendeke...
Zoezi hili tunategemea 100% hakutakuwa na vitendo vya kihuni...wasimamazi watende haki kwa kufuata sheria na kanuni za uchaguzi.
Nitajie wangapi wamekufa kwaku kosa maji ya kunywa hapa nchini.Daraja wakati Wananchi hawana Maji ya kunywa
Wameshatetereka hao😁😁😁😁😁😁Nitajie wangapi wamekufa kwaku kosa maji ya kunywa hapa nchini.
Kha! Hivi hujui Water bourne diseases zinauwa haswa Watoto chini ya umri wa miaka mitano, MATAGA huwa nawaambiaga CCM inapenda mbali wajinga ili itawale sisi tuna sema sasaaa!! BAAAS!!!Nitajie wangapi wamekufa kwaku kosa maji ya kunywa hapa nchini.
Tume inafanya kazi zake barabara
Kama hamuwezi kuwahudumia mawakala wenu tuambie sie ccm mlikuwa mnataka shilingi ngapi tuwalipie mawakala wenu nauli posho na mahitaji mengine. CCM ni watu wazuri sana tunaweza tukawasaidia.“Wagombea wanaambiwa Mawakala wataapa kwenye Tarafa nk. Hakuna ngazi ya Tarafa kwenye Uchaguzi. Mawakala wanapaswa kuapa ama kwa Msimamizi msaidizi ( kwenye Kata ) au kwa Msimamizi wa Uchaguzi ( Kwenye Jimbo ). Baadhi ya wasimamizi wa Uchaguzi wanasumbua wagombea MAKUSUDI”. Zitto Kabwe.
“Miaka yote katika chaguzi zote Mawakala wetu wanaapishwa makao makuu ya kata na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi. Leo Mkurugenzi anataka tusafirishe watu zaidi ya 1600 kwenda halmashauri maeneo mengine umbali wa km 60 kwa barabara zetu, risk, gharama na usumbufu mkubwa”. John Heche.
“Nimeongea na Mkurugenzi wa tume Dk Mahera akasema anatoa maelekezo kwa msimamizi wa uchaguzi lakini bado msimamizi amegoma. Badala ya uchaguzi kuwa wa wadau unakua mali ya msimamizi ambae alipaswa kuwa facilitator tu. Impunity,ujinga na uhuni”. John Heche.
We huwa una akili za kichangudoa, unaelewa maaana ya makao makuu?? Tarafa na kata unavijua? Acha kuwa mpumbavu ktk kila Jambo.m.fucvMbona mnajikanganya? Makao makuu ya kata si tarafa?