greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Poleni kwa wafiwa.Mawakala wanne wa Chadema wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa, katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo - Sumbawanga mkoani Rukwa, Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Rukwa, Shadrack Malila amesema.
#MwananchiUpdates
View attachment 1607130
We ni bwege kweli kweliMbona mnajikanganya? Makao makuu ya kata si tarafa?
Mawakala wanne wa Chadema wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa, katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo - Sumbawanga mkoani Rukwa, Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Rukwa, Shadrack Malila amesema.
#MwananchiUpdates
View attachment 1607130
Mbona Makonda alimzaba Makofi Jaji Warioba hatukukuona humu ukikemeakirahisi tu utampiga mtu makofi
Korogwe Billion 200 zimewekwa ,Tabora mradi wa ziwa victoria unaendelea ,Arusha ndo usiseme kuna billiion zipo kwenye miradi ya maji,Dar ndio kabisa hata aibu kusema ,Shinyanga maji ya ziwa victoria yapo na sasa yanapelekwa Kishapu n.k,Kweli Daraja ni nongwa linatuzuia miradi wakati bado inatekelezwa.!😡Daraja wakati Wananchi hawana Maji ya kunywa
Mimi nilikuwa CCM tokea miaka ya tisini nimeihama Mwaka 2018 kwa sababu ya Sera za kijinga na kutojua Vipaumbele cha MtanzaniaMimi nawewe ni nani shabiki kama sio wewe!
Sasa nawe jifanye Makonda uwazabe makofi uone. 🤣🤣🤣🤣🤣Mbona Makonda alimzaba Makofi Jaji Warioba hatukukuona humu ukikemea
Sasa kama Kiongozi wameonyesha mfano wa kuigwa kwa nini na sisi watu wa chini tusionyeshe uzalendo kwa kupiga mitano mizuri ya viongozi wetu kwa kuwazaba vibao wanaoleta firigisiSasa nawe jifanye Makonda uwazabe makofi uone. 🤣🤣🤣🤣🤣
Sehemu husika Wapi zaidi vya kupambana tu hapa hapa? Hii ya sehemu husika Hakika haitafika. Na msipofanikiwa kuapisha mawakala mmekwisha.Lolote wanalofanya wajue watanzania tunachukua ushahidi wote na kupeleka sehemu husika. Kubwa ni kwamba uvumilivu sasa baasi.
Laana ya Makonda kumzaba kofi Warioba imeanza kutekelezwa.Sasa nawe jifanye Makonda uwazabe makofi uone. 🤣🤣🤣🤣🤣
Hayo unayosema endelea tu kuyafanya huku JF na kama utaamua kufanya hivyo vitendo utapotea. Fanya vitu kwa kiasi kuna maisha baada ya uchaguziSasa kama Kiongozi wameonyesha mfano wa kuigwa kwa nini na sisi watu wa chini tusionyeshe uzalendo kwa kupiga mitano mizuri ya viongozi wetu kwa kuwazaba vibao wanaoleta firigisi
Ramli chonganishi sio nzuri aisee. Una utakatifu gani wa kumpa mtu laana 🤣🤣🤣🤣Laana ya Makonda kumzaba kofi Warioba imeanza kutekelezwa.
Sindano za Sumu ziandaeni za kutoshakufanya hivyo vitendo utapotea.
Wewe na nani? Dada na shemeji yako? [emoji16][emoji23]Sema wewe sio sisi wengine
Na hata ukiwa upinzani sio lazima upinge kila kitu pia haimaanishi kuwa upande wowote ni mtu uliyekamilika. Nchi hii kuna vitu vingi havipo sawa.Hivi ukiwa ccm lazima uunge mkono uovu?wengine mbingu mtaikosa kwa kuunga mkono dhulma
Mwaka huu utakuwa wa vitasa, hivi unawez ukofoji sahihi yako iili iweje“Wagombea wanaambiwa Mawakala wataapa kwenye Tarafa nk. Hakuna ngazi ya Tarafa kwenye Uchaguzi. Mawakala wanapaswa kuapa ama kwa Msimamizi msaidizi ( kwenye Kata ) au kwa Msimamizi wa Uchaguzi ( Kwenye Jimbo ). Baadhi ya wasimamizi wa Uchaguzi wanasumbua wagombea MAKUSUDI”. Zitto Kabwe.
“Miaka yote katika chaguzi zote Mawakala wetu wanaapishwa makao makuu ya kata na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi. Leo Mkurugenzi anataka tusafirishe watu zaidi ya 1600 kwenda halmashauri maeneo mengine umbali wa km 60 kwa barabara zetu, risk, gharama na usumbufu mkubwa”. John Heche.
“Nimeongea na Mkurugenzi wa tume Dk Mahera akasema anatoa maelekezo kwa msimamizi wa uchaguzi lakini bado msimamizi amegoma. Badala ya uchaguzi kuwa wa wadau unakua mali ya msimamizi ambae alipaswa kuwa facilitator tu. Impunity,ujinga na uhuni”. John Heche.
View attachment 1607088
UPDATES ====•
Mawakala wanne wa Chadema wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa, katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo - Sumbawanga mkoani Rukwa, Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Rukwa, Shadrack Malila amesema.
#MwananchiUpdates.
John Mnyika: Jitihada za mawasiliano na NEC juzi, jana na leo mpaka muda huu kudhibiti hujuma kwenye uapishaji wa mawakala zimekwama maeneo mengi. Nitazungumza vyombo vya habari HQ saa 8 mchana. Kwa sasa , #PeoplesPower itumike maeneo ambayo hujuma zinaendelea. #SasaBasi