Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Bila source ni ulanzi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli:
1. Lazima alikuwa kwenye kanafasi kalikokuwa na hewa
2. Lazima alikuwa na source ya chakula - hata kama ni mende, panya, minyoo au nyama za wenzake aliofukiwa nao wakafariki
3. Lazima alikuwa pia na chanzo cha maji.
Kweli Allah ni muweza wa yote. Na si ajabu aliruhusu tetemeko hili litokee na kuua maelfu ya watu ili aje aonyeshe uwezo wake kwa kumponya huyu mmoja baada ya miezi mitatu. Matendo na uwezo wake havielezeki! 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Yaani aue maelfu ya watu apone mmoja ili tu aoneshe uwezo wake? Haileti maana yoyote ile. Kwanini ahitaji kujua wengi ili aoneshe uwezo wake?Kama ni kweli:
1. Lazima alikuwa kwenye kanafasi kalikokuwa na hewa
2. Lazima alikuwa na source ya chakula - hata kama ni mende, panya, minyoo au nyama za wenzake aliofukiwa nao wakafariki
3. Lazima alikuwa pia na chanzo cha maji.
Kweli Allah ni muweza wa yote. Na si ajabu aliruhusu tetemeko hili litokee na kuua maelfu ya watu ili aje aonyeshe uwezo wake kwa kumponya huyu mmoja baada ya miezi mitatu. Matendo na uwezo wake havielezeki! 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Uuwe mamilioni, ili uoneshe ukuu wako kwa mtu mmoja.👺Nope...
Go read the Old Testament....
Makosa yako mleta uzi ni kuweka maneno ya kiarabu, yaani ungeweka maandishi kwa kidhungu aaaahhh wala hakuna mutu angehoji,
Haya tupe chanzo chako fasta
Allah anatuma Salam zake kudhihirisha uwepo wakeView attachment 2618502
Leo huko Antakya, Uturuki Mtu huyu alitolewa nje. Kutoka chini ya vifusi vy concreti alikuwa hai, miezi mitatu baada ya tetemeko la ardhi kutokea Uturuki, SubhanaAllah Yeye Allah ni muweza wa kila kitu.
Allah ndio anajuaAlikuwa anakula Nini?
Kuna wale jamaa watatu walikwama kwenye kifusi Kahama miezi karibia mitano,walipotolewa wakasema walikuwa wanakula mende na wadudu mbalimbali na kunywa mikojo yao.Alikuwa anakula Nini?
Au chanzo Cha habari ni yeye mwenyeweHaya ni maajabu,hebu tupe chanzo cha habari na sisi tujionee kwanza
Kabishana sana na ziraili pua kwa macho hadi kashinda.View attachment 2618502
Leo huko Antakya, Uturuki Mtu huyu alitolewa nje. Kutoka chini ya vifusi vy concreti alikuwa hai, miezi mitatu baada ya tetemeko la ardhi kutokea Uturuki, SubhanaAllah Yeye Allah ni muweza wa kila kitu.
Yaani aue maelfu ya watu apone mmoja ili tu aoneshe uwezo wake? Haileti maana yoyote ile. Kwanini ahitaji kujua wengi ili aoneshe uwezo wake?
😄😂😁😆😅😅Kahawa fm
Yeneyo mihayo ya bhajogoli dohoNamhala.
Jaga ūgasome Īlilagīlo lya Kale ūmuBibilia. Līmulungu lyabūlagaga banhū jihūmbī na jihūmbī na gūpīja banhū bagehu guke!
Līwelelo 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿