Leo naamka na watu wajinga wanaotaka kufanya sherehe kubwa kwa kuwachangisha wengine

Leo naamka na watu wajinga wanaotaka kufanya sherehe kubwa kwa kuwachangisha wengine

Umeoa mkuu?? Hakuna mwanamke used mkuu.... ukishatumiana mnakuwa maused ma2, lakini mkienda kwa mwengine unakuwa mpya na unakuwa na thamani!!!!

Sisi wanaume wenyewe ni balaa tupu kwann mwanamke ndo anakuwa malaya? Sisi wanaume tunakuwa wakina nani

Mtoa mada lazima ni jobless, ana stress.
Hapana anasema ukweli! Utalipiaje mahari mwanamke used malaya ambaye hujamkuta na bikra! Huyo ni mzoga peleka ndani kimyakimya akusaidie kusukuma Kirobati cha sembe na maharagwe! Mwanamke kuolewa bira bikra ni uhaini!
 
Ukweli ndio huo mku
Ukweli ndio upi? Mengi yameandikwa hapa, unapoandika "huo" unamaanisha nini? Unahakiki vipi huo ukweli ujue kuwa ni ukweli halisi na si maluweluwe unayoyaona wewe tu?

Mtu akikwambia yeye kuoa malaya poa tu, kwanza yeye mwenyewe malaya pia, utasema nini?
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Jana wakati naingia ofisini nakuta kadi ya mchango wa harusi mezani nikaambiwa na mfanyakazi mwenzangu kuwa ni yangu.

Nafunua ndani nakuta haina hata jina Iko plain na wanaooana siwajui. Nikamuuliza yule mfanyakazi mwenzangu vipi mbona haina jina? Akasema wewe andika jina lako kadi kasambaza mama mmoja wa pale canteen mtoto wake anaoa.

Nilimuuliza ni mama yupi? Akanipa maelezo kuhusu huyo mama bado sijamjua, yawezekana tunaonana tu ila ndo vile simjui.

Niliwaza nikagundua kuwa huyu mama ananifahamu kidogo tu ndio maana hata jina langu kashindwa kuandika kwenye hii kadi. Nikamuuliza yule dada kwanini huyu mama atoe kadi kiholela? Mada ikaiashia hapo.

Hivi watu kama hawa ukiwaita wajinga unakosea? Kwanini mtu asifanye sherehe kwa kipato chake?

Kuwachangia mamilioni vijana kisha kuwafanyia sherehe kubwa baadaye wanaishi maisha ya kuungaunga na kuanza kutafuta ajira ni sawa na kusema walianza maisha ya fahari kisha wakaishi maisha ya kimaskini.
Binafsi michango ya hharusi na send off nachanga ila naangalia ni nani namchangia.

Ndoa nilifungia kwa DC Ilala kuepuka kashkashi zisizo na sababu. Nitaanza vipi kumdai mtu nisiyemkopesha? Maana kukusanya michango vita yake ni kama unamdai mtu.

Kijana anza maisha kwa level yako kisha pambana, inuka. Ukiwa na pesa utaweza kufanyia harusi hata Juu ya puto kwenye hifadhi ya Tarangire au Serengeti na watu watakuzawadia mamilioni mengi.

Mimi kijana akija kwangu na wazo zuri la kumwinua nawiwa kumsaidia. Nimetoa support kwa vijana kadhaa mitaani, hata hapa JF nilianzisha kamchezo nilianza kutoa mitaji midogomidogo rejea account yangu ya zamani niliyopigwa ban ya BONDE LA BARAKA.

Kwa hiyo kadi ya mchango ndo imekufanya ukose raha kiasi cha kuja kulalamika hapa jukwaani na kuita watu wajinga?

Kama unaweza unachangia kama huna pia uwezo au hutaki tu pia unaacha sio suala la lazima.

Labda kama huna mtoto wa kike au pengine ni mdogo ki umri ila na wewe yatakuja kukufika kama haya. Jaribu kuonyesha ushirikiano na jamii yako inayokuzunguka.

Sasa ulitaka amchangie nani?!

Hilo la wao kuishi baada ya ndoa hao wawili halikuhusu hata wakilala njaa ndio ndoa yao wala wewe lisikupe shida.

Acha makelele CHANGIA WATU.
 
Tamaduni za kijima na kijamaa zifutwe.

Kama mtu hana pesa ya kufanya harusi kubwa, afanye ndogo tu kama ulivyofanya wewe.

Kitu muhimu ni ndoa, harusi ni sherehe tu.

Ila, kwetu kuna ugumu sana kiutamaduni.

Kuna rafiki yangu mmoja alijiandaa vizuri kugharamia harusi yake. Akasema hatachukua mchango wa mtu, na kama kuna mtu anataka kuchangia harusi, kuna kijiji cha Wamasai kinahitaji maji, achangie kijiji hicho badala ya harusi (wala si kwao, alichagua tu kijiji).

Mimi nikafikiri watu wataufurahia sana mfano huu wa mtu kugharamia harusi yake mwenyewe. Kawapunguzia michango.

Nikashangaa sana kuona baadhi ya jamaa walianza kulalamika kwamba huyu bwana anajiona sana, kawakataza watu kushirikiana naye kwenye harusi yake!

Kiranga,

Kuchangia sio lazima ukiweza changa kama huwezi au haupo tayari napo ni sawa.

Hayo mambo ya kusema kujigharamia mwenyewe halipo labda ukute ni familia yenye uwezo na ni mara chache sana.

Wazazi wanapenda wawape watoto wao vitu vizuri lakini wakati mwingine bila support ya watu wengine hawawezi hivyo huomba msaada.

Binadamu huwezi kuishi kivyako vyako tu.
 
Ukweli ndio upi? Mengi yameandikwa hapa, unapoandika "huo" unamaanisha nini? Unahakiki vipi huo ukweli ujue kuwa ni ukweli halisi na si maluweluwe unayoyaona wewe tu?

Mtu akikwambia yeye kuoa malaya poa tu, kwanza yeye mwenyewe malaya pia, utasema nini?
Wanaume wanaoa malaya
 
Kiranga,

Kuchangia sio lazima ukiweza changa kama huwezi au haupo tayari napo ni sawa.

Hayo mambo ya kusema kujigharamia mwenyewe halipo labda ukute ni familia yenye uwezo na ni mara chache sana.

Wazazi wanapenda wawape watoto wao vitu vizuri lakini wakati mwingine bila support ya watu wengine hawawezi hivyo huomba msaada.

Binadamu huwezi kuishi kivyako vyako tu.
Mkuu,

Mchango ukishapitishwa tu, tayari kunakuwa na social pressure ya kuchangia. Kwa hivyo usiseme kuchangia si lazima.
 
Wanaume wanaoa malaya
Mkuu,

Shika hamsini zako, oa unavyotaka na acha wengine waoe wanavyotaka.

Ukitaka kukagua usafi katika ndoa, hakuna ndoa itakayobaki.

Ukipiga kelele sana kuhusu wanaume wengine wanavyooa, wengine watasema una wivu tu, ulitaka kuolewa wewe.
 
Mkuu,

Shika hamsini zako, oa unavyotaka na acha wengine waoe wanavyotaka.

Ukitaka kukagua usafi katika ndoa, hakuna ndoa itakayobaki.

Ukipiga kelele sana kuhusu wanaume wengine wanavyooa, wengine watasema una wivu tu, ulitaka kuolewa wewe.
Mnaoa malaya halafu mnakuja na nyuzi zenu za kulalamika ndoa ziko matatani

Malaya hafugiki
 
Mnaoa malaya halafu mnakuja na nyuzi zenu za kulalamika ndoa ziko matatani

Malaya hafugiki
Unaposema "mnaoa" unanijumlisha na nani?

Unaposema "mnakuja na nyuzi zenu za kulalamika ndoa ziko matatani" , unaweza kunionesha uzi hata mmoja niliolalamika hivyo?

Au unaona maluweluwe tu?
 
Unaposema "mnaoa" unanijumlisha na nani?

Unaposema "mnakuja na nyuzi zenu za kulalamika ndoa ziko matatani" , unaweza kunionesha uzi hata mmoja niliolalamika hivyo?

Au unaona maluweluwe tu?
Hauna tofauti na kundi la hao niliowataja ndio maana nakujumuisha humohumo
 
Hauna tofauti na kundi la hao niliowataja ndio maana nakujumuisha humohumo
Hayo ni maneno ya kulazimisha tu.

Ndiyo maana umeshindwa kutoa ushahidi wa huo uzi nilioanzisha kulalamika.

Una hadithi ambayo haiendani na ushahidi unaoweza kuutoa, usilazimishe hadithi yako ndiyo iwe ukweli.
 
Michango muhimu natoa.

Mimi nikifa au kufiwa ofisi itawajibika kwa kila kitu mpaka geneza.
Acheni kuchangisha kwa vitu vya kijinga.

Mtu ni STD 7 anataka michango ya hharusi ni vyema tumchangie akalipie QT. Hata peke angu naweza kumsaidia kijana akija na wazo zuri
Safi
 
Hayo ni maneno ya kulazimisha tu.

Ndiyo maana umeshindwa kutoa ushahidi wa huo uzi nilioanzisha kulalamika.

Una hadithi ambayo haiendani na ushahidi unaoweza kuutoa, usilazimishe hadithi yako ndiyo iwe ukweli.
Ushahidi upi unaotaka?
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Jana wakati naingia ofisini nakuta kadi ya mchango wa harusi mezani nikaambiwa na mfanyakazi mwenzangu kuwa ni yangu.

Nafunua ndani nakuta haina hata jina Iko plain na wanaooana siwajui. Nikamuuliza yule mfanyakazi mwenzangu vipi mbona haina jina? Akasema wewe andika jina lako kadi kasambaza mama mmoja wa pale canteen mtoto wake anaoa.

Nilimuuliza ni mama yupi? Akanipa maelezo kuhusu huyo mama bado sijamjua, yawezekana tunaonana tu ila ndo vile simjui.

Niliwaza nikagundua kuwa huyu mama ananifahamu kidogo tu ndio maana hata jina langu kashindwa kuandika kwenye hii kadi. Nikamuuliza yule dada kwanini huyu mama atoe kadi kiholela? Mada ikaiashia hapo.

Hivi watu kama hawa ukiwaita wajinga unakosea? Kwanini mtu asifanye sherehe kwa kipato chake?

Kuwachangia mamilioni vijana kisha kuwafanyia sherehe kubwa baadaye wanaishi maisha ya kuungaunga na kuanza kutafuta ajira ni sawa na kusema walianza maisha ya fahari kisha wakaishi maisha ya kimaskini.
Binafsi michango ya hharusi na send off nachanga ila naangalia ni nani namchangia.

Ndoa nilifungia kwa DC Ilala kuepuka kashkashi zisizo na sababu. Nitaanza vipi kumdai mtu nisiyemkopesha? Maana kukusanya michango vita yake ni kama unamdai mtu.

Kijana anza maisha kwa level yako kisha pambana, inuka. Ukiwa na pesa utaweza kufanyia harusi hata Juu ya puto kwenye hifadhi ya Tarangire au Serengeti na watu watakuzawadia mamilioni mengi.

Mimi kijana akija kwangu na wazo zuri la kumwinua nawiwa kumsaidia. Nimetoa support kwa vijana kadhaa mitaani, hata hapa JF nilianzisha kamchezo nilianza kutoa mitaji midogomidogo rejea account yangu ya zamani niliyopigwa ban ya BONDE LA BARAKA.
Nakazia
 
Umeoa mkuu?? Hakuna mwanamke used mkuu.... ukishatumiana mnakuwa maused ma2, lakini mkienda kwa mwengine unakuwa mpya na unakuwa na thamani!!!!

Sisi wanaume wenyewe ni balaa tupu kwann mwanamke ndo anakuwa malaya? Sisi wanaume tunakuwa wakina nani?
Ni kama hao wanawake wanatumika na mbuzi..[emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom