Leo naamka na watu wajinga wanaotaka kufanya sherehe kubwa kwa kuwachangisha wengine

Leo naamka na watu wajinga wanaotaka kufanya sherehe kubwa kwa kuwachangisha wengine

Mungu hana cha kupoteza yeye atamsamehe ila shida kwako uliyeoa malaya. A hoe is forever a hoe
Sijaoa malaya bro. Trust me. Sijaoa kwa sasa ila ndoa ni kitu cha msingi kuliko unavyofikiria awe ni bikra au si bikra.
Kikubwa awe submissive na mwanaume aishi kama mwanaume.
Ubikra haudetermine ndoa kudumu au kuwa na thamani. Ni wote , mwanamke na mwanaume kufanya kazi ndoa isimame, bila reciprocation hakuna ndoa.
 
Unaoa mwanamke ambaye ameshatumika, kuna watu wamemla bure miaka na miaka.

Ulivyo mjinga unafanya na sherehe kabisa ya harusi ukumbini ukila, kunywa, ukicheza na kumtambulisha malaya kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki uliowaalika ukumbini

Ulivyo mjinga kabla ya kuteketeza mamilioni ukumbini ulimlipia mahari kubwa na wazazi wake wakakukabidhi malaya? Kweli hii ni akili au matope?

Kabla ya harusi unamnunulia malaya wedding gown, viatu na gharama ya salon apendeze siku ya harusi. Wewe ni mwanamume mjinga

Unapanga mipango ya harusi na kuwachangisha wadau ili uoe mwanamke ambaye bado kuna watu wanamla free kabla ya ndoa na baada ya ndoa wataendelea kummega kisela

Kuna ile mibwege siku ya engagement inawavalisha pete wanawake used na kama haitoshi wanampigia magoti malaya na kusema "please with this ring my love I'm giving you my heart." Kweli malaya wa kumpigia magoti?

Kama umemkuta ameshatumika kwa nini upoteze mamilioni kwa ajili yake? Hebu wanaume tushtuke

Iko hivi nyie mliooa kwa gharama huyo mwanamke ulijisumbua na kupoteza pesa zako bure

Huyo mkeo ni malaya she's cheap ndio maana amelala na wanaume wengine bure au kwa gharama ndogo kabla yako na wahuni hawakutoa hayo mamilioni, tena wamemmega kwenye nyumba za wageni za kawaida sana

Wewe kwa ujinga na kiherehere chako eti umeenda kulipia honeymoon kwenye hotel kubwa. Una akili kweli?

If she slept with other men for free should be offered for free
Ingawa inauma lakini ni ukweli.
 
Heshima na utii kwamune wake ndio vitu vya msingi. Kuhusu kutombwa kabla haikuhusu, you just start reading your chapter bablai.

Nyie ndio mkiwa na wanawake mnaanza kuwadadisi kwa kuwauliza kuwa wamelala na wanaume wangapi kabla ! Jinga kabisa.
 
Gari mnatumia used, nguo mtumba, simu used, wanawake ndipo mnataka brand new.
 
Unaoa mwanamke ambaye ameshatumika, kuna watu wamemla bure miaka na miaka.

Ulivyo mjinga unafanya na sherehe kabisa ya harusi ukumbini ukila, kunywa, ukicheza na kumtambulisha malaya kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki uliowaalika ukumbini

Ulivyo mjinga kabla ya kuteketeza mamilioni ukumbini ulimlipia mahari kubwa na wazazi wake wakakukabidhi malaya? Kweli hii ni akili au matope?

Kabla ya harusi unamnunulia malaya wedding gown, viatu na gharama ya salon apendeze siku ya harusi. Wewe ni mwanamume mjinga

Unapanga mipango ya harusi na kuwachangisha wadau ili uoe mwanamke ambaye bado kuna watu wanamla free kabla ya ndoa na baada ya ndoa wataendelea kummega kisela

Kuna ile mibwege siku ya engagement inawavalisha pete wanawake used na kama haitoshi wanampigia magoti malaya na kusema "please with this ring my love I'm giving you my heart." Kweli malaya wa kumpigia magoti?

Kama umemkuta ameshatumika kwa nini upoteze mamilioni kwa ajili yake? Hebu wanaume tushtuke

Iko hivi nyie mliooa kwa gharama huyo mwanamke ulijisumbua na kupoteza pesa zako bure

Huyo mkeo ni malaya she's cheap ndio maana amelala na wanaume wengine bure au kwa gharama ndogo kabla yako na wahuni hawakutoa hayo mamilioni, tena wamemmega kwenye nyumba za wageni za kawaida sana

Wewe kwa ujinga na kiherehere chako eti umeenda kulipia honeymoon kwenye hotel kubwa. Una akili kweli?

If she slept with other men for free should be offered for free
Mwanamme kutolea macho sana mwanamme mwenzako anavyooa, na wewe unaweza kuolewa.

Wewe fanya kivyako, acha wenzako wafanye kivyao.
 
Sijaoa malaya bro. Trust me. Sijaoa kwa sasa ila ndoa ni kitu cha msingi kuliko unavyofikiria awe ni bikra au si bikra.
Kikubwa awe submissive na mwanaume aishi kama mwanaume.
Ubikra haudetermine ndoa kudumu au kuwa na thamani. Ni wote , mwanamke na mwanaume kufanya kazi ndoa isimame, bila reciprocation hakuna ndoa.
Sijasema popote kuwa lazima tuoe bikira
 
Haifuti ukweli wa kuwa umeoa malaya
Kwani alikuambia kwamba hataki kuoa malaya?

Kwa nini unajipa umuhimu kwenye ndoa za watu usiowajua, kuwapa ushauri ambao hawajakuomba, kuhusu mambo usiyoyaelewa?
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Jana wakati naingia ofisini nakuta kadi ya mchango wa harusi mezani nikaambiwa na mfanyakazi mwenzangu kuwa ni yangu.

Nafunua ndani nakuta haina hata jina Iko plain na wanaooana siwajui. Nikamuuliza yule mfanyakazi mwenzangu vipi mbona haina jina? Akasema wewe andika jina lako kadi kasambaza mama mmoja wa pale canteen mtoto wake anaoa.

Nilimuuliza ni mama yupi? Akanipa maelezo kuhusu huyo mama bado sijamjua, yawezekana tunaonana tu ila ndo vile simjui.

Niliwaza nikagundua kuwa huyu mama ananifahamu kidogo tu ndio maana hata jina langu kashindwa kuandika kwenye hii kadi. Nikamuuliza yule dada kwanini huyu mama atoe kadi kiholela? Mada ikaiashia hapo.

Hivi watu kama hawa ukiwaita wajinga unakosea? Kwanini mtu asifanye sherehe kwa kipato chake?

Kuwachangia mamilioni vijana kisha kuwafanyia sherehe kubwa baadaye wanaishi maisha ya kuungaunga na kuanza kutafuta ajira ni sawa na kusema walianza maisha ya fahari kisha wakaishi maisha ya kimaskini.
Binafsi michango ya hharusi na send off nachanga ila naangalia ni nani namchangia.

Ndoa nilifungia kwa DC Ilala kuepuka kashkashi zisizo na sababu. Nitaanza vipi kumdai mtu nisiyemkopesha? Maana kukusanya michango vita yake ni kama unamdai mtu.

Kijana anza maisha kwa level yako kisha pambana, inuka. Ukiwa na pesa utaweza kufanyia harusi hata Juu ya puto kwenye hifadhi ya Tarangire au Serengeti na watu watakuzawadia mamilioni mengi.

Mimi kijana akija kwangu na wazo zuri la kumwinua nawiwa kumsaidia. Nimetoa support kwa vijana kadhaa mitaani, hata hapa JF nilianzisha kamchezo nilianza kutoa mitaji midogomidogo rejea account yangu ya zamani niliyopigwa ban ya BONDE LA BARAKA.
Bwana mdogo tafuta pesa ili uache kujliza liza kama Msimbe.
 
Mama J ni mama yetu hapa ofisini anafanya usafi. Binti yake alikuwa anafunga ndoa akapitisha kadi tukamchangia kama milioni tatu na nusu. Hela zote kapeleka kwenye sherehe, yeye kabaka kupiga mizinga mara sijala mara sina nauli.
 
Back
Top Bottom