Being_neutral
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 376
- 727
Unadhani mkuu sijui kuandika basi tu, ila nipo vzuri .Ungejifunza kwanza uandishi wa kutumia S badala ya X alafu ndo yafuate mambo makubwa ya ndoa
Hata wewe umeelewa ndio maana umenisahihisha.
Asante.