passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
- Thread starter
- #141
Yapi yalikusibu mkuu?Yote sawa ila ogapa kitu inaitwa kufunga ndoa.
Ulikaa kwenye ndoa miaka mingapi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yapi yalikusibu mkuu?Yote sawa ila ogapa kitu inaitwa kufunga ndoa.
Ni hatari ogopaaa😅Kataa ndoa😄🤒
Pole sana mkuu.Stara wabakinayo wengine mi sitaki kusikia marriage tena mkuu
Yani nikiongelea ndoa namaanisha ule mkataba, umekaa ki TP sana.Yapi yalikusibu mkuu?
Ulikaa kwenye ndoa miaka mingapi mkuu?
BarikiwaPole sana mkuu.
Hahaha sasa mkuu mkataba gani ambao unausemea kwenye ndoa?Yani nikiongelea ndoa namaanisha ule mkataba, umekaa ki TP sana.
Dah nime Baki mwenyewe 😄🙄danganya toto 😹
Sio mimi wana wengi tu wamepigwa mkuu , kuyaongelea hao mambo ni kisanga wewe jichanganye ukafunge ndoa alafu ukute ina vichembe vya ukristo utajuta.Hahaha sasa mkuu mkataba gani ambao unausemea kwenye ndoa?
Maana huenda labda tu unasema ogopa ila sijajua pointi yako.
Embu share tujifunze kuna mkataba gani ambao unafanya wewe uogope?
Yali kukuta 🙄🤔😂😂Sio mimi wana wengi tu wamepigwa mkuu , kuyaongelea hao mambo ni kisanga wewe jichanganye ukafunge ndoa alafu ukute ina vichembe vya ukristo utajuta.
Kwa kweli nilitaka kujifunza ila hata sijaelewa unachojaribu kusema.Sio mimi wana wengi tu wamepigwa mkuu , kuyaongelea hao mambo ni kisanga wewe jichanganye ukafunge ndoa alafu ukute ina vichembe vya ukristo utajuta.
Nitaoa nikifika 60 niteseke kidgo then nife😅Yali kukuta 🙄🤔😂😂
Wivu wa kipuuzi, Mnawaza negative tu.Ngoja ukiijua michepuko yake ndiyo utakuja kujua hujui
Hili jambo ni personallabda ningejua kwanini hauna mahusiano? Hautaki au ni sababu ipi?
Apa akili haina akili 😂😂😂Nitaoa nikifika 60 niteseke kidgo then nife😅
sasa jambo personal mkuu ungebaki nalo tu moyoni😂Hili jambo ni personal
Hahahahah kila mtu Yuko na sababu zake za msingi kwann hayuko na mahusianosasa jambo personal mkuu ungebaki nalo tu moyoni😂
Maana umesema tusiokuwa na mahusiano tufanyeje? Halafu tena ni person!!
Ahsante kwa kuchangia mkuu.
Maisha yote unakuta unavumilia just imagine🤔🤔🤔Apa akili haina akili 😂😂😂
We bwana mbavu zangu hoi apa kwaiyo ww mpk miaka 60 ndio uoeMaisha yote unakuta unavumilia just imagine🤔🤔🤔
Kabisa mkuu tena sio utani .We bwana mbavu zangu hoi apa kwaiyo ww mpk miaka 60 ndio uoe
Aaaaaah we bado hujanishawishi hapa mwanzo mwisho kishundu kwa kishundu makasiriko tunayakaribisha kifo kiaribieKabisa mkuu tena sio utani .