Humilis
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 889
- 1,070
Jibu sahihi sanaMkuu,
Ni labda tu hujasoma vzuri.
Hapo juu hakuna sehemu inayosema kwamba hatutaachana ila nina enjoy moment zote nazopitia katika maisha yangu.
wewe huoni raha kuamka asubuhi mke anakuandalia maji ya moto na baridi hili ankuandalia chai mnapeleka mtoto shule baada ya hapo mnaondoka kwenye mishe mishe zenu?
suala la kuachana hakuna anayejua ila tunaishi moment ambayo ipo siwezi ku-control vitu ambavyo sijui itakuaje.
Mkuu wewe umeshaoa?