Leo natimiza miaka 5 na mke wangu, siku ya kwanza kutoka date alinipa ujumbe mzuri sana

Leo natimiza miaka 5 na mke wangu, siku ya kwanza kutoka date alinipa ujumbe mzuri sana

Siyo kwamba nawasagia kunguni ila mtaachana tuu ni kitendo cha muda tuu
Mkuu,
Ni labda tu hujasoma vzuri.
Hapo juu hakuna sehemu inayosema kwamba hatutaachana ila nina enjoy moment zote nazopitia katika maisha yangu.

wewe huoni raha kuamka asubuhi mke anakuandalia maji ya moto na baridi hili ankuandalia chai mnapeleka mtoto shule baada ya hapo mnaondoka kwenye mishe mishe zenu?

suala la kuachana hakuna anayejua ila tunaishi moment ambayo ipo siwezi ku-control vitu ambavyo sijui itakuaje.

Mkuu wewe umeshaoa?
 
We bwana furaha zako unataka na sisi tuanze kuchukua mifano ya vitabu kuleta kwenye uhalisia sawa mwana kukimbia kwa kujifuraisha kwaiyo tusuo na mahusiano tufanyeje
labda ningejua kwanini hauna mahusiano? Hautaki au ni sababu ipi?
 
Hongera Sana!
Na hii ndo Radha ya Ndoa Hasa ukimpata Mtu sahihi..
"Soul mate"

Naomba Baraka ndoa Yenu izidi kuimarika Na muepushwe na Misukosuko na Upepo mbaya katika ndoa endapo mtapitia Ugumu utambue ni Just maisha ya Kawaida na ujue jinsi ya kuyavuka..

Mikwaruzano, Ugomvi kutoelewana zote hizi ni hatua na hakikisha unaisolve Mara tu inapotokea Pride,Ego na Ubinafsi Hivi viwekeni kando mtaongeza maisha mengi sana kwenye ndoa..

kongole Mimi na Shemeji yako Huu mwaka wetu wa 17
Ahsante sana mkuu.
Kiukweli umenena vyema!

Nakumbuka siku moja baba yake(baba mkwe) nilipoenda alimuuliza mwanae mimi na mama yako tuna miaka mingapi? Akajibu 22.

Baba mkwe alinigeukia akaniambia usitake kujua nani ni mjinga ila kwenye ndoa ukitaka ku-survive mmoja inabidi awe mjinga, ila si tafsiri ya kumnyanyasa au kutomsikiliza mwenzako.

Nashukuru sana mkuu miaka 17 mingi hongera sana pia kwako.
 
Mwanzo wa mbio huwa ni huleta matumaini ya ushindi lakini kadri unasonga mbele ugumu unaongezeka, lakini kadri unavyo songa matumaini yale ya ushindi yanarudi.
Furaha ya mbio ni mwisho ikiwa unaelekea kushinda.
HAKIKA.
 
Hongereni na hongera kwako. Hua nafurahi sana mtu anaposhuhudia uzuri wa ndoa sio kila siku kataa ndoa. Mungu aendelee kuwatunza hadi muuone uzee. Wale tunaopenda kuzeeka na wenzi wetu tuseme AMINA.
 
Hongereni na hongera kwako. Hua nafurahi sana mtu anaposhuhudia uzuri wa ndoa sio kila siku kataa ndoa. Mungu aendelee kuwatunza hadi muuone uzee. Wale tunaopenda kuzeeka na wenzi wetu tuseme AMINA.
Nashukuru sana mkuu.
 
Dah pole mlishindwana nini jamani, 15yrs sio mchezo.
Mimi hata sikuelewa kwakwel alianza mabadiriko ya vificho tu nikambana sanaaa mwisho yakamshinda akafunguka tuachane amepata mtu sahih, nikaridhia akaenda.

Sasa miaka 15 ameishi na mimi hakuwa hujua kama mimi siyo sahih ila ndani ya muda mchache tu alipoanza usaliti akaconfirm/akanitambia uko nje ndo kuna watu sahih sikua na cha kumshauri tena maana tumeish tukifundishana mengi nikaona kumbe wanawake ni vilaza tu sikutumia nguvu tena kama mbuzi tu nikamfungulia kamba zizini aende apendako.
 
Me nachojua mwanamke bila kipigo haendi kama punda tu, angalau nitatengeneza mazingira ya kutokua hatia ila lengo litimie.
Hapana mwanake ni kiumbe dhaifu sana anahitaji utaratibu wa kuelekezwa kama mtoto pindi akoseapo!..
Umewahi kusikia watu wanafuga simba?
Unajua wamewezaje?

Simba ni mnyama Mkali sana na asiyejali ila Ni mnyama mpole sana kama akiona unafata kila kitu ambacho anachokitaka na unaonyesha kutomdhuru, Simba ukionyesha ishara yoyote ya kumdhuru Moja kwa moja hujiamini kwa kukudhuru wewe kabla!..

Sasa hapo naamaanisha nini?
Kuwa mwanamke ni mpole na hufata kila unachosema kama wewe pia utamsikiliza na kumjali kwa vile anavyovitaka lakini mwanamke utamtengeneza kuwa bomu la machozi na Kuua endapo hutamjali na kumyanyasa atageuka mnyama na sio binadamu Roho yake itakuwa mbaya kutkana na maumivu ya kila siku anayopitia (Hiyo ni kutokana na udhaifu wake alionao)..

Kwahyo mwanamke sio Ngoma usinpige, Mwanamke ambaye humpigi atakuogopa na kukutii sana kuliko mwanamke unaempiga mara kwa mara
 
Back
Top Bottom