Leo natimiza miaka 5 na mke wangu, siku ya kwanza kutoka date alinipa ujumbe mzuri sana

Leo natimiza miaka 5 na mke wangu, siku ya kwanza kutoka date alinipa ujumbe mzuri sana

Mke wangu alikuwa anaulizia sehem kipindi hicho nina kibanda nikamwambia nisubir nimuuzie mteja. Akasubiri nikamalizana na mteja. Nikawa namuelekeza haelewi ikabidi nimpeleke akaniomba nimsubiri. Akarudi baada ya dakika kama 5. Njian stor hapa na pale akataka kujua kwangu. By then anasoma chuo mwaka wa3. Cku hiyo hiyo akajua kwangu na ndio kuoa hivyo. Tuna miaka 23 cjawah kumpiga wala kumtukana. Cna la zaid kumuongelea ila. Ninamshukuru Mungu sana. Alijua kunipendelea. Tuna watoto wanne nathubutu kusema tumebarikiwa.
Napinga vikali chai hii yenye pilipili nyingi.
 
Mke wangu alikuwa anaulizia sehem kipindi hicho nina kibanda nikamwambia nisubir nimuuzie mteja. Akasubiri nikamalizana na mteja. Nikawa namuelekeza haelewi ikabidi nimpeleke akaniomba nimsubiri. Akarudi baada ya dakika kama 5. Njian stor hapa na pale akataka kujua kwangu. By then anasoma chuo mwaka wa3. Cku hiyo hiyo akajua kwangu na ndio kuoa hivyo. Tuna miaka 23 cjawah kumpiga wala kumtukana. Cna la zaid kumuongelea ila. Ninamshukuru Mungu sana. Alijua kunipendelea. Tuna watoto wanne nathubutu kusema tumebarikiwa.
DAah hongera sana kaka.
Ila kupishana maneno na kununiana si yapo hayo?
Mimi nawapenda sana Aika na nahreel wale ni mfano bora tangu udogoni
 
Napinga vikali chai hii yenye pilipili nyingi.
Mimi ninaweza kukubali ila japo kugombana kupo kupishana maneno
Ilq suala la kupiga mwanamke naweza kubali hajampga.
Kuna mzee ni anakunywa pombe yeye akirudi home ni ndani kimya.
Mwaka wa 15 hapa sijawahi kusikia mke wake akilia kwamba anapigwa ila tunasikiaga wanagombezana baada ya mda mwanaume anatoka anaondoka
 
wakuu habari za uzima?

Mimi na mke wangu niseme watu tunaopenda sana kusoma vitabu, sasahivi tuna mtoto mmoja handsome boy linanipa faraja sana na kunifanya niendelee kupambana.

Niseme katika watu wenye wanawake smart mimi ni miongoni mwao, mke wangu tulikutana miaka mitano nyuma.
Nadhani wote tunajua mapenzi yakiwa mwanzo, baada ya kutupa sana ndoano mwisho akakubali nikamuomba date.

basi siku ya kwanza natoka nae date jioni, tukaagiza chakula huku stori zikiendelea nyingi akiniuliza umesoma kitabu fulani na masuala ya mziki huwa nikiwa na stress zangu za kazi ananiimbia jamani huyu mwanamke acha tu😍.

Basi stori zikawa zinaendelea.

Mimi; unajua wanawake huwa mnapenda vitu vingi mbali na mziki na kusoma vitabu nini kingine?

Mke; unajua tunapokosea sisi ni kusema vitu vyote kwa mwanaume at once hivyo mwanaume ata fulfill vile vitu haraka ili apate kile ambacho anataka hiyo ni kazi yako kujua napenda nini.

Hili jibu likanifanya nijue naongea na mtu wa aina gani, nikajibu sawa.
Tukawa tunaendelea na stori sasa kipindi hicho nilikuwa nasoma(hapa bado hatujakutana kimwili) nikamwambia unajua nipo nasoma ila unajua nilijaribu kufungua biashara ya huduma za kifedha ila naona kama nikiacha mtu kuna hasara kubwa sana na nashindwa kujigawa kuwepo pale muda wote nafikiria kuacha.

Mke wangu alinipa mfano ambao mwanzoni niliuona wakijinga sana.

Akaniambia kuna stori fulani ya zamani ya kitoto ya Mbwa mmoja ambaye alikuwa akijitapa kwamba yeye ndio ana mbio sana na hakuna mnyama ambaye atashindwa kumkamata, basi siku moja mbwa yule akamuona sungura akaanza kumkimbiza sana lakini bila mafanikio hakumpata!

alivyorudi akakuta wenzake wanamcheka wakisema wewe umekuwa ukijitamba hakuna kiumbe kinachokushinda mbio vipi leo imekuwaje?

Akawajibu wenzake, mnajua mnashindwa kuelewa jambo moja mimi nilikuwa namkimbiza kama moja ya kujifurahisha kwangu, lakini sungura alikuwa anakimbia kuokoa maisha yake hivyo lazima aweke bidii kubwa kuokoa maisha yake maana hajui kama mimi ninajifurahisha au nataka kumdhuru kweli.(hii stori alihadithiwa na baba yake ni mwanasheria)

akaniambia mke wangu nafikiri unabidi uangalie biashara hiyo ina umuhimu gani kwako kwenye kukutimizia mahitaji yako.

kiukweli huyu mwanamke amekuwa chachu ya mimi kupiga hatua kila siku, niwanamke mzuri kuanzia sura mpaka akili.

Niliporudi ile siku nilifikiria sana mfano wake nikasema tu huyu ndiye niliyemtarajia.

NB: ndoa ni miaka mitatu ila mahusiano mwaka huu natimiza miaka mitano.

Kanizawadia katoto kamoja kazuri.

Wanaume share ujumbe mzuri wa mke wako au mpenzi wako?

Nawashauri wanaume wenzangu sio lazima uoe rasmi hata kwenda kujitambulisha kwa wazazi wakakujua ni jambo la Hekima sana.
We bwana furaha zako unataka na sisi tuanze kuchukua mifano ya vitabu kuleta kwenye uhalisia sawa mwana kukimbia kwa kujifuraisha kwaiyo tusuo na mahusiano tufanyeje
 
Napinga vikali chai hii yenye pilipili nyingi.
Kwanini? Kwa sababu amekwambia Hajawahi kumpiga Binafsi siamini kwenye kunyoosha mkono kwa Mwanamke Tangu nikiwa mdogo nilifundishwa hivyo..

Na pia hata Mimi namfundisha sana mwanangu wa Kwanza hiyo kitu sasa hivi ana miaka 22 huwa nampa somo tangu akiwa mdogo kuwa Asije akajaribu kumpiga mwanamke..

Akiwa na hasira Ni bora apige ukuta au aondoke nyumbani akapungwe upepo ila sio kunyoosha mkono kwa mwanamke
 
Kwanini? Kwa sababu amekwambia Hajawahi kumpiga Binafsi siamini kwenye kunyoosha mkono kwa Mwanamke Tangu nikiwa mdogo nilifundishwa hivyo..

Na pia hata Mimi namfundisha sana mwanangu wa Kwanza hiyo kitu sasa hivi ana miaka 22 huwa nampa somo tangu akiwa mdogo kuwa Asije akajaribu kumpiga mwanamke..

Akiwa na hasira Ni bora apige ukuta au aondoke nyumbani akapungwe upepo ila sio kunyoosha mkono kwa mwanamke
Basi nikiwa na hasra ntakua nikimpa pesa bandia akapigwe sokoni, Ahsante kwa somo.
 
Kwanini? Kwa sababu amekwambia Hajawahi kumpiga Binafsi siamini kwenye kunyoosha mkono kwa Mwanamke Tangu nikiwa mdogo nilifundishwa hivyo..

Na pia hata Mimi namfundisha sana mwanangu wa Kwanza hiyo kitu sasa hivi ana miaka 22 huwa nampa somo tangu akiwa mdogo kuwa Asije akajaribu kumpiga mwanamke..

Akiwa na hasira Ni bora apige ukuta au aondoke nyumbani akapungwe upepo ila sio kunyoosha mkono kwa mwanamke
Baba shkamoo kama una mtoto miaka 22 wewe ni baba yangu🙏🏽😂
 
Mimi ninaweza kukubali ila japo kugombana kupo kupishana maneno
Ilq suala la kupiga mwanamke naweza kubali hajampga.
Kuna mzee ni anakunywa pombe yeye akirudi home ni ndani kimya.
Mwaka wa 15 hapa sijawahi kusikia mke wake akilia kwamba anapigwa ila tunasikiaga wanagombezana baada ya mda mwanaume anatoka anaondoka

Mimi ninaweza kukubali ila japo kugombana kupo kupishana maneno
Ilq suala la kupiga mwanamke naweza kubali hajampga.
Kuna mzee ni anakunywa pombe yeye akirudi home ni ndani kimya.
Mwaka wa 15 hapa sijawahi kusikia mke wake akilia kwamba anapigwa ila tunasikiaga wanagombezana baada ya mda mwanaume anatoka anaondoka
Mi nina principal moja bro.
Niliwah kukaa chini nikajiuliza nini maana ya hasira. Nikagundua hasira maana yake ni kuumia kwasababu ya ujinga wa mtu. So kamwe ukiniudhi wala sikasiriki kuumia naondoka au nakaa kimya. Baadae nitakuuliza kuhusu ulichofanya nikiamin utakuwa kwenye mazingira mazuri kunipa jibu sahihi. Kuna kisa kimoja wife aliwah kufanya sio uzinz aliniwakia kwa jambo ambalo halikuwa kweli. nikaondoka home nikazima cm zote wiki 3. Hawakujua nilipo tokea hapo nilitoa condition zangu mbele ya wazazi tukishindwana usiumize kichwa. Sema unataka nini kati ya tulivyonavyo ukienda kushoto naenda kulia. Tangu cku hiyo hajawah kurudia na Mimi cjawah kumtukana wala kumpiga.
 
Hivi ni mimi nipo nyuma ya dunia au? Mimi hata majirani wa kike tu nawatia makofi shobo zikizidi habari gani kwa Mke!!
Mkuu wewe utakuwa na matatizo sio kwema kichwanI hiyo si sifa kwa mwanaume, mwanaume kugombana au kupigana na mwanamke siyo sifa kabisa.
Akianza kuongea au maneno maneno mtaani ya umbea potezea ndiyo walivyo utapigana na wangapi?
 
Mi nina principal moja bro.
Niliwah kukaa chini nikajiuliza nini maana ya hasira. Nikagundua hasira maana yake ni kuumia kwasababu ya ujinga wa mtu. So kamwe ukiniudhi wala sikasiriki kuumia naondoka au nakaa kimya. Baadae nitakuuliza kuhusu ulichofanya nikiamin utakuwa kwenye mazingira mazuri kunipa jibu sahihi. Kuna kisa kimoja wife aliwah kufanya sio uzinz aliniwakia kwa jambo ambalo halikuwa kweli. nikaondoka home nikazima cm zote wiki 3. Hawakujua nilipo tokea hapo nilitoa condition zangu mbele ya wazazi tukishindwana usiumize kichwa. Sema unataka nini kati ya tulivyonavyo ukienda kushoto naenda kulia. Tangu cku hiyo hajawah kurudia na Mimi cjawah kumtukana wala kumpiga.
Daah mkuu nimejfunza kitu hapa.
 
Mke wangu alikuwa anaulizia sehem kipindi hicho nina kibanda nikamwambia nisubir nimuuzie mteja. Akasubiri nikamalizana na mteja. Nikawa namuelekeza haelewi ikabidi nimpeleke akaniomba nimsubiri. Akarudi baada ya dakika kama 5. Njian stor hapa na pale akataka kujua kwangu. By then anasoma chuo mwaka wa3. Cku hiyo hiyo akajua kwangu na ndio kuoa hivyo. Tuna miaka 23 cjawah kumpiga wala kumtukana. Cna la zaid kumuongelea ila. Ninamshukuru Mungu sana. Alijua kunipendelea. Tuna watoto wanne nathubutu kusema tumebarikiwa.
Hongera mkuu, nasi tunaotarajia kuoa angalau unatutia moyo.
Bado naamini katika ndoa, naamini ndoa ni kitu kizuri sana kama ukimpata mtu sahihi.
 
Back
Top Bottom