Leo natimiza miaka 5 na mke wangu, siku ya kwanza kutoka date alinipa ujumbe mzuri sana

Leo natimiza miaka 5 na mke wangu, siku ya kwanza kutoka date alinipa ujumbe mzuri sana

Miaka mitano, bado kabisa shetani hajaanza kuwafuatilia. Wenye miaka 30 na kuendelea ndio Wana kila sababu ya kujipongeza maana shetani ameachana nao.
Shetani hayupo mkuu hizo stori tu.

nilikubaliana kwamba naishi na mtu dhaifu na mimi ni dhaifu pia makosa ni lazima.

Hakuna ndoa plain isiyokuwa na changamoto, ila lazima tusamehane maisha yaendelee.
Mkuu wewe ushaoa?
 
wakuu habari za uzima?

Mimi na mke wangu niseme watu tunaopenda sana kusoma vitabu, sasahivi tuna mtoto mmoja handsome boy linanipa faraja sana na kunifanya niendelee kupambana.

Niseme katika watu wenye wanawake smart mimi ni miongoni mwao, mke wangu tulikutana miaka mitano nyuma.
Nadhani wote tunajua mapenzi yakiwa mwanzo, baada ya kutupa sana ndoano mwisho akakubali nikamuomba date.

basi siku ya kwanza natoka nae date jioni, tukaagiza chakula huku stori zikiendelea nyingi akiniuliza umesoma kitabu fulani na masuala ya mziki huwa nikiwa na stress zangu za kazi ananiimbia jamani huyu mwanamke acha tušŸ˜.

Basi stori zikawa zinaendelea.

Mimi; unajua wanawake huwa mnapenda vitu vingi mbali na mziki na kusoma vitabu nini kingine?

Mke; unajua tunapokosea sisi ni kusema vitu vyote kwa mwanaume at once hivyo mwanaume ata fulfill vile vitu haraka ili apate kile ambacho anataka hiyo ni kazi yako kujua napenda nini.

Hili jibu likanifanya nijue naongea na mtu wa aina gani, nikajibu sawa.
Tukawa tunaendelea na stori sasa kipindi hicho nilikuwa nasoma(hapa bado hatujakutana kimwili) nikamwambia unajua nipo nasoma ila unajua nilijaribu kufungua biashara ya huduma za kifedha ila naona kama nikiacha mtu kuna hasara kubwa sana na nashindwa kujigawa kuwepo pale muda wote nafikiria kuacha.

Mke wangu alinipa mfano ambao mwanzoni niliuona wakijinga sana.

Akaniambia kuna stori fulani ya zamani ya kitoto ya Mbwa mmoja ambaye alikuwa akijitapa kwamba yeye ndio ana mbio sana na hakuna mnyama ambaye atashindwa kumkamata, basi siku moja mbwa yule akamuona sungura akaanza kumkimbiza sana lakini bila mafanikio hakumpata!

alivyorudi akakuta wenzake wanamcheka wakisema wewe umekuwa ukijitamba hakuna kiumbe kinachokushinda mbio vipi leo imekuwaje?

Akawajibu wenzake, mnajua mnashindwa kuelewa jambo moja mimi nilikuwa namkimbiza kama moja ya kujifurahisha kwangu, lakini sungura alikuwa anakimbia kuokoa maisha yake hivyo lazima aweke bidii kubwa kuokoa maisha yake maana hajui kama mimi ninajifurahisha au nataka kumdhuru kweli.(hii stori alihadithiwa na baba yake ni mwanasheria)

akaniambia mke wangu nafikiri unabidi uangalie biashara hiyo ina umuhimu gani kwako kwenye kukutimizia mahitaji yako.

kiukweli huyu mwanamke amekuwa chachu ya mimi kupiga hatua kila siku, niwanamke mzuri kuanzia sura mpaka akili.

Niliporudi ile siku nilifikiria sana mfano wake nikasema tu huyu ndiye niliyemtarajia.

NB: ndoa ni miaka mitatu ila mahusiano mwaka huu natimiza miaka mitano.

Kanizawadia katoto kamoja kazuri.

Wanaume share ujumbe mzuri wa mke wako au mpenzi wako?

Nawashauri wanaume wenzangu sio lazima uoe rasmi hata kwenda kujitambulisha kwa wazazi wakakujua ni jambo la Hekima sana.
Sisi tulifikisha miaka 15 na bado tukaachana, nikiwa na muda nitawaletea jumbe zote nzuri tulizoshare since day 1.
 
Sisi tulifikisha miaka 15 na bado tukaachana, nikiwa na muda nitawaletea jumbe zote nzuri tulizoshare since day 1.
Pole sana mkuu.

Nafikiri ulienjoy moment kwa wakati huo?

Mimi pia nimepita kwenye mahusano mabaya na magumu hata ya usaliti.

The beautiful of life lies in the memory we create.

Ulete tujifunze.
 
wakuu habari za uzima?

Mimi na mke wangu niseme watu tunaopenda sana kusoma vitabu, sasahivi tuna mtoto mmoja handsome boy linanipa faraja sana na kunifanya niendelee kupambana.

Niseme katika watu wenye wanawake smart mimi ni miongoni mwao, mke wangu tulikutana miaka mitano nyuma.
Nadhani wote tunajua mapenzi yakiwa mwanzo, baada ya kutupa sana ndoano mwisho akakubali nikamuomba date.

basi siku ya kwanza natoka nae date jioni, tukaagiza chakula huku stori zikiendelea nyingi akiniuliza umesoma kitabu fulani na masuala ya mziki huwa nikiwa na stress zangu za kazi ananiimbia jamani huyu mwanamke acha tušŸ˜.

Basi stori zikawa zinaendelea.

Mimi; unajua wanawake huwa mnapenda vitu vingi mbali na mziki na kusoma vitabu nini kingine?

Mke; unajua tunapokosea sisi ni kusema vitu vyote kwa mwanaume at once hivyo mwanaume ata fulfill vile vitu haraka ili apate kile ambacho anataka hiyo ni kazi yako kujua napenda nini.

Hili jibu likanifanya nijue naongea na mtu wa aina gani, nikajibu sawa.
Tukawa tunaendelea na stori sasa kipindi hicho nilikuwa nasoma(hapa bado hatujakutana kimwili) nikamwambia unajua nipo nasoma ila unajua nilijaribu kufungua biashara ya huduma za kifedha ila naona kama nikiacha mtu kuna hasara kubwa sana na nashindwa kujigawa kuwepo pale muda wote nafikiria kuacha.

Mke wangu alinipa mfano ambao mwanzoni niliuona wakijinga sana.

Akaniambia kuna stori fulani ya zamani ya kitoto ya Mbwa mmoja ambaye alikuwa akijitapa kwamba yeye ndio ana mbio sana na hakuna mnyama ambaye atashindwa kumkamata, basi siku moja mbwa yule akamuona sungura akaanza kumkimbiza sana lakini bila mafanikio hakumpata!

alivyorudi akakuta wenzake wanamcheka wakisema wewe umekuwa ukijitamba hakuna kiumbe kinachokushinda mbio vipi leo imekuwaje?

Akawajibu wenzake, mnajua mnashindwa kuelewa jambo moja mimi nilikuwa namkimbiza kama moja ya kujifurahisha kwangu, lakini sungura alikuwa anakimbia kuokoa maisha yake hivyo lazima aweke bidii kubwa kuokoa maisha yake maana hajui kama mimi ninajifurahisha au nataka kumdhuru kweli.(hii stori alihadithiwa na baba yake ni mwanasheria)

akaniambia mke wangu nafikiri unabidi uangalie biashara hiyo ina umuhimu gani kwako kwenye kukutimizia mahitaji yako.

kiukweli huyu mwanamke amekuwa chachu ya mimi kupiga hatua kila siku, niwanamke mzuri kuanzia sura mpaka akili.

Niliporudi ile siku nilifikiria sana mfano wake nikasema tu huyu ndiye niliyemtarajia.

NB: ndoa ni miaka mitatu ila mahusiano mwaka huu natimiza miaka mitano.

Kanizawadia katoto kamoja kazuri.

Wanaume share ujumbe mzuri wa mke wako au mpenzi wako?

Nawashauri wanaume wenzangu sio lazima uoe rasmi hata kwenda kujitambulisha kwa wazazi wakakujua ni jambo la Hekima sana.
Hongera Sana!
Na hii ndo Radha ya Ndoa Hasa ukimpata Mtu sahihi..
"Soul mate"

Naomba Baraka ndoa Yenu izidi kuimarika Na muepushwe na Misukosuko na Upepo mbaya katika ndoa endapo mtapitia Ugumu utambue ni Just maisha ya Kawaida na ujue jinsi ya kuyavuka..

Mikwaruzano, Ugomvi kutoelewana zote hizi ni hatua na hakikisha unaisolve Mara tu inapotokea Pride,Ego na Ubinafsi Hivi viwekeni kando mtaongeza maisha mengi sana kwenye ndoa..

kongole Mimi na Shemeji yako Huu mwaka wetu wa 17
 
Daaah hongera sana kaka mungu akusaidie uendelee kumtunza mke wako na mwanao, mimi sijapata tu ila nikipata nikaona wakuifaa nitaoa.
Mke anaweza kukuweka kwenye reli au akakutoa maisha ya ukapera yanachosha kubadilika wanawake pesa hata uioni unayopata inaenda wapi.
 
Mke wangu alikuwa anaulizia sehem kipindi hicho nina kibanda nikamwambia nisubir nimuuzie mteja. Akasubiri nikamalizana na mteja. Nikawa namuelekeza haelewi ikabidi nimpeleke akaniomba nimsubiri. Akarudi baada ya dakika kama 5. Njian stor hapa na pale akataka kujua kwangu. By then anasoma chuo mwaka wa3. Cku hiyo hiyo akajua kwangu na ndio kuoa hivyo. Tuna miaka 23 cjawah kumpiga wala kumtukana. Cna la zaid kumuongelea ila. Ninamshukuru Mungu sana. Alijua kunipendelea. Tuna watoto wanne nathubutu kusema tumebarikiwa.
 
Back
Top Bottom