DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
wewe ni kabila gani mkuu 😅😅🤣🤣Hivi ni mimi nipo nyuma ya dunia au? Mimi hata majirani wa kike tu nawatia makofi shobo zikizidi habari gani kwa Mke!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ni kabila gani mkuu 😅😅🤣🤣Hivi ni mimi nipo nyuma ya dunia au? Mimi hata majirani wa kike tu nawatia makofi shobo zikizidi habari gani kwa Mke!!
Dah sometimes nyie mliofanikiwa mtueleze mlifanikiwaje kiwaje!?Mke wangu alikuwa anaulizia sehem kipindi hicho nina kibanda nikamwambia nisubir nimuuzie mteja. Akasubiri nikamalizana na mteja. Nikawa namuelekeza haelewi ikabidi nimpeleke akaniomba nimsubiri. Akarudi baada ya dakika kama 5. Njian stor hapa na pale akataka kujua kwangu. By then anasoma chuo mwaka wa3. Cku hiyo hiyo akajua kwangu na ndio kuoa hivyo. Tuna miaka 23 cjawah kumpiga wala kumtukana. Cna la zaid kumuongelea ila. Ninamshukuru Mungu sana. Alijua kunipendelea. Tuna watoto wanne nathubutu kusema tumebarikiwa.
Soma biblia Tena "Towashi"Dah sometimes nyie mliofanikiwa mtueleze mlifanikiwaje kiwaje!?
Mtu shauri sisi vijana ,maana hawa kataa ndoa wamekuwa wengi sana,
Na agenda kuu ni ushetani,maana Mungu kwenye karbu imani zote kahimiiza ndoa
Kama kawa kama dawaNgoja ukiijua michepuko yake ndiyo utakuja kujua hujui
Kuna mapenzi bila ndoa.Kuna ndoa bila mapenzi?
Mnawashauri vijana vibaya, zama hizi ndoa za kazi gani ?HAha mkuu,
Mimi nakushauri usikatae ndoa
Mmmh sio mkurya kweli huyu?wewe ni kabila gani mkuu 😅😅🤣🤣
Sion uby kumxfia mke wake na isitoshe jamii sahv watu weng wanafany sana zinaa kisingizio ndoa ni shida. acha tujifnzeVitu vingine muwe mnakaanavyo, sio lazima kuweka mitandaoni
Bro kwa Mimi Mkristo nachoweza kukuambia hakunaga ujanja kwenye kuoa mkuu. Ni Mungu tu kwa mapenzi yake anakujalia. Bible inasema mali na urithi mtu atapewa na babae bali mke mwema atatoka kwa bwana. Sasa shida mi naona tumemtangulia Mungu kwenye kazi yake. Maana inawezekana wewe umependa umbile kumbe Mungu alikuchagulia wa kawaida sana ili uwe na aman we hutaki. Muombe Mungu bro utapewa wa kufanana na wewe. Usisahau kufuata nature kama unataka aman.Dah sometimes nyie mliofanikiwa mtueleze mlifanikiwaje kiwaje!?
Mtu shauri sisi vijana ,maana hawa kataa ndoa wamekuwa wengi sana,
Na agenda kuu ni ushetani,maana Mungu kwenye karbu imani zote kahimiiza ndoa
Ngoja ukiijua michepuko yake ndiyo utakuja kujua hujui
Siyo kila mwanamke ana mawazo kama ya mke wako, wewe pambana na huyo wako uliekwisha juwa michepuko yake acha wenye mawazo positive wasonge mbele.Ngoja ukiijua michepuko yake ndiyo utakuja kujua hujui
UONGOyeye huyu anaye sema anatuzuga
Natania mkuu.UONGO
Yaan kama Mungu alivyosema mwanamke amtii mume it's means automatically lazima mume atampenda. Hii Dunia ukifuata kufuata asili yake ilivyoelekeza hakuna tatizo Mzee.. "Usisahau kufuata nature kama unataka aman."
Rahisisha Mkuu
Kwani mkuu wewe hauhitaji mapenzi?Mnawashauri vijana vibaya, zama hizi ndoa za kazi gani ?