Being_neutral
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 376
- 727
Unadhani mkuu sijui kuandika basi tu, ila nipo vzuri .Ungejifunza kwanza uandishi wa kutumia S badala ya X alafu ndo yafuate mambo makubwa ya ndoa
Inapendeza Mnooo
Sijawah kukwama mkuuUnakwama wapi mpaka unafikia hatua ya kusema "hii ng'ombe."?
Chief hili tatizo kukumbwa lazima tuDah, pole maisha lazima yaendelee. Kama mlijaliwa watoto hakikisheni hawathiriki sana na utengano wenu.
Chief hili tatizo kukumbwa lazima tuDah, pole maisha lazima yaendelee. Kama mlijaliwa watoto hakikisheni hawathiriki sana na utengano wenu.
Let me be a side nigga 😃🤒Best umechelewa tu kidogo 🤣
UongoSisi tulifikisha miaka 15 na bado tukaachana, nikiwa na muda nitawaletea jumbe zote nzuri tulizoshare since day 1.
Nani huyoKitu kizito hiki chief ushapigwa🤔
Una hela?Let me be a side nigga 😃🤒
Sina salio-, ila show Kali😃🤒Una hela?
Aah hyo sitaki😅Sina salio-, ila show Kali😃🤒
Afu hizo hela za nini 🤔😃🤣,Aah hyo sitaki😅
Safi sana uko kijana mwenye 22yrsKwanini? Kwa sababu amekwambia Hajawahi kumpiga Binafsi siamini kwenye kunyoosha mkono kwa Mwanamke Tangu nikiwa mdogo nilifundishwa hivyo..
Na pia hata Mimi namfundisha sana mwanangu wa Kwanza hiyo kitu sasa hivi ana miaka 22 huwa nampa somo tangu akiwa mdogo kuwa Asije akajaribu kumpiga mwanamke..
Akiwa na hasira Ni bora apige ukuta au aondoke nyumbani akapungwe upepo ila sio kunyoosha mkono kwa mwanamke
Yes he's Very Bright man, kwakweli najisifia kwake!Safi sana uko kijana mwenye 22yrs
KubetiaAfu hizo hela za nini 🤔😃🤣,
Bora niwe single😃🤒Kubetia
Aah poaUongo
IntelligentNani huyo
Mkuu kwani we si shoga ulisema?Mkuu mke wako ni wakawaida sana na nikuhakikishi kwamba wa kawaida njoo DM...
Unapagawa na vitu vidogo hivyo kweli wewe zipompwepompwe umeoa satawang'ina hilo halafu unaaminia,njoo inbox tukuoneshe kuwa mwanamke wako wakawaida sana