ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
daah sijui nikoment wapi hahaaaa ila hongera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
habari yako bestito kumbe upogo huku nimekumissInapendeza Mnooo
We koment kote tu utakua umetishahabari yako bestito kumbe upogo huku nimekumiss
nimefurahi
Nyinyi ndio wale fungu la kukosa kwenye mapenzi,Ngoja ukiijua michepuko yake ndiyo utakuja kujua hujui
Hahahaha nifahSi ndio team kataa ndoa hao?
Sijambo mkwe wangu, kitambo sana!
Wewe una akili sanaHao wako na ugomvi na ndoa tu, sio mapenzi.
It's been a while!
Huko ukifika Wana kugradwVijana mkuu hawataki hata kwenda kujitambulisha.
Mkuu, naona kuna namna hujanielewa au tuna mtazamo tofauti ambao sio vibaya pia.Hahahaha nifah
Kwani wewe uko kwenye ndoa hapo!?.
Sisi tunakataa ndoa ila hatujasema mahali hatutaki mahusiano na Wanawake.
Tunawapenzi ila concept ya ndoa ndio haituikubali.
Tuna familia huku kitaa ila Ile concept ya kufangamana na mtu kinafiki hadi kifo ndio hatuikubali.
Tunaamini Katia hiari. Kwani hiari yashindwa utumwa.
Bila shaka hata wewe na Ze bolidi mliapply hiari kuushinda utumwa.
Nipe namba zake nimuelewesheMke wangu simuelewi kabisa.....
Watu mnapenda miserereko 😂Nipe namba zake nimueleweshe
Ndio wapoje nikaw chonjo😂😂Hawa wanawake wa English nyingi huwa malaya sana sijui nataka kusema nini
Ila usijinyonge tu siku yakikukuta
Miaka mitano bado ni michache sana,hata hivyo hongera sana mkuu.wakuu habari za uzima?
Mimi na mke wangu niseme watu tunaopenda sana kusoma vitabu, sasahivi tuna mtoto mmoja handsome boy linanipa faraja sana na kunifanya niendelee kupambana.
Niseme katika watu wenye wanawake smart mimi ni miongoni mwao, mke wangu tulikutana miaka mitano nyuma.
Nadhani wote tunajua mapenzi yakiwa mwanzo, baada ya kutupa sana ndoano mwisho akakubali nikamuomba date.
basi siku ya kwanza natoka nae date jioni, tukaagiza chakula huku stori zikiendelea nyingi akiniuliza umesoma kitabu fulani na masuala ya mziki huwa nikiwa na stress zangu za kazi ananiimbia jamani huyu mwanamke acha tu😍.
Basi stori zikawa zinaendelea.
Mimi; unajua wanawake huwa mnapenda vitu vingi mbali na mziki na kusoma vitabu nini kingine?
Mke; unajua tunapokosea sisi ni kusema vitu vyote kwa mwanaume at once hivyo mwanaume ata fulfill vile vitu haraka ili apate kile ambacho anataka hiyo ni kazi yako kujua napenda nini.
Hili jibu likanifanya nijue naongea na mtu wa aina gani, nikajibu sawa.
Tukawa tunaendelea na stori sasa kipindi hicho nilikuwa nasoma(hapa bado hatujakutana kimwili) nikamwambia unajua nipo nasoma ila unajua nilijaribu kufungua biashara ya huduma za kifedha ila naona kama nikiacha mtu kuna hasara kubwa sana na nashindwa kujigawa kuwepo pale muda wote nafikiria kuacha.
Mke wangu alinipa mfano ambao mwanzoni niliuona wakijinga sana.
Akaniambia kuna stori fulani ya zamani ya kitoto ya Mbwa mmoja ambaye alikuwa akijitapa kwamba yeye ndio ana mbio sana na hakuna mnyama ambaye atashindwa kumkamata, basi siku moja mbwa yule akamuona sungura akaanza kumkimbiza sana lakini bila mafanikio hakumpata!
alivyorudi akakuta wenzake wanamcheka wakisema wewe umekuwa ukijitamba hakuna kiumbe kinachokushinda mbio vipi leo imekuwaje?
Akawajibu wenzake, mnajua mnashindwa kuelewa jambo moja mimi nilikuwa namkimbiza kama moja ya kujifurahisha kwangu, lakini sungura alikuwa anakimbia kuokoa maisha yake hivyo lazima aweke bidii kubwa kuokoa maisha yake maana hajui kama mimi ninajifurahisha au nataka kumdhuru kweli.(hii stori alihadithiwa na baba yake ni mwanasheria)
akaniambia mke wangu nafikiri unabidi uangalie biashara hiyo ina umuhimu gani kwako kwenye kukutimizia mahitaji yako.
kiukweli huyu mwanamke amekuwa chachu ya mimi kupiga hatua kila siku, niwanamke mzuri kuanzia sura mpaka akili.
Niliporudi ile siku nilifikiria sana mfano wake nikasema tu huyu ndiye niliyemtarajia.
NB: ndoa ni miaka mitatu ila mahusiano mwaka huu natimiza miaka mitano.
Kanizawadia katoto kamoja kazuri.
Wanaume share ujumbe mzuri wa mke wako au mpenzi wako?
Nawashauri wanaume wenzangu sio lazima uoe rasmi hata kwenda kujitambulisha kwa wazazi wakakujua ni jambo la Hekima sana.
😂😂Miaka mitano bado ni michache sana,hata hivyo hongera sana mkuu.
Kuna jambo umelikosea kwa kujua ama bila kujua.wakuu habari za uzima?
Mimi na mke wangu niseme watu tunaopenda sana kusoma vitabu, sasahivi tuna mtoto mmoja handsome boy linanipa faraja sana na kunifanya niendelee kupambana.
Niseme katika watu wenye wanawake smart mimi ni miongoni mwao, mke wangu tulikutana miaka mitano nyuma.
Nadhani wote tunajua mapenzi yakiwa mwanzo, baada ya kutupa sana ndoano mwisho akakubali nikamuomba date.
basi siku ya kwanza natoka nae date jioni, tukaagiza chakula huku stori zikiendelea nyingi akiniuliza umesoma kitabu fulani na masuala ya mziki huwa nikiwa na stress zangu za kazi ananiimbia jamani huyu mwanamke acha tu😍.
Basi stori zikawa zinaendelea.
Mimi; unajua wanawake huwa mnapenda vitu vingi mbali na mziki na kusoma vitabu nini kingine?
Mke; unajua tunapokosea sisi ni kusema vitu vyote kwa mwanaume at once hivyo mwanaume ata fulfill vile vitu haraka ili apate kile ambacho anataka hiyo ni kazi yako kujua napenda nini.
Hili jibu likanifanya nijue naongea na mtu wa aina gani, nikajibu sawa.
Tukawa tunaendelea na stori sasa kipindi hicho nilikuwa nasoma(hapa bado hatujakutana kimwili) nikamwambia unajua nipo nasoma ila unajua nilijaribu kufungua biashara ya huduma za kifedha ila naona kama nikiacha mtu kuna hasara kubwa sana na nashindwa kujigawa kuwepo pale muda wote nafikiria kuacha.
Mke wangu alinipa mfano ambao mwanzoni niliuona wakijinga sana.
Akaniambia kuna stori fulani ya zamani ya kitoto ya Mbwa mmoja ambaye alikuwa akijitapa kwamba yeye ndio ana mbio sana na hakuna mnyama ambaye atashindwa kumkamata, basi siku moja mbwa yule akamuona sungura akaanza kumkimbiza sana lakini bila mafanikio hakumpata!
alivyorudi akakuta wenzake wanamcheka wakisema wewe umekuwa ukijitamba hakuna kiumbe kinachokushinda mbio vipi leo imekuwaje?
Akawajibu wenzake, mnajua mnashindwa kuelewa jambo moja mimi nilikuwa namkimbiza kama moja ya kujifurahisha kwangu, lakini sungura alikuwa anakimbia kuokoa maisha yake hivyo lazima aweke bidii kubwa kuokoa maisha yake maana hajui kama mimi ninajifurahisha au nataka kumdhuru kweli.(hii stori alihadithiwa na baba yake ni mwanasheria)
akaniambia mke wangu nafikiri unabidi uangalie biashara hiyo ina umuhimu gani kwako kwenye kukutimizia mahitaji yako.
kiukweli huyu mwanamke amekuwa chachu ya mimi kupiga hatua kila siku, niwanamke mzuri kuanzia sura mpaka akili.
Niliporudi ile siku nilifikiria sana mfano wake nikasema tu huyu ndiye niliyemtarajia.
NB: ndoa ni miaka mitatu ila mahusiano mwaka huu natimiza miaka mitano.
Kanizawadia katoto kamoja kazuri.
Wanaume share ujumbe mzuri wa mke wako au mpenzi wako?
Nawashauri wanaume wenzangu sio lazima uoe rasmi hata kwenda kujitambulisha kwa wazazi wakakujua ni jambo la Hekima sana.