Kwaio unafanya shughuli gani sasa?Mimi watu walio ajiliwa na wa bongo hata sielewagi akili zao ziko je? Mtu acontrol mda wangu uhuru wangu kwa 30dys unanilipa kiasi gani hicho? I value my freedom kuliko hizo laki 7 zako.
Daaah mwana kosaa kubwa sana hilo jmosi hutaona utamu wa kupumzika.Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?
Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini
Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!
Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!
And how long are we supposed to do this for?
Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Unamkomoa nani?Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?
Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini
Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!
Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!
And how long are we supposed to do this for?
Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Sio kila sehemu kuna watu, mfano ofisi za serikali mtu kajisikia haendi tu, nani atamreplace? Ile kazi yake ya siku hiyo haitafanyika. Ndio maana unakuta mtu wiki hii anaumwa, wiki ijayo mtoto anaumwa, inayofuata jirani kafa basi wiki ya mshahara ndio ataonekana ofisiniProduction inapunguaje sasa? Akati umesema Kuna watu wengine wapo ready kwa kazi in case haupo si wanakureplace tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu hapo nilichomaanisha ni kuheshimu na kuwa na nidhamu ya kazi, na pia hata kama unatumikia basi tufanye kwa malengo na pindi malengo yako yatakapotimia unaweza kuishi maisha ya ndoto zako kinyume na hapo itakubidi kuendelea kupambana pasipo kuchoka ili ufanikishe malengo
I wonder [emoji2377]
[emoji23][emoji23][emoji23] Hiyo nayo ni kazi Boss . Kuvizia sungura na kumpiga jiwe!
Sawa ila acha hao wasio na Kazi wapate Kazi ili waone Kazi kufanya KaziNdugu mshukuru Mungu kwa kuwa na kazi , wengine wanalilia kazi na hawapati, huo uvivu unaoupata basi utakufanya uwe masikini katika maisha yako . Ukemee huyo ni shetani anakutafuta.
Hii nayo ni techniques safi sana, lakin ni mbaya kama kazi ni ya kwakoSio kila sehemu kuna watu, mfano ofisi za serikali mtu kajisikia haendi tu, nani atamreplace? Ile kazi yake ya siku hiyo haitafanyika. Ndio maana unakuta mtu wiki hii anaumwa, wiki ijayo mtoto anaumwa, inayofuata jirani kafa basi wiki ya mshahara ndio ataonekana ofisini