Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Tatizo sio magufuli, pesa imetolewa miaka mingi sana ya kujenga stand, tatizo mvutano kwenye viongozi wa jiji wamejaa ulaku.Magufuli alijenga stand mikoa mingi Arusha akairuka,sijui alikua na shida gani na Arusha
Mama samia anaijenga stand,soko na uwanja
Mama anaupiga mwingi
Hujui kuna wengine wako mahakamani hadi sasa?