Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Sabato Njema!
Tangu Rais arithi kiti cha Urais mwaka Jana hajapumzika wala sijasikia Kama alipata likizo. Anachapa kazi, Leo yupo huku kesho yupo Kule. Anachapa kazi.
Lakini licha ya jitihada zake zote katika kulitumikia taifa hili bado Wananchi hawamuelewi.
Hii inasababishwa na nini? Kuna yeyote anaweza kutuambia sababu ya hayo?
Mimi nikajiuliza maswali haya labda ni sehemu ya sababu;
1. Je ni Kwa sababu yeye sio mwanaume?
2. Je ni kutokana na gharama za maisha kupanda maradufu?
3. Je, ni maneno au Ile minong'ono kuwa nchi imerudi kuwa Shamba la Bibi?
4. Je, ni Kwa sababu Vijana hawana Ajira za uhakika Hali inayowafanya wakate tamaa?
5. Je, ni Kwa sababu aliowateua wanajulikana vibaya Kwa wananchi?
Unafikiri nini KIFANYIKE ili Wananchi wamkubali au wakubali kazi zake?
Taikon yeye msimamo wake ni kuwa;
i. anasapoti Rais au kiongozi yeyote apendaye HAKI,
ii. Asiye mroho, Mlafi wa Mali,
iii. Asiyejigeuza mungumtu, anayekubali kukosolewa,
iv. Anayeheshimu watu na kuwatumikia na sio wao wamtumikie.
v. Anayekemea na kuhakikisha Wezi wa Mali za nchi wanapewa Haki Yao ikiwa ni pamoja na adhabu Kali Kwa mujibu wa sheria.
vi. Atakayefanya Raia wasitawaliwe na Wageni. Wasigeuzwe Watumwa katika nchi Yao wenyewe.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Tangu Rais arithi kiti cha Urais mwaka Jana hajapumzika wala sijasikia Kama alipata likizo. Anachapa kazi, Leo yupo huku kesho yupo Kule. Anachapa kazi.
Lakini licha ya jitihada zake zote katika kulitumikia taifa hili bado Wananchi hawamuelewi.
Hii inasababishwa na nini? Kuna yeyote anaweza kutuambia sababu ya hayo?
Mimi nikajiuliza maswali haya labda ni sehemu ya sababu;
1. Je ni Kwa sababu yeye sio mwanaume?
2. Je ni kutokana na gharama za maisha kupanda maradufu?
3. Je, ni maneno au Ile minong'ono kuwa nchi imerudi kuwa Shamba la Bibi?
4. Je, ni Kwa sababu Vijana hawana Ajira za uhakika Hali inayowafanya wakate tamaa?
5. Je, ni Kwa sababu aliowateua wanajulikana vibaya Kwa wananchi?
Unafikiri nini KIFANYIKE ili Wananchi wamkubali au wakubali kazi zake?
Taikon yeye msimamo wake ni kuwa;
i. anasapoti Rais au kiongozi yeyote apendaye HAKI,
ii. Asiye mroho, Mlafi wa Mali,
iii. Asiyejigeuza mungumtu, anayekubali kukosolewa,
iv. Anayeheshimu watu na kuwatumikia na sio wao wamtumikie.
v. Anayekemea na kuhakikisha Wezi wa Mali za nchi wanapewa Haki Yao ikiwa ni pamoja na adhabu Kali Kwa mujibu wa sheria.
vi. Atakayefanya Raia wasitawaliwe na Wageni. Wasigeuzwe Watumwa katika nchi Yao wenyewe.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam