sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kupitia kurasa zao za Instagram na Fcebook, Shirikisho la Ligi Kuu ya Uhispania "La Liga" limeipongeza Yanga kwa ubingwa. Ikumbuukwe mwaka 2020 Yanga ilisaini mkataba wa ushirikiano na La Liga hoteli ya Serena Jijini Dares Salaam.
Ni furaha sana pale mshirika wako anaposhinda kwa hio washirika wa Yanga wameamua kuwapongeza.
INSTAGAM
FACEBOOK
Ni furaha sana pale mshirika wako anaposhinda kwa hio washirika wa Yanga wameamua kuwapongeza.
INSTAGAM