Na muda huo Dirisha la usajili wa CAF utakuwa umeshafungwaHuyu jamaa atakwenda Yanga 30/08/2022 siku mkataba wake na Simba utakapokwisha rasmi, kwa sasa awe mtulivu kama pesa anapata shida yake nini sasa.
.Simba wameshaweka wazi , yaani waneshatoa taarifa, Kwamba Kama Kuna timu inahitaji morissoni time ofa wakae mezani. Na wanasema hadi Sasa HIVI hawajapokea ofa yyte. Hakuna maneno mengi, Ni hivyo tu.
Sasa SIJUI hao wanaomtaka, wanamtaka mtu mwenye mkataba bila makubaliano na wamiliki. Ni ajabu Sana !
Ila nasikia huko kwa hao jamaa hamna watu Wenye akili ZAIDI ya wawili.
Simba na Yanga ama Yanga na Simba hawana utaratibu huo wa kupeana ofa za kuuziana mchezaji,kaa kwa kulifahamu ilohuo ndiyo ujinga ZAIDI. Yaani mchezaji umetumia hela kumsajili, inakulipa mshahara na stahiki zake nyingine, bado mkataba haujaisha halafu umpe barua aondoke akasajiliwe mwingine bila we kujitakia au taratibu kufuata.
Taratibu zinajulikana dunia nzima, kwamba unatuma ofa mnakaa mezani mnakubaliana.
Mbona kwa Bwalya imewezekana? Kuna tatizo gani kwa Morrison?
Wewe haswa ni mwana Yanga na siyo hao Utopolo wanaoshabikia bila kujua kituKama ukisemacho kinaukweli, basi itakuwa vizuri sana. Binafsi sifurahishwi na ujio wa Morrison Yanga kama nilivyochukizwa na Manara kuja Yanga
Wanapenda vya bure bureNashangaa uto wanacomment as if ndiyo mara ya kwanza issue hii kutokea wakati juzi tu walipigwa mbinyo na vita.
Niombe Radhi ndugu ila huo ndo ukweli nilikuwa karibu sana na mmoja kati ya watu niliowazungumzia na viongozi wa simba wakati huo!Hizi ni stori mnasimuliana wakati mnakuna nazi.
Hata hivyo taarifa tulizozipata hivi punde Caf wamesogeza mashindano ya CAF mbele pia usjali wa CAF umesogezwa kuanzia August 1 mpaka 15, kwahiyo siku zote roho mbaya haijengiNa muda huo Dirisha la usajili wa CAF utakuwa umeshafungwa
Acha povu,bado itaendeleakuwa timu Yako TU,hutaki hamia yanga🚶Simba ni timu yangu ila naomba kwenye hili niwaite WAPUMBAVU.
Mmeshashindwana na mchezaji muacheni aondoke zake mivutano ya Nini?
Nenda ukashitaki cas sio kushupaza shingoKujua kuwa mchezaji umetangaza kuwa mmemsimamisha mpaka mwisho wa msimu na kutakia heri katika maisha yake mapya ya soka halafu unamnyima haki ya kusajiliwa na timu zingine kisa tu muda bado wa mkataba ni uswahili zaidi. Dirisha la CAF linafunguliwa tarehe 30 kwahiyo mpaka hapo Simba wanamkomoa Morrison asisajiliwe abakie hana timu
KwambaMnathibitisha tu kauli ya Rage[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Rage aliupiga mwingi sana kuwaita Mambumbumbu.Mnathibitisha tu kauli ya Rage[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona yule mzungu wa mchongo msemaji mmeshindwa mfunika nyotaa yakeMwisho wa kutuma Majina CAF ni tarehe 14 August 2022 na Yeye Mkataba wake na Simba SC unaisha tarehe 16 August 2022 hivyo asiwe na Wasiwasi huko Yanga SC anakotaka kwenda ataenda Kuchezea ile ya Vijana ambayo inaweza baadae ikashiriki Ndondo Cup au ataenda Kukaa mpaka Dirisha Dogo la January 2023 ndipo aende huko Yanga SC.
Na Mwambieni Tanzania nzima hakuna Timu inayojua Kumroga Mchezaji na Kumfunika kabisa asifanikiwe Kokote aendako kama akiondoka vibaya kama Simba SC na Simba SC huwa haiishii hapo tu bali ukifanya nayo Masihara unaweza hata hii dunia ukaiaga kama walivyoiaga Wanafiki akina Ngumi Jiwe barabarani.
Na Simba SC haina tu 'Mafia' na Watoto wa Mjini ( wa Kihuni ) bali pia ina Watu Wasomi na Walewa wa Masuala mno.
Shida huna shule kichwan kilaza wewe, ulishawahi ona wapi mwanafunzi anapewa cheti kabla ya kuhitimu mtihani wake?Umeonae? Alafu eti wanajiita klabu inayoendeshwa kisasa wakati inaendekeza mambo ya hovyo Kama haya, uswahili mwingi. Hakika bado tuna safari ndefu Sana.