Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
-
- #261
Ninaanza na Strategic Weapon Kwanza sawa?Nitajua vipi tofauti na wakati nimekuwa nikisisitiza kuwa uweke mchanganuo kila kitu kiwe bayana watu tujue badala yake una post mapicha tu.
Weka hizo tactical weapons ziwekee na sifa zake halafu tuachie watu tufanye comparison kwenye majeshi mengine.
Na unaweza kuta hata hii post ukaijibu kwa maneno tupu usiweke hizo specs kama ilivyo kawaida yenu Wakurya
Main tank battle umekimbia weweHiyo ripoti ya mwaka gani? Umekimbia kuhusu Main Battle Tanks
Sasa wapi nimekata usitumie google? Nilikuambia nakuongezea kitu kingine wakati unaendelea ku google. Mzee mbona unatafuta ligi ambayo haipo? Twende kazi kwente Main Battle Tank usikimbie
Ukimaliza unistueNinaanza na Strategic Weapon Kwanza sawa?
HWASONG-18 ICBM
View attachment 2753394
Mass: 55-60 tons (estimated)
Length: 25 m
Diameter: 2 m
Warhead: nuclear weapon, possibly MIRV
Warhead weight: 2.25 - 2.5 t
Engine : three stage solid fuel rocket motor 140 t
Propellant: solid fuel
Operational range: 15,000 km
Flight altitude: 6,648 km
Nilikupatia hii link. Je uliisoma?Main tank battle umekimbia wewe
Tena naweza nika switch nisitumie South Korea ku challenge hicho kifaru chako.
Kwasababu hata Egypt ana kifaru bora cha Ramses ii ambacho ni very superior kuliko hiyo Chonma ya North Korea
Kwa hiyo North Korea sio tu kwamba hawezi kuwa tishio kwa Marekani bali hata Egypt
Hapo umekubali au bado unawaza? Vipi kuhusu Main Battle Tanks.Ukimaliza unistue
Hicho nilicho ki bold kwa rangi ya blue ndio kinachoonekana hapa chini kwenye hii screenshot?Sasa wapi nimekata usitumie google? Nilikuambia nakuongezea kitu kingine wakati unaendelea ku google. Mzee mbona unatafuta ligi ambayo haipo? Twende kazi kwente Main Battle Tank usikimbie
Na
ACHA KUANDIKA UONGO
Sikuisoma kwasababu mimi sijui kikorea
Kwani tayari umemaliza ili nianze?Hapo umekubali au bado unawaza? Vipi kuhusu Main Battle Tanks.
Usii chukulie NK poa mdogo wangu.
Hwasong-13 ICBMUkimaliza unistue
Nimekuambia tumia google translator. Mzee usiwe kama mtoto basi kuaza kubishana ujingaSikuisoma kwasababu mimi sijui kikorea
Ila vipi wewe mleta mada ambaye umeanzisha uzi kwa ajili ya kuwafahamisha wadau mambo ambayo hawayajui kuhusu jeshi la Korea Kaskazini, uliisoma nakuielewa?
Kama uliisoma tuwekee hapa maana yake kwa faida ya watu wengi
Hapa tunashindana au tunajadiliana. Sijakuelewa.Kwani tayari umemaliza ili nianze?
Kama ingekuwa mambo yanafanyika hivyo basi hata hizo picha ungetuelekeza tukazione kwenye source ulikozitoa.Nimekuambia tumia google translator. Mzee usiwe kama mtoto basi kuaza kubishana ujinga
Wewe ni mwoga sana mdogo wangu huwezi kujadiliana kwa factsKwani tayari umemaliza ili nianze?
Nani kakuambia neno nianze linasadifu kushindana?Hapa tunashindana au tunajadiliana. Sijakuelewa.
Wewe toa maoni yako dogo acha USHAMBA
Unalalamika sana kama mgonja wa kuharaKama ingekuwa mambo yanafanyika hivyo basi hata hizo picha ungetuelekeza tukazione kwenye source ulikozitoa.
Sasa mbona picha zinaletwa bila utata lakini maelezo kuhusu picha tunaelekezwa kuzifata sehemu nyingine?
Au unataka kutuaminisha hizo picha ulipiga wewe?
Okay kwa hiyo latest series ya Hwasong ndio ilikuwa ile ya 18?Wewe ni mwoga sana mdogo wangu huwezi kujadiliana kwa facts
Hwasong-17 ICBM - MADE IN NORTH KOREA
View attachment 2753431
Mass 80,000–150,000 kilograms (180,000–330,000 lb)
Length 24–26 m (79–85 ft)
Diameter 2.4–2.9 metres (7.9–9.5 ft)
Warhead nuclear weapon, MRV
Warhead weight 2,000–3,500 kg (4,400–7,700 lb)
Engine 2 RD-250-type rocket engines (first stage)
Propellant liquid rocket engine
Operational range 15,000 km (9,300 mi)
Punguza maneno tunataka vitendo siyo malalamikoNani kakuambia neno nianze linasadifu kushindana?
Mimi nimekuachia nafasi uandike kila kitu ili nisije nikauliza swali ambalo ukaonekana bado ulikuwa hujamaliza kutoa sifa za hiyo silaha.
So peaceful, kama umemaliza niambie ili namimi niku challenge hizo sifa za silaha unazomsifia North Korea.
Hao US unao sema wamaiogopa NK walifanya jaribio la kwanza la ICBM 1957KWANINI MAREKANI ANAWAOGOPA SANA NK
Mwanadiplomasia Ankit Panda anasema:
The ability of Pyongyang to strike the American homeland makes a continuing security guarantee for the ROK far more dangerous than any benefit from easing Seoul’s defense burden.
Tayari NK wapo na ICBM yenye uwezo wa kupiga popote ndani ya Marekani.