Lijue Jeshi la North Korea - Uwezo wake na Nguvu zake. Kwanini USA wanaliogopa?

Lijue Jeshi la North Korea - Uwezo wake na Nguvu zake. Kwanini USA wanaliogopa?

Nitajua vipi tofauti na wakati nimekuwa nikisisitiza kuwa uweke mchanganuo kila kitu kiwe bayana watu tujue badala yake una post mapicha tu.

Weka hizo tactical weapons ziwekee na sifa zake halafu tuachie watu tufanye comparison kwenye majeshi mengine.

Na unaweza kuta hata hii post ukaijibu kwa maneno tupu usiweke hizo specs kama ilivyo kawaida yenu Wakurya
Ninaanza na Strategic Weapon Kwanza sawa?

HWASONG-18 ICBM​

1695031857914.png


Mass: 55-60 tons (estimated)
Length: 25 m
Diameter: 2 m
Warhead: nuclear weapon, possibly MIRV
Warhead weight: 2.25 - 2.5 t
Engine : three stage solid fuel rocket motor 140 t
Propellant: solid fuel
Operational range: 15,000 km
Flight altitude: 6,648 km
 
Hiyo ripoti ya mwaka gani? Umekimbia kuhusu Main Battle Tanks
Main tank battle umekimbia wewe

Tena naweza nika switch nisitumie South Korea ku challenge hicho kifaru chako.

Kwasababu hata Egypt ana kifaru bora cha Ramses ii ambacho ni very superior kuliko hiyo Chonma ya North Korea

Kwa hiyo North Korea sio tu kwamba hawezi kuwa tishio kwa Marekani bali hata Egypt
 
Ninaanza na Strategic Weapon Kwanza sawa?

HWASONG-18 ICBM​

View attachment 2753394

Mass: 55-60 tons (estimated)
Length: 25 m
Diameter: 2 m
Warhead: nuclear weapon, possibly MIRV
Warhead weight: 2.25 - 2.5 t
Engine : three stage solid fuel rocket motor 140 t
Propellant: solid fuel
Operational range: 15,000 km
Flight altitude: 6,648 km
Ukimaliza unistue
 
Main tank battle umekimbia wewe

Tena naweza nika switch nisitumie South Korea ku challenge hicho kifaru chako.

Kwasababu hata Egypt ana kifaru bora cha Ramses ii ambacho ni very superior kuliko hiyo Chonma ya North Korea

Kwa hiyo North Korea sio tu kwamba hawezi kuwa tishio kwa Marekani bali hata Egypt
Nilikupatia hii link. Je uliisoma?

 
Sasa wapi nimekata usitumie google? Nilikuambia nakuongezea kitu kingine wakati unaendelea ku google. Mzee mbona unatafuta ligi ambayo haipo? Twende kazi kwente Main Battle Tank usikimbie
Na

ACHA KUANDIKA UONGO
Hicho nilicho ki bold kwa rangi ya blue ndio kinachoonekana hapa chini kwenye hii screenshot?
1695032470045.png
 
Ukimaliza unistue
Hwasong-13 ICBM
1695032548945.png


1695032633671.png


1695032669024.png

Length 16 m PVB 18 m longer (12 to ± 20 m, improvements can be longer (RS-24\RT2PM2 dimensions))
Diameter 1.8 m (1.60–1.87 m) (if enlarged, like Hwasong-7 and other missiles)
Warhead nuclear
Engine Liquid, like the Hwasong-10
Propellant Liquid propellant
Hydrazine UDMH with IRFNA AK
TG02
NTO N204
Operational range
  • minimum 5,500km
  • 1,500–6,000 km (with IRFNA AK TG02)
  • 3,000–12,000 km (with other propellants, like NTO UDMH or LOX Kerosene)
 
Sikuisoma kwasababu mimi sijui kikorea

Ila vipi wewe mleta mada ambaye umeanzisha uzi kwa ajili ya kuwafahamisha wadau mambo ambayo hawayajui kuhusu jeshi la Korea Kaskazini, uliisoma nakuielewa?

Kama uliisoma tuwekee hapa maana yake kwa faida ya watu wengi
Nimekuambia tumia google translator. Mzee usiwe kama mtoto basi kuaza kubishana ujinga
 
Nimekuambia tumia google translator. Mzee usiwe kama mtoto basi kuaza kubishana ujinga
Kama ingekuwa mambo yanafanyika hivyo basi hata hizo picha ungetuelekeza tukazione kwenye source ulikozitoa.

Sasa mbona picha zinaletwa bila utata lakini maelezo kuhusu picha tunaelekezwa kuzifata sehemu nyingine?

Au unataka kutuaminisha hizo picha ulipiga wewe?
 
Kwani tayari umemaliza ili nianze?
Wewe ni mwoga sana mdogo wangu huwezi kujadiliana kwa facts

Hwasong-17 ICBM - MADE IN NORTH KOREA​

1695033194715.png


Mass 80,000–150,000 kilograms (180,000–330,000 lb)
Length 24–26 m (79–85 ft)
Diameter 2.4–2.9 metres (7.9–9.5 ft)
Warhead nuclear weapon, MRV
Warhead weight 2,000–3,500 kg (4,400–7,700 lb)
Engine 2 RD-250-type rocket engines (first stage)
Propellant liquid rocket engine
Operational range 15,000 km (9,300 mi)
 
Sio kwamba USA anamuogopa NK.....
1. Wao north Korea walishasema kama watachokozwa Kijeshi na USA, wao Kwa majibu ya fasta fasta wataanza na South Korea na Japan kwasababu wao ndio wanaomkaribisha huko rasi ya korea. Haijalishi kama wao wanamchango katika chokochoko hizo

2. Kwakua inajulikana wazi kabisa kua Russia ndiye baba mzazi wa NK. Marekani anajiuliza je vita itakapoanza baba huyu mzazi atakaa na kufunga mikono nyuma huku akiangalia mwanae akichapika. Vipi kuhusu baba mlezi ambaye ni china naye ataangalia tu??
3. Wamarekani Bado wana maswali mengi juu ya balance of power in Korean peninsula na southern china sea kama NK ataivamia Japan na South Korea.
Wamarekani sio mafwala
 
Hapa tunashindana au tunajadiliana. Sijakuelewa.
Wewe toa maoni yako dogo acha USHAMBA
Nani kakuambia neno nianze linasadifu kushindana?

Mimi nimekuachia nafasi uandike kila kitu ili nisije nikauliza swali ambalo ukaonekana bado ulikuwa hujamaliza kutoa sifa za hiyo silaha.

So peaceful, kama umemaliza niambie ili namimi niku challenge hizo sifa za silaha unazomsifia North Korea.
 
Kama ingekuwa mambo yanafanyika hivyo basi hata hizo picha ungetuelekeza tukazione kwenye source ulikozitoa.

Sasa mbona picha zinaletwa bila utata lakini maelezo kuhusu picha tunaelekezwa kuzifata sehemu nyingine?

Au unataka kutuaminisha hizo picha ulipiga wewe?
Unalalamika sana kama mgonja wa kuhara

Hwasong-15​

1695033524898.png


1695033553659.png
 
Wewe ni mwoga sana mdogo wangu huwezi kujadiliana kwa facts

Hwasong-17 ICBM - MADE IN NORTH KOREA​

View attachment 2753431

Mass 80,000–150,000 kilograms (180,000–330,000 lb)
Length 24–26 m (79–85 ft)
Diameter 2.4–2.9 metres (7.9–9.5 ft)
Warhead nuclear weapon, MRV
Warhead weight 2,000–3,500 kg (4,400–7,700 lb)
Engine 2 RD-250-type rocket engines (first stage)
Propellant liquid rocket engine
Operational range 15,000 km (9,300 mi)
Okay kwa hiyo latest series ya Hwasong ndio ilikuwa ile ya 18?

Maana yake vinavyofuata chini yake havijaweza kufika uwezo wake si ndio?
 
Nani kakuambia neno nianze linasadifu kushindana?

Mimi nimekuachia nafasi uandike kila kitu ili nisije nikauliza swali ambalo ukaonekana bado ulikuwa hujamaliza kutoa sifa za hiyo silaha.

So peaceful, kama umemaliza niambie ili namimi niku challenge hizo sifa za silaha unazomsifia North Korea.
Punguza maneno tunataka vitendo siyo malalamiko

Hwasong-14 (KN-20)​

1695033728021.png


1695033779334.png
 
KWANINI MAREKANI ANAWAOGOPA SANA NK

Mwanadiplomasia Ankit Panda anasema
:
The ability of Pyongyang to strike the American homeland makes a continuing security guarantee for the ROK far more dangerous than any benefit from easing Seoul’s defense burden.

Tayari NK wapo na ICBM yenye uwezo wa kupiga popote ndani ya Marekani.
Hao US unao sema wamaiogopa NK walifanya jaribio la kwanza la ICBM 1957
 
Back
Top Bottom