Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Nani alikwambia lazima silaha zifanane?North Korea’s Hwasong-8 hypersonic missile - USA HANA 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
View attachment 2752164
Tz ndio ina watu wapuuzi zaidi duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alikwambia lazima silaha zifanane?North Korea’s Hwasong-8 hypersonic missile - USA HANA 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
View attachment 2752164
Ukraine ndio mwamba usimfananishe na North Korea au Urusi.Hili ni jibu la akili
Mzee tunaongelea Speed hapa hypersonic speed. Hakuna defense system ya kuzuia hiyo speed mdogo wangu. USA hana. Taja hata ya kubahatisha tu.Nani alikwambia lazima silaha zifanane?
Tz ndio ina watu wapuuzi zaidi duniani
Tumia kichwa kuhifadhi akili siyo kichwa kama kizibo cha shingo.Kama hutaki kuelimishwa basi endelea kufuga ujinga.
Kwahiyo wewe ndio umetumia kichwa chako kuandika huu upupu wako hapa? Acha kukaza fuvu kiazi wewe.Tumia kichwa kuhifadhi akili siyo kichwa kama kizibo cha shingo.
Matatizo yako ya familia usiyalete hapa kutupumzikia. Jadili hoja achana na ushamba huo wa kulalamikia neno "TUMSIFU YESU KRISTU"Kwahiyo wewe ndio umetumia kichwa chako kuandika huu upupu wako hapa? Acha kukaza fuvu kiazi wewe.
Mkuu pia utuletee siku moja uzi wa jeshi la sita kwa ubora duniani.Bila kupoteza muda. Tumsifu YESU KRISTU.
Leo nataka niongelee kuhusu uwezo wa Jeshi la North Korea. Kwanini hawa jamaa wanatisha sana? Na kwanini West wanaeneza propaganda nyingi sana ili tu waweze kuwapoteza? Kwanini Marekani anawekeza sana kwenye nchi za Japan na South Korea ili kupambana na hawa jamaa?
Kwanza kabisa historia inaanzia kipindi cha Cold war wakati West na East wakitafuta utukufu duniani. Kitendo kicho kilifanya Korea kugawanyika na kuwa katika sehemu mbili. Huku korea ya kusini ikipiga magoti kwa Western wakati Korea ya kaskazini ikijiimarisha na kulinda heshima yake.
NK iemeendelea kuimarisha jeshi lake tangu kipindi hicho kujua kwamba adui wao nambari moja ni Marekani. Huyu marekani amekuwa akitumia ushawishi wake huko UN na kuweka vikwazo rukuki NK. Akitegemea hawa jamaa watampigia magoti lakini wapi. Miaka inazidi kwenda tu.
Waziri wa Ulinzi wa Korean People's Army ni Comrade General Kang Sun-nam
View attachment 2752109
Huku General Staff Department (GSD) Akiwa ni Comrade Vice Marshal Ri Yong-gil
View attachment 2752112
IDADI YA WANAJESHI
NK Army linakadiliwa kuwa na Active Personnel 1,320,000 ombapo inaelezwa kuwa ni jeshi kubwa la nne duniani baada ya China, India na Marekani.
Jeshi hili limegawanyika katika kamadi tano:-
Nembo ya jeshi hili la korea ni
- KPA Ground Forces
- KPA Naval Forces
- KPA Air Force
- KPA Strategic Force
- KPA Special Operation Force
View attachment 2752115
Usikae mbali na uzi huu nitakuletea hatu kwa hatua uwezo wa jeshi hili.....
Naogopa. Si unajua wenzetu sasa hivi wanasaka unifomu zaoMkuu pia utuletee siku moja uzi wa jeshi la sita kwa ubora duniani.
Wewe ni mchepuko wa huyo mleta mada? Au kujipendekeza tu?Haya basi haraaa Akbar.
Kaynday ww
Wewe pimbi ulivyokua unanikashifu ndio ulikua unajadili hoja hivyo sio? Au mara hii umesha sahau ulichoandika kwangu?Matatizo yako ya familia usiyalete hapa kutupumzikia. Jadili hoja achana na ushamba huo wa kulalamikia neno "TUMSIFU YESU KRISTU"
Mzee shughulikia matatizo ya familia yako kwanza ndio uje ku comment JF. UnajiaibishaWewe ni mchepuko wa huyo mleta mada? Au kujipendekeza tu?
Huna akili wewe.Mzee shughulikia matatizo ya familia yako kwanza ndio uje ku comment JF. Unajiaibisha