Lile kundi linalofurahia utekaji, mauaji, kunywa damu, ukatili, kutofata sheria, bado lipo

Lile kundi linalofurahia utekaji, mauaji, kunywa damu, ukatili, kutofata sheria, bado lipo

Kuhusu kubambikwa kesi kwa watu...
Suala hili lilikuwa sugu... unaweza ukapewa kesi ya mauwaji au hata wizi ambao huujui..

Nini kifanyike....
I) Polisi wa upelelezi wapewe msasa au mafunzo zaidi ya kuweza kujua undani wa suala hilo kwa mapana... Na wapunguze kama sio kuacha rushwa...

II) DPP bado anaweza kwenda kufanya ziara magerezani... Kuna watu wengi hawajui kujieleza na waoga.. Wamepewa makesi wapo kimya.. Wapewe kipaombele wasikilizwe ili kupata mwanga

III) Katiba Mpya
Hakuna aliyebambikiwa kesi wala kuonewa.

Swala la kutokulipa kodi wafanyabiashara walikua hawalipi.

Hao wanaosema wanabambikiwa ndio wale wahalifu ambao wana maisha ya aina mbili.

Yale ya gizani na yale ya kuzugia uraiani.

Mtu ni muuza madawa mzuri tu lakini ndio anaongoza kwa kutoa sadaka na kujenga nyumba za ibada.

Sasa huyo akishughulikiwa raia unaweza ona anaonewa.

Wezi tunaishi nao huko mtaani wengi tu na ndio wanaendesha maisha ya wengi, ni mfumo ambao upo deep sana kwenye jamii zetu.

Kuuondoa huo mfumo ni kazi kubwa na watu wengi wataumia.

Rais aliyepita alijitahidi kuuondoa mfumo huo wa kifisadi lakini aliishia kukumbana na kilichomkuta.
 
Wewe ndio mjinga hujui kitu ila kuwaza maslahi ya kundi la wanyonyaji wa umma. Umeandika kirefu ila kwa ujinga wako hujaweka chochote kutambua maisha ni mapambano ya kitabaka.
Nchi inaweza kupata maendeleo pale tu tabaka la wengi likiinuka kiuchumi na kudhibiti serikali.
Unalaumu eti wafanyakazi kutoongezwa mshahara kana kwamba fedha inatoka mbinguni. Huoni chochote kuhusu jitihada za kserikali kupata pesa. Serikali inapata hela kwa njia ya kodi. Sasa hao unaosema wamenyanyaswa na jpm kama je ni wafanyabiashara wanaokwepa kodi au watumishi wa serikali wanaofuja fedha ya serikali mishahara unayoona wafanyakazi wangeongezwa ingetoka wapi? Huu ni mfano mmoja tu. Hapo bado hatujszungumzia serikali kutoa huduma muhimu na kujenga miundombinu.
Kwa ufupi ulichoandika ndio ujinga. Wananchi waliyowengi tanzania wana akili zaidi yako.

Unadhani hatukuwa tunaona ulevi wa madaraka wa Magufuli?
 
Kuondoa ujinga ni dhana Pana, haimaanishi kujua kusoma na kuandika tu ndio kuondoa ujinga. Moja kati ya fursa tuliyoipata katika awamu ya tano, ni kujua kwamba, kama taifa, tuna kundi kubwa sana la wajinga, ambalo, limekaa pale, linasubiri mtu alitumie tu, na litampa uhalali wa kutenda maovu makuu ya kuchukiza, ya kihayawani, na ya makufuru. Lakini, maovu hayo yatakuwa na uhalali wa sanduku la kura, kama ilivyokuwa kwa Hitler, na yeye alishinda kwa kura nyingi. Muovu ana uhalali wa kura! Hivyo ni kiongozi halali kikatiba!

Tuna kundi kubwa lililosherehekea utekwaji, mauaji, ukatili, kubambika kesi, kunyanyasa watumishi, dhuluma kwa wafanyabiashara, kundi Hilo kubwa ni la JPM.

Kama taifa, lazima tuwe na mikakati ya kuondoa ujinga katika kundi hili. Ujinga wa kuwafanya waelewe kwamba yale yalikuwa ni matendo ya kihayawani kabisa na hayafai katika nchi hii.
Fikiria mhitimu wa chuo kikuu asiye na ajira aliyekuwa anashangilia JPM kuzuia ajira serikalini na kuua uwezo wa sekta binafsi kuajiri.

Muajiriwa wa mfanyabiashara anafurahia uonevu dhidi ya bosi wake, baada ya mwezi kampuni inakufa, anakosa ajira

Fikiria mkulima wa korosho, mnazi mkubwa wa JPM japo aliona zao la korosho lilivyonajisiwa.

Tafakari mwananchi anayesifu sera za kunyima watumishi maslahi, halafu anaishi kwa kutegemea ndugu zake ambao ni watumishi ... Kila siku kupiga mizinga.

Fikiria watanzania waliokuwa wanashangilia kwa furaha kubwa kuona au kusikia fulani katekwa, mfanya biashara fulani kafilisiwa au kabambikwa mamia ya kesi, au kanyanganywa fedha zake zikizokuwa benki.

Mkuu wa Mkoa anaiba au kudhukumu magari, halafu anayawekea plate number za serikali, na like kundi la wajinga linatopea katika kumsifu sana kwamba ni kiongozi bora,gari ya wizi anaweka plate number za Mkuu wa Mkoa (RC)!

Nadhani kama nchi, tuandae programu maalum ya kuufuta ujinga huu ili kundi hili kubwa la wajinga,lipate uelewa. Haijalishi ni shilingi ngapi itatumika, lakini taifa litaponywa.

Kundi hili bado lipo, lina kiu ya damu ya watanzania wenzetu na halijashiba, ilibidi wengine wafukuziliwe Malawi, maana muda wote walikuwa wanaimba damu! Damu! Damu!.

Tutumie Redio,tv, na wasanii, shule, vyuo, viongozi katika hotuba kuufuta ujinga huu. Kila kiongozi akipata fursa ya hotuba aseme hili.

Kundi hili linahitaji elimu tu na uwazi wa taarifa ili kulivua utando wa propaganda za kipumbavu na kijinga kutoka awamu ya tano.

Kundi hili yule aliyefukuziliwa Malawi alikuwa anahangaika kuliweka pamoja ili limpe kura, jitihada zifanywe kuibomoa gundi iliyolishikamanisha, viongozi wanaoendelea kulitegemea ili wapate kura, wabomolewe kisiasa kabla hawajabomoa taifa.

Mama Samia amefanya makubwa sana kulijenga taifa na kulifanya liwe pamoja ...tumuunge mkono kwa namna yoyote ile
Ondoa HOJA NYEPESI jukwaani, Kila thread mama vs JPM!!!!!!!!

Hoja na AGENDA kuu Kwa sasa nchini ni KATIBA mpya.

Mzee Warioba ateuliwe na Rasimu yake irudi mezani mjadala uanzie hapo.

Ameeeen.

Ameeeen.
 
Mkuu chiembe hakika umesema kweli yani mpaka najiuliza hili kundi linalomsifu muuwaji mtekaji mbambika kesi muuwa mifumo ya nchi mpenda sifa binafsi magufuli kwanini halijiulizi uhai kama wa kina Ben saa nane na Azory ulipotelea wapi? Yani hili kundi ni kama ukoo wa ibilisi akiguswa magufuli kwa uovu alioufanya wanakuwa kama wehu kwa kumtetea lakini hawajiulizi damu ya lissu ilimliliaje Mungu mpaka Mungu akamweka hai mpaka leo. KWA mtu mwenye imani hawezi kumtetea magufuli kamwe wewe jiulize Muujiza wa lissu kupona shambulio la risasi 16 ndani ya mwili wa nyama je haukuwa ukuu wa Mungu dhidi ya nduli Magufuli?
Magufuli alikuwa ni shetani ndani ya mwili wa mwanadamu. Kama hujui tafsiri ya neno SHETANI kwenye kamusi, basi angalia matendo ya Magufuli
 
Kuondoa ujinga ni dhana Pana, haimaanishi kujua kusoma na kuandika tu ndio kuondoa ujinga. Moja kati ya fursa tuliyoipata katika awamu ya tano, ni kujua kwamba, kama taifa, tuna kundi kubwa sana la wajinga, ambalo, limekaa pale, linasubiri mtu alitumie tu, na litampa uhalali wa kutenda maovu makuu ya kuchukiza, ya kihayawani, na ya makufuru. Lakini, maovu hayo yatakuwa na uhalali wa sanduku la kura, kama ilivyokuwa kwa Hitler, na yeye alishinda kwa kura nyingi. Muovu ana uhalali wa kura! Hivyo ni kiongozi halali kikatiba!

Tuna kundi kubwa lililosherehekea utekwaji, mauaji, ukatili, kubambika kesi, kunyanyasa watumishi, dhuluma kwa wafanyabiashara, kundi Hilo kubwa ni la JPM.

Kama taifa, lazima tuwe na mikakati ya kuondoa ujinga katika kundi hili. Ujinga wa kuwafanya waelewe kwamba yale yalikuwa ni matendo ya kihayawani kabisa na hayafai katika nchi hii.
Fikiria mhitimu wa chuo kikuu asiye na ajira aliyekuwa anashangilia JPM kuzuia ajira serikalini na kuua uwezo wa sekta binafsi kuajiri.

Muajiriwa wa mfanyabiashara anafurahia uonevu dhidi ya bosi wake, baada ya mwezi kampuni inakufa, anakosa ajira

Fikiria mkulima wa korosho, mnazi mkubwa wa JPM japo aliona zao la korosho lilivyonajisiwa.

Tafakari mwananchi anayesifu sera za kunyima watumishi maslahi, halafu anaishi kwa kutegemea ndugu zake ambao ni watumishi ... Kila siku kupiga mizinga.

Fikiria watanzania waliokuwa wanashangilia kwa furaha kubwa kuona au kusikia fulani katekwa, mfanya biashara fulani kafilisiwa au kabambikwa mamia ya kesi, au kanyanganywa fedha zake zikizokuwa benki.

Mkuu wa Mkoa anaiba au kudhukumu magari, halafu anayawekea plate number za serikali, na like kundi la wajinga linatopea katika kumsifu sana kwamba ni kiongozi bora,gari ya wizi anaweka plate number za Mkuu wa Mkoa (RC)!

Nadhani kama nchi, tuandae programu maalum ya kuufuta ujinga huu ili kundi hili kubwa la wajinga,lipate uelewa. Haijalishi ni shilingi ngapi itatumika, lakini taifa litaponywa.

Kundi hili bado lipo, lina kiu ya damu ya watanzania wenzetu na halijashiba, ilibidi wengine wafukuziliwe Malawi, maana muda wote walikuwa wanaimba damu! Damu! Damu!.

Tutumie Redio,tv, na wasanii, shule, vyuo, viongozi katika hotuba kuufuta ujinga huu. Kila kiongozi akipata fursa ya hotuba aseme hili.

Kundi hili linahitaji elimu tu na uwazi wa taarifa ili kulivua utando wa propaganda za kipumbavu na kijinga kutoka awamu ya tano.

Kundi hili yule aliyefukuziliwa Malawi alikuwa anahangaika kuliweka pamoja ili limpe kura, jitihada zifanywe kuibomoa gundi iliyolishikamanisha, viongozi wanaoendelea kulitegemea ili wapate kura, wabomolewe kisiasa kabla hawajabomoa taifa.

Mama Samia amefanya makubwa sana kulijenga taifa na kulifanya liwe pamoja ...tumuunge mkono kwa namna yoyote ile
Saivi ni kula kwa urefu wa kamba.
 
Binafsi naona jambo hapa, yaani kujadiliwa mtu ambaye hayupo na anaumiza vichwa vya watu walio hai kuandika nyuzi za kumjadili tena kwa mabaya ilhali replies zinaonyesha kushindwa, basi ni ajizi kubwa.

Yule mzee aliwaweza kweli kweli aseee!.
Moja ya lile taahira hili hapa, ni kulichapa kiboko tu. Tena kile OG
 
Peleka UPUMBABU wako huko

Pia kuna kundi la masikini wanyonge walifurahia huduma Bora za maji
Afya
Miundombinu
Kutokomezwa ufisadi
Maboresho elimu
Kulinda rasilimali
Wajawazito waliokuwa wakifa law ubovu wa miundombinu walimfurahia sana!
n.k n.k n.k

Hizo takataka zingine sijui zilizokuwa zinatekwa sijui kujiteka ni nani mbele ya watanzania milioni 60? Tena wangeendelea tu kutekwa kama walikuwa wakikwamisha juhudi za kuwahudumia masikini walio wengi

Usijaribu kumtetea Samia, Hakuna la maana alilolifanya wala hana mwelekeo na wala hana maono na uzalendo juu ya Tanzania.

Huo ndio ukweli.
 
Hakuna aliyebambikiwa kesi wala kuonewa.

Swala la kutokulipa kodi wafanyabiashara walikua hawalipi.

Hao wanaosema wanabambikiwa ndio wale wahalifu ambao wana maisha ya aina mbili.

Yale ya gizani na yale ya kuzugia uraiani.

Mtu ni muuza madawa mzuri tu lakini ndio anaongoza kwa kutoa sadaka na kujenga nyumba za ibada.

Sasa huyo akishughulikiwa raia unaweza ona anaonewa.

Wezi tunaishi nao huko mtaani wengi tu na ndio wanaendesha maisha ya wengi, ni mfumo ambao upo deep sana kwenye jamii zetu.

Kuuondoa huo mfumo ni kazi kubwa na watu wengi wataumia.

Rais aliyepita alijitahidi kuuondoa mfumo huo wa kifisadi lakini aliishia kukumbana na kilichomkuta.
Mkuu nakuhakikishia asilimia hamsini (50%) ya kesi za kisiasa.. Kodi.. Sijui Ubadhirifu watu wamebambikwa...

Ofisi flani ilituhumiwa kwa wizi wa shillingi million 85 na wahusika walikamatwa wakapelekwa mahakamani... kesi iliishia hewani.. na ni ya mwaka 2020 ...
Baada ya hapo uchunguzi wa kina ukafanyika tena.. Wahusika hawakuwa na kosa kwa kuwa nyaraka inatoka ofisi iliyohusika na makosa... Lakini wakasingizia watumishi wengine ili tuu ionekane hatua zimechukuliwa.. ( lakini zilichukuliwa kwa watu wasiohusika)...

Mchezo huu umefanyika sana... Nenda ofisi za upelelezi hata tuu hapo ofisi za Kinondoni... Maafisa watakwambia walidaka watu sana... Lakini kadiri kesi inavyokwenda ndio wanajua loooh.... Acha kabisa
 
Na ndio hayo matahira ambayo sasaivi yanakesha kumtukana Rais na January,

Wanachukia kwa Samia kuboresha maslai ya watumishi pamoja kuleta Uhuru wa kila mtu kujieleza bila kutekwa au kutiwa jela,

Kadri Samia na team yake wanavyofanya vizuri wao wanachukia!
Mimi nivyoona mkuu issue sio watumish kuboreshewa maslahi, issue ni je wanapata huduma bora.
 
Kuondoa ujinga ni dhana Pana, haimaanishi kujua kusoma na kuandika tu ndio kuondoa ujinga. Moja kati ya fursa tuliyoipata katika awamu ya tano, ni kujua kwamba, kama taifa, tuna kundi kubwa sana la wajinga, ambalo, limekaa pale, linasubiri mtu alitumie tu, na litampa uhalali wa kutenda maovu makuu ya kuchukiza, ya kihayawani, na ya makufuru. Lakini, maovu hayo yatakuwa na uhalali wa sanduku la kura, kama ilivyokuwa kwa Hitler, na yeye alishinda kwa kura nyingi. Muovu ana uhalali wa kura! Hivyo ni kiongozi halali kikatiba!

Tuna kundi kubwa lililosherehekea utekwaji, mauaji, ukatili, kubambika kesi, kunyanyasa watumishi, dhuluma kwa wafanyabiashara, kundi Hilo kubwa ni la JPM.

Kama taifa, lazima tuwe na mikakati ya kuondoa ujinga katika kundi hili. Ujinga wa kuwafanya waelewe kwamba yale yalikuwa ni matendo ya kihayawani kabisa na hayafai katika nchi hii.
Fikiria mhitimu wa chuo kikuu asiye na ajira aliyekuwa anashangilia JPM kuzuia ajira serikalini na kuua uwezo wa sekta binafsi kuajiri.

Muajiriwa wa mfanyabiashara anafurahia uonevu dhidi ya bosi wake, baada ya mwezi kampuni inakufa, anakosa ajira

Fikiria mkulima wa korosho, mnazi mkubwa wa JPM japo aliona zao la korosho lilivyonajisiwa.

Tafakari mwananchi anayesifu sera za kunyima watumishi maslahi, halafu anaishi kwa kutegemea ndugu zake ambao ni watumishi ... Kila siku kupiga mizinga.

Fikiria watanzania waliokuwa wanashangilia kwa furaha kubwa kuona au kusikia fulani katekwa, mfanya biashara fulani kafilisiwa au kabambikwa mamia ya kesi, au kanyanganywa fedha zake zikizokuwa benki.

Mkuu wa Mkoa anaiba au kudhukumu magari, halafu anayawekea plate number za serikali, na like kundi la wajinga linatopea katika kumsifu sana kwamba ni kiongozi bora,gari ya wizi anaweka plate number za Mkuu wa Mkoa (RC)!

Nadhani kama nchi, tuandae programu maalum ya kuufuta ujinga huu ili kundi hili kubwa la wajinga,lipate uelewa. Haijalishi ni shilingi ngapi itatumika, lakini taifa litaponywa.

Kundi hili bado lipo, lina kiu ya damu ya watanzania wenzetu na halijashiba, ilibidi wengine wafukuziliwe Malawi, maana muda wote walikuwa wanaimba damu! Damu! Damu!.

Tutumie Redio,tv, na wasanii, shule, vyuo, viongozi katika hotuba kuufuta ujinga huu. Kila kiongozi akipata fursa ya hotuba aseme hili.

Kundi hili linahitaji elimu tu na uwazi wa taarifa ili kulivua utando wa propaganda za kipumbavu na kijinga kutoka awamu ya tano.

Kundi hili yule aliyefukuziliwa Malawi alikuwa anahangaika kuliweka pamoja ili limpe kura, jitihada zifanywe kuibomoa gundi iliyolishikamanisha, viongozi wanaoendelea kulitegemea ili wapate kura, wabomolewe kisiasa kabla hawajabomoa taifa.

Mama Samia amefanya makubwa sana kulijenga taifa na kulifanya liwe pamoja ...tumuunge mkono kwa namna yoyote ile
Kipi kilichoboreka kwa mwananchi wa kawaida tangu mama ameingia madarakani?

Mnapiga mwingi kwenye ufisadi na kulambishana asali,huku mtaani mambo yakizidi kuwa mabaya kwa wananchi.

Mmefungua nchi sawa...je nini ambacho kinamsaidia au kumnufaisha mwananchi huku site zaidi ya kuongezewa.

Tozo.
Vikokotoo.
Fukuza Machinga.
Kulipa kodi ya kichwa.
Mfumko wa bei.
Ughali wa matibabu.
Na....
Uzembe kwa watumishi wa umma kurejea kwa kasi.
Vyakula vyote sasa vinakwenda nje na soon baa la njaa litaanza nchini.

Ajali kila uchao zinateketeza maisha ya wananchi.
 
Ben ndio takataka gani na wewe?

Kigoma tu hapo juzi wameuawa watu saba wa familia moja kwa mapanga, kwamba ben ndio mtu sana au?

Wameuliwa na dhalimu? Kumbuka hata hao waliouliwa maiti zao zilikuwepo na wamezikwa. Je aki a Ben, Azory nk wamezikwa wapi?
 
Hakuna aliyebambikiwa kesi wala kuonewa.

Swala la kutokulipa kodi wafanyabiashara walikua hawalipi.

Hao wanaosema wanabambikiwa ndio wale wahalifu ambao wana maisha ya aina mbili.

Yale ya gizani na yale ya kuzugia uraiani.

Mtu ni muuza madawa mzuri tu lakini ndio anaongoza kwa kutoa sadaka na kujenga nyumba za ibada.

Sasa huyo akishughulikiwa raia unaweza ona anaonewa.

Wezi tunaishi nao huko mtaani wengi tu na ndio wanaendesha maisha ya wengi, ni mfumo ambao upo deep sana kwenye jamii zetu.

Kuuondoa huo mfumo ni kazi kubwa na watu wengi wataumia.

Rais aliyepita alijitahidi kuuondoa mfumo huo wa kifisadi lakini aliishia kukumbana na kilichomkuta.
Umesema kweli kabisa 101% !!
 
Mkuu watu wamekariri we acha tu maana unaweza kujiuliza huyo Ben alikuwa ni nani hasa? Maana matukio ya uhalifu bado yapo hayajawahi kuisha ila watu wamekariri Ben tu.
maisha ya mtu mmoja tu Yana thamani Zaid ya flyover na man made things unazozijua ww joh we soldiers don't leave thy life behind
 
Back
Top Bottom