Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Uhuru wa wewe kufanya ujinga alafu watu wakae kimya Hiki kitu hakipo mahali popote pale
Nimekupa nafasi ueleze huo ujinga uko wapi.

Umeshindwa.

Hapa naona unaniletea shombo tu, unanuka ushamba.

Nakupeleka ignore list sitaki majibizano mengi na watu washamba wasije kuniambukiza ushamba wao.

Kuanzia hapa sitaona chochote utakachoandika.

Sifikiri kwamba una uwezo wa kunielewa.

Ubongo wako haujafikia "the requisite wattage to understand my points".

Unaishi kwenye dunia iliyopitwa na wakati kama Mtaliban mwenye siasa kali dhidi ya wanawake anayetaka kuishi katika dunia ya internet. Mpaka hapo usha fail.

Hili ni trailer tu, movie lenyewe bado linaload likikamilika mtatamani mjinyonge wenyewe.

Kuna vitoto viko chuo sasa hivi vikimaliza mtamuomba Lilian avifundishe ustaarabu.
 
Kuna mambo yanapaswa kufanywa na msomi,pia kuna mambo ya kufanywa na wadada wa mjini
Na sio kila kitu ni chakufanya
 
Kwa akili hizi, Siwezi endelea bishana na wewe...HUJITAMBUI.
Hawa wengine kujadiliana nao ni kujisumbua tu.

Yani hawana hata elimu ya msingi kuhusu mambo kama uhuru wa mtu binafsi, wote wamekulia kama mifugo wanaswagwaswagwa tu "hameni kwenye vijiji vya Ujamaa, Mwalimu Nyerere kasema" wanahama kwa lazima kama ng'ombe. Hawajhi hata uhuru ni nini.

Wanaambiwa haya nunueni vyakula kwenye maduka ya kaya tu, ukinunua kwingine ni ulanguzi, wanakubali.

Wanaambiwa chama ni kimoja, CCM tu, hakuna chama kingine, wanakubali.

Wanaambiwa "Zidumu fikra za Mwenyekitii" wanaitikia "Zidumuuu".

Sasa watu kama hawa washazoea kwenda ki ng'ombe ng'ombe kwa kufuata kundi, herd mentality, kuja kuwaeleza kuwa mtu mmoja mmoja ana haki za kujiamulia mambo katika maisha yake mwenyewe mpaka wakakuelewa ni kazi sana. Ni kama wanahitaji rewiring kwenye ubongo kuelewa.

Wanakuwa kama samaki ambao maisha yao yote wamekulia baharini kwenye maji, ukiwaambia kuna jangwa la Sahara huko hakuna maji, hawawezi kukuelewa.

Hili ni tatizo kubwa sana katika kufanya mazungumzo na Watanzania wengi sana.

Wana mawazo mafupi sana lakini ni wabishi kupita maelezo.
 
Kifupi Binti kawashangaza,hawakutegemea.
Halafu sasa wana hasira naye, kumpiga hawawezi, kumshitaki hawana hata ujasiri huo, wamebaki kupiga domo tu hapa JF.

Wanaume wazima wameshindwa hata kumchukulia hatua huyo binti tuone kuwa hawa kweli wanaume?

Yani imekuwa binti kawa mtu wa vitendo kutimiza ndoto zake maishani, halafu wanaume wanamnyanyapaa kwa umbea tu!
 
Kuna mambo yanapaswa kufanywa na msomi,pia kuna mambo ya kufanywa na wadada wa mjini
Na sio kila kitu ni chakufanya
Dhana nzima ya usomi ni pana sana kuliko ulivyoiweka kirahisirahisi hapa,

Na hii dhana uliyoiweka hapa, kwa wasomi wa falsafa na mantiki, inaitwa "false dichotomy logical fallacy".

Yani umefanya kama vile usomi na udada wa mjini haviwezi kuendana pamoja, wakati kuna wengine wanakwambia mjini shule na huwezi kukamikisha kuwa msomi ukawa mtu mshamba mshamba.
 
Angefanya huo ukungwi bila elimu unadhani angekuwa talk of the the town?anakulia bundle hapa uko busy kumdiscuss
Wana mdiscuss kwa sababu wana shangaa mdudu kaingia vipi kwenye kokwa la embe. Hata wewe ukimkuta toz Mogadishu lazima ushangae kwa sababu Somalia hakunaga tozi
 
Dhana nzima ya usomi ni pana sana kuliko ulivyoiweka kirahisirahisi hapa,

Na hii dhana uliyoiweka hapa, kwa wasomi wa falsafa na mantiki, inaitwa "false dichotomy logical fallacy".

Yani umefanya kama vile usomi na udada wa mjini haviwezi kuendana pamoja, wakati kuna wengine wanakwambia mjini shule na huwezi kukamikisha kuwa msomi ukawa mtu mshamba mshamba.
Hayo ni mawazo yako ,siwezi kukukatalia
 
Kuna raia anaweka mambo ya kipuuzi tiktok lkn anaingiza hadi 10m kwa mwezi, kwa siku lazima aweke video tatu au zaidi.
 
Wana mdiscuss kwa sababu wana shangaa mdudu kaingia vipi kwenye kokwa la embe. Hata wewe ukimkuta toz Mogadishu lazima ushangae kwa sababu Somalia hakunaga tozi
Ndio maana mnaambiwa muende shule nzuri hamsikii,mnashangaa hata vitu visivyoshangalika chaa
 
Halafu sasa wana hasira naye, kumpiga hawawezi, kumshitaki hawana hata ujasiri huo, wamebaki kupiga domo tu hapa JF.

Wanaume wazima wameshindwa hata kumchukulia hatua huyo binti tuone kuwa hawa kweli wanaume?

Yani imekuwa binti kawa mtu wa vitendo kutimiza ndoto zake maishani, halafu wanaume wanamnyanyapaa kwa umbea tu!
Wambea sana!mara wakamtungia yupo kwenye clip ya ngono ya Aslay kumbe sio Ili mradi tu watimize umbea wao🙌
 
Wambea sana!mara wakamtungia yupo kwenye clip ya ngono ya Aslay kumbe sio Ili mradi tu watimize umbea wao🙌
Watu wa aina ya huyu binti unaweza kuona unawaharibia kuwazushia scandal, kumbe wenyewe ndiyo wanafurahi tu unawaongezea viewers na subscribers 🤣🤣🤣
 
Mchaga na ukungwi wapi na wapi mkuu? Mwanamke anaonekana hata hajui kuosha k wala kuzungusha kiuno.

Msimtoe mtoa mada kwenye reli pelekeni watoto wenu Kayumba period . Acheni kujistress shule za EM
Wewe kama mzaz timiza majukum yako mtt yuko abv18 acha aishi maisha yake
 
Back
Top Bottom