Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Kama uko sawa kwa mtoto kufanya anachofanya huyo binti uko sawa na unachoamini
This logical fallacy is called logical non sequitur.

Yani unalazimisha mtu kwamba kama kakataa binti yake asiolewe na Mmakonde, basi akataze mabinti wa dunia nzima kuolewa na wamakonde.

It is a ridiculously disjointed illogic.
 
Sojadili Lilian Lema. Najadili dhana ya mtu binafsi kuachiwa awe huru kuamua mambo yake binafsi kwenye maisha yake.

Ila, watu wenye fikra fupi hawawezi kujua tofauti.
Uzi unamuhusu lilian penda kujikita kwenye uzi
Kila mtu ana uhuru wa kuamua mambo yake ila ana mipaka binadamu hana uhuru huo ambao unataka kuaminisha watu
 
kabisaa. Kila jamii ina utamaduni wake ,hiyo ndio miongozo na maadam wewe ni mwanajamii hizo ndio benchmark za ku judge kile umachoofanya kama ni sahihi au lah.

Kama unafikiri unaweza ukajiamulia tu mambo kisa ni maisha yako binafsi, kavutie bangi kituo cha polisi.

NDio maana kuna sheria , kanuni na taratibu kama miongozo kwwnye jamii yoyote ile.

Kwa maadil yanayopatana na utamaduni wetu, anachofanya huyo binti sio sahihi
Huyo jamaa ni mjinga sana ndo maana nimemwambia uhuru unamipaka dunian kote
 
Mbona hao mashangazi kibao hamuwadiscuss?Ukiona wanababa na ndevu zenu mnamdiscuss kaja kivingine!Ana Kitu
I hope binti yako unae msomesha EM atakuja kuwa kungwi. All the best. Najua kimoyomoyo unasema " shindwa "
 
Kuuza inshu ndio mpango mjini...
Siku hizi inshu inauzwa kisomi! Na wasomi!

Insta papa inauzwa aisee!... Na watoto wa 2000's

Ukiwa msomi kidogo na mbunifu wa content...insta unauza papa kwa bei iliyochangamka!.
 
kabisaa. Kila jamii ina utamaduni wake ,hiyo ndio miongozo na maadam wewe ni mwanajamii hizo ndio benchmark za ku judge kile umachoofanya kama ni sahihi au lah.

Kama unafikiri unaweza ukajiamulia tu mambo kisa ni maisha yako binafsi, kavutie bangi kituo cha polisi.

NDio maana kuna sheria , kanuni na taratibu kama miongozo kwwnye jamii yoyote ile.

Kwa maadil yanayopatana na utamaduni wetu, anachofanya huyo binti sio sahihi
Hii logical fallacy inaitwa "argument from tradition".

Ungeshikilia hii kanuni, hata kusoma na kuandika usingejua.

Maana jamii zetu zilikuwa na utamaduni wa hadithi na nyimbo, hatukuwa na utamaduninwa kusoma na kuandika.

Wewe kuwapo hapa JF na kuandika tu ninushahidi kwamba hata wewe hufuatilii kanuni yako ya "kwenda na utamaduni wetu".

Unaitumia hoja hii kama geresha tu, whether unajua hilo au hujui.
 
I hope binti yako unae msomesha EM atakuja kuwa kungwi. All the best. Najua kimoyomoyo unasema " shindwa "
Kasema atamwacha hawezi muingilia ni mamauzi yake
Assume ndo mzazi ana mentality kama hii ndo maana hiki kazazi kina mambo ya hovyo mengi sana sababu wazazi wenyewe ndo kama hawa
 
Unajua darasa la Saba wanawachukia Sana wasomi.

Wakiwa kungwi hawataki
Wakiwa saidia FUNDI na wachoma mahindi hapo ndo wanasema safi Sana.

😁😁😁😁 waache Dada apige pesa maana taifa la watu wanaowaza ngono 24/7 unabidi uwaletee content zao zinazo match na akili zao
😂😂😂Utafikiri muda wote wanabalehe,Kwa hiyo ni kwenda nao sawa tu
 
Hii logical fallacy inaitwa "argument from tradition".

Ungeshikilia hii kanuni, hata kusoma na kuandika usingejua.

Maana jamii zetu zilikuwa na utamaduni wa hadithi na nyimbo, hatukuwa na utamaduninwa kusoma na kuandika.

Wewe kuwapo hapa JF na kuandika tu ninushahidi kwamba hata wewe hufuatilii kanuni yako ya "kwenda na utamaduni wetu".

Unaitumia hoja hii kama geresha tu, whether unajua hilo au hujui.
Kama kawaida yako umehamisha magoli
 
Uzi unamuhusu lilian penda kujikita kwenye uzi
Kila mtu ana uhuru wa kuamua mambo yake ila ana mipaka binadamu hana uhuru huo ambao unataka kuaminisha watu
Na bahati nzuri hiyo mipaka huiweki wewe. Ungeiweka wewe dunia ingekuwa iko nyuma sana kimaendeleo.
 
Mkuu, Unachanganya vitu viwili kaka. Hapa hoja ya mtoa mada haihusiani chochote na suala la uhuru wa mtu.

Hoja ya mtoa mada ni kuhusu ubovu wa elimu ya Tanzania.

Mtoa mada anasema kwamba elimu ya Mtanzania haimuandai mwanafunzi kukabiliana na changamoto mpya ( za sasa hivi) wala haimpi mwanafunzi uwezo wa kutatua changamoto zilizopo katika jamii yake.

Amemtolea huyo mdada kama case study kwamba pamoja na wazazi wake kutumia mamilioni ya hela kumsomesha kwenye shule za gharama kuanzia chekechea hadi chuo kikuu lakini ameishia kuwa kungwi kazi ambayo angeweza kuifanya hata bila kusoma English Medium wala kufika chuo kikuu.


So mtoa mada anasema kuliko kupoteza mamilioni kumlipia mtoto shule za English Mediums ni bora umuache aisome tu shule za serikali ambazo elimu inatolewa bure kwa sababu there is no point paying a millions to someone only for her to end up being a hoe( literally)...

So mtoa mada anatumia uhuru wake wa kutoa maoni yake kwa watanzania wenzake bila kuathiri uhuru wa huyu binti ame amua kuwa hivyo alivyo amua kuwa
Angefanya huo ukungwi bila elimu unadhani angekuwa talk of the the town?anakulia bundle hapa uko busy kumdiscuss
 
Wewe ndiye una fikra fupi hujui kufuatilia mada kimantiki, nikizama kwa kina kimantiki, unaona nimehamisha magoli.

Kwa sababu huna uwezo wa kufanya fikra ndefu kimantiki.
Hiyo umesema wewe mtu yeyote mwenye akili timamu akisoma conversation yangu mimi na wewe ataona wewe ndo kilaza
 
Kosa lake hapo ni kwamba mwanamke kathubutu kujionesha mitandaoni kinyume na mategemeo ya mfumodume ambao umemfanya mwanamke kuwa ni mtu tegemezi, asiye na uthubutu, anayejifunikafunika.

Sasa huyu kaja ana confidence, amejitengenezea ajira, anatumia teknolojia, anafundisha mambo ya chumbani.

Wanaume wanaopenda mfumodume wanatishika na wanawake kama hawa.

Huo ndio mzizi wa tatizo. Hayo mengine geresha tu.
Kifupi Binti kawashangaza,hawakutegemea.
 
Back
Top Bottom