Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Haya matatizo ya watu kufuatikiana sana maisha binafsi ni matatizo ya umasikini wa hali na mali tu.

Yani umasikini wa mawazo na mali, lakini zaidi wa mawqzo.

Mtu mwenye utajiri hata wa mawazo tu ataeleea kanunibya juwaachia watu waishi wanavyotaka, na yeyr kuishi anavyotaka, na ataeleea kuwa haki yake ya kuishi anavyotaka ndiyo ile ike inayoruhudu wengine waishi wanavyotaka.

Na, kwa hivyo, kuuingikia uhuru wa watu wengine kuishi wanavyotaka, kimsingi, ni kuuhatarisha uhuru wake yeye mwenyewe kuishi anavyotaka.

Kama hata anaelewa kuna uhuru wa mtu kuishi anavyotaka.

Maana kuna watu wengine hawaelewi kwamba kuna uhuru huo.

Wanafikiri kuwa maisha ni kufuata sheria unazopangiwa na jamii tu.
Mkuu, Unachanganya vitu viwili kaka. Hapa hoja ya mtoa mada haihusiani chochote na suala la uhuru wa mtu.

Hoja ya mtoa mada ni kuhusu ubovu wa elimu ya Tanzania.

Mtoa mada anasema kwamba elimu ya Mtanzania haimuandai mwanafunzi kukabiliana na changamoto mpya ( za sasa hivi) wala haimpi mwanafunzi uwezo wa kutatua changamoto zilizopo katika jamii yake.

Amemtolea huyo mdada kama case study kwamba pamoja na wazazi wake kutumia mamilioni ya hela kumsomesha kwenye shule za gharama kuanzia chekechea hadi chuo kikuu lakini ameishia kuwa kungwi kazi ambayo angeweza kuifanya hata bila kusoma English Medium wala kufika chuo kikuu.


So mtoa mada anasema kuliko kupoteza mamilioni kumlipia mtoto shule za English Mediums ni bora umuache aisome tu shule za serikali ambazo elimu inatolewa bure kwa sababu there is no point paying a millions to someone only for her to end up being a hoe( literally)...

So mtoa mada anatumia uhuru wake wa kutoa maoni yake kwa watanzania wenzake bila kuathiri uhuru wa huyu binti ame amua kuwa hivyo alivyo amua kuwa
 
Sema bhana Watu wako Bias sana ni vile huyu dada kajulikana kwa Watu Wengi hapa majuzi, ila yupo kitambo tu.

Mbali na sex education anayotoa na inasaidia Watu Wengi tu hasa wanawake pia anatoa elimu ya afya ya uzazi.

Msikae kwenye point moja kwamba anafundisha umalaya hapana acheni ukuda.

Anauza na zile menstruation package care Mbona hilo hamsemi?

Anauza na bidhaa pia, ila tatizo la Watu Wengi humu ni kutokuwa active na kujichanganya vitu vikitokea mnaona vipya.
 
Mbona unahamisha magoli tena
Jambo usilopenda wewe kufanyiwa au mtu wako wa karibu kufanya usione ni sawa kwa watu wengine kufanya
Kama ndo fikra zako ndo hizo basi unaakili ndogo sana kwa sababu hufikiri mambo kwa upana
Una hoja ya msingi sana. Lakini nafikiri hata wewe mwenyewe hujaielewa kwa kina kirefu, unaiangalia kwa juu juu tu.

Jambo ambalo mimi sipendi kufanyiwa sitaki mtu mwingine afanyiwe.

Mimi sitaki kuingiliwa katika maamuzi yangu ya maisha yangu binafsi.

Na hivyo sitaki binti wa watu aingiliwe katika maamuzi yake ya maisha yake binafsi.

Umeshaielewa hoja yako wewe mwenyewe?

Au unaisema tu bila kuielewa kwa kina?

Kama wewe hupendi kuamuliwa mambo katika maisha yako binafsi, lakini unapenda kuamulia wengine mambo katika maisha yao binafsi, hapo utakuwa unavunja kanuni yako mwenyewe, unaelewa hili?
 
Sema bhana Watu wako Bias sana ni vile huyu dada kajulikana kwa Watu Wengi hapa majuzi, ila yupo kitambo tu.

Mbali na sex education anayotoa na inasaidia Watu Wengi tu hasa wanawake pia anatoa elimu ya afya ya uzazi.

Msikae kwenye point moja kwamba anafundisha umalaya hapana acheni ukuda.

Anauza na zile menstruation package care Mbona hilo hamsemi?

Anauza na bidhaa pia, ila tatizo la Watu Wengi humu ni kutokuwa active na kujichanganya vitu vikitokea mnaona vipya.
Watanzania wengi ni wanafiki.

Wengine watamponda hapa hadharani halafu wataenda kumtafuta wajifunze huko.

Wananikumbusha mama mmoja mlokole miaka ya mwanzo ya 1990s alikuwa anamponda sana mwanamuziki wa Marekani Madonna kwa ufuska, halafu usiku anaenda kuangalia mikanda ya video ya Madonna kama "Truth or Dare" kujifunza mapigo ya Madonna.
 
This is what I have been talking about all the time lakini akina Joannah hawataki kukubaliana na ukweli huu mchungu.
Sasa hapo kosa lake ni Nini?Lilian anatumia vizuri elimu aliyoipata kubuni kitu Cha kumuingizia kipato,Ajira za huo uchumi aliosomea hazipo Sasa Elimu aliyoipata kajiongeza......Hicho kitu anafanya hapo sio maajabu mbona Ulaya Kuna hiyo course inaitwa sexology ,...basi Wabongo Kwa vile hizi mambo ni ngeni mmezoe kufanyia gizani mnaona kafanya dhambiiiii tokeni zenu
 
Watanzania wengi ni wanafiki.

Wengine watamponda hapa hadharani halafu wataenda kumtafuta wajifunze huko.

Wananikumbusha mama mmoja mlokole miaka ya mwanzo ya 1990s alikuwa anamponda sana mwanamuziki wa Marekani Madonna kwa ufuska, halafu usiku anaenda kuangalia mikanda ya video ya Madonna kama "Truth or Dare" kujifunza mapigo ya Madonna.

Unafiki kupitiliza hata huyu mleta mada hamjui huyu binti shule za nini?? [emoji23][emoji23][emoji23] kaleta mada achimbe mawili matatu akasimulie huko kwao.
 
Mkuu, Unachanganya vitu viwili kaka. Hapa hoja ya mtoa mada haihusiani chochote na suala la uhuru wa mtu.

Hoja ya mtoa mada ni kuhusu ubovu wa elimu ya Tanzania.

Mtoa mada anasema kwamba elimu ya Mtanzania haimuandai mwanafunzi kukabiliana na changamoto mpya ( za sasa hivi) wala haimpi mwanafunzi uwezo wa kutatua changamoto zilizopo katika jamii yake.

Amemtolea huyo mdada kama case study kwamba pamoja na wazazi wake kutumia mamilioni ya hela kumsomesha kwenye shule za gharama kuanzia chekechea hadi chuo kikuu lakini ameishia kuwa kungwi kazi ambayo angeweza kuifanya hata bila kusoma English Medium wala kufika chuo kikuu.


So mtoa mada anasema kuliko kupoteza mamilioni kumlipia mtoto shule za English Mediums ni bora umuache aisome tu shule za serikali ambazo elimu inatolewa bure kwa sababu there is no point paying a millions to someone only for her to end up being a hoe( literally)...

So mtoa mada anatumia uhuru wake wa kutoa maoni yake kwa watanzania wenzake bila kuathiri uhuru wa huyu binti ame amua kuwa hivyo alivyo amua kuwa
Mtu kapewa elimu kaweza kukabiliana na changamoto za kukosa ajira kwenye kitu alichosomea mpaka kajiajiri mitandaoni, halafu mnasema kashindwa kukabiliana na changamoto?

Hamuelewi kwamba yeye kujiajiri tu kashawapunguzia changamoto za kuwapiga mizinga kwa kukosa ajira?

Inaonekana nyie ndiyo hamuelewi hata pale watu wanapochangamkia fursa za teknolojia kutengeneza ajira zao wenyewe.

Yani mnataka mpaka mtu aajiriwe serikalini ndiyo mumuone ana ajira na kakabikiana na changamoto.
 
Una hoja ya msingi sana. Lakini nafikiri hata wewe mwenyewe hujaielewa kwa kina kirefu, unaiangalia kwa juu juu tu.

Jambo ambalo mimi sipendi kufanyiwa sitaki mtu mwingine afanyiwe.

Mimi sitaki kuingiliwa katika maamuzi yangu ya maisha yangu binafsi.

Na hivyo sitaki binti wa watu aingiliwe katika maamuzi yake ya maisha yake binafsi.

Umeshaielewa hoja yako wewe mwenyewe?

Au unaisema tu bila kuielewa kwa kina?

Kama wewe hupendi kuamuliwa mambo katika maisha yako binafsi, lakini unapenda kuamulia wengine mambo katika maisha yao binafsi, hapo utakuwa unavunja kanuni yako mwenyewe, unaelewa hili?
Sijui hata wanampangia Kwa Nini maisha yake.... Wabongo bwana sijui nani kawaroga
 
Kuna shule ya msingi inaitwa mpigamiti primary school ndo alisomea huko ?
 
Una hoja ya msingi sana. Lakini nafikiri hata wewe mwenyewe hujaielewa kwa kina kirefu, unaiangalia kwa juu juu tu.

Jambo ambalo mimi sipendi kufanyiwa sitaki mtu mwingine afanyiwe.

Mimi sitaki kuingiliwa katika maamuzi yangu ya maisha yangu binafsi.

Na hivyo sitaki binti wa watu aingiliwe katika maamuzi yake ya maisha yake binafsi.

Umeshaielewa hoja yako wewe mwenyewe?

Au unaisema tu bila kuielewa kwa kina?

Kama wewe hupendi kuamuliwa mambo katika maisha yako binafsi, lakini unapenda kuamulia wengine mambo katika maisha yao binafsi, hapo utakuwa unavunja kanuni yako mwenyewe, unaelewa hili?
Mimi nimetoa maoni yangu kumbuka nina uhuru wa kutoa maoni juju ya jambo lolote lile

Nikuulize swali mimi huyo binti nimemuingiliane maisha yake
 
Sasa hapo kosa lake ni Nini?Lilian anatumia vizuri elimu aliyoipata kubuni kitu Cha kumuingizia kipato,Ajira za huo uchumi aliosomea hazipo Sasa Elimu aliyoipata kajiongeza......Hicho kitu anafanya hapo sio maajabu mbona Ulaya Kuna hiyo course inaitwa sexology ,...basi Wabongo Kwa vile hizi mambo ni ngeni mmezoe kufanyia gizani mnaona kafanya dhambiiiii tokeni zenu
Kosa lake hapo ni kwamba mwanamke kathubutu kujionesha mitandaoni kinyume na mategemeo ya mfumodume ambao umemfanya mwanamke kuwa ni mtu tegemezi, asiye na uthubutu, anayejifunikafunika.

Sasa huyu kaja ana confidence, amejitengenezea ajira, anatumia teknolojia, anafundisha mambo ya chumbani.

Wanaume wanaopenda mfumodume wanatishika na wanawake kama hawa.

Huo ndio mzizi wa tatizo. Hayo mengine geresha tu.
 
Watanzania wengi ni wanafiki.

Wengine watamponda hapa hadharani halafu wataenda kumtafuta wajifunze huko.

Wananikumbusha mama mmoja mlokole miaka ya mwanzo ya 1990s alikuwa anamponda sana mwanamuziki wa Marekani Madonna kwa ufuska, halafu usiku anaenda kuangalia mikanda ya video ya Madonna kama "Truth or Dare" kujifunza mapigo ya Madonna.
WANAFIKI sana!wanajikuta malaika
 
WANAFIKI sana!wanajikuta malaika
Ndo maana jamii yetu imeharibika sana
Sababu mtoto wa jirani yako anaweza fanya mambo ya kijinga huwezi sema chochote kwa point kwamba ndo maisha aliyochagua ana uhuru

Kesho anafanya mtoto wako mambo yale yale ya hovyo ndo utaona uchungu wake
 
Wewe mtoto wako wa kike akifanya anachofanya huyo binti utamssuport au utaona ni sawa naomba unijibu hili swali
Unashindwa kujadili.mada, unajadili watu.

Eleanor Roosevelt alisema

"Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people."

You are not discussing ideas, you are not discussing events.

You are discussing people.
 
Mtu kapewa elimu kaweza kukabiliana na changamoto za kukosa ajira kwenye kitu alichosomea mpaka kajiajiri mitandaoni, halafu mnasema kashindwa kukabiliana na changamoto?

Hamuelewi kwamba yeye kujiajiri tu kashawapunguzia changamoto za kuwapiga mizinga kwa kukosa ajira?

Inaonekana nyie ndiyo hamuelewi hata pale watu wanapochangamkia fursa za teknolojia kutengeneza ajira zao wenyewe.

Yani mnataka mpaka mtu aajiriwe serikalini ndiyo mumuone ana ajira na kakabikiana na changamoto.
She is a hoe mkuu. Huwezi kuita ajira hiyo mkuu.. Huwezi kusema pusha anaeuza bangi amejiajiri...
 
Ndo maana jamii yetu imeharibika sana
Sababu mtoto wa jirani yako anaweza fanya mambo ya kijinga huwezi sema chochote kwa point kwamba ndo maisha aliyochagua ana uhuru

Kesho anafanya mtoto wako mambo yale yale ya hovyo ndo utaona uchungu wake
Kwa nini unaita sex education jambo la kijinga?

Unajua kuna wasichana na wanawake wengi wanapata mimba, magonjwa ya zinaa, na matatizo mengi kwenye mahusiano kwa kukosa elimu?
 
Back
Top Bottom