Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Tatizo haiko kwa LILIAN , liko kwa kwenye mfumo wa chuo ulioshindwa kumshawishi Lilian aone fursa inayoendana na anachosoma...pili Watoto wamesababisha au kuchangia wazaz Kula RUSHWA na KUIBA ili wawafurahishe watoto wao, Karo 4m Kwa mshahara wa 1m, unaweza ona gape Hilo na huyo ana watoto 3, pia ndo njia za kukwepa Kodi ili mtoto asome....Elimu Hailet maarifa but exposure do.
OME...
Mkuu,

Umeandika "Tatizo haiko kwa LILIAN , liko kwa kwenye mfumo wa chuo ulioshindwa kumshawishi Lilian aone fursa inayoendana na anachosoma.."

Kwani ni lazima mtu kufanya kazi katika masomo aliyosomea?

Yani mpaka kwenye dunia ya leo inayobadilika sana kila mwaka yanakuja mambo mapya ya teknolojia mpya, bado tunategemea watu wafanye kazi kwenye nyanja za masomo waliyosomea tu?

Katika dunia hii ambayo teknolojia inaenda kwa kasi kubwa sana kuliko mitaala, si kwetu tu, dunia nzima, unategemea vipi watu wafanye kazi kwa kuangalia vitu walivyosomea tu?

Huoni kwamba haya ni mawazo ya mgando sana yaliyopitwa na wakati katika dunia ya leo?
 
Mkuu,

Umeandika "Tatizo haiko kwa LILIAN , liko kwa kwenye mfumo wa chuo ulioshindwa kumshawishi Lilian aone fursa inayoendana na anachosoma.."

Kwani ni lazima mtu kufanya kazi katika masomo aliyosomea?

Yani mpaka kwenye dunia ya leo inayobadilika sana kila mwaka yanakuja mambo mapya ya teknolojia mpya, bado tunategemea watu wafanye kazi kwenye nyanja za masomo waliyosomea tu?
Boss, Umeiona HOJA ya MUANDIKAJI?. tafuta key words alafu usome HOJA yangu ..tutakuwa kwenye line moja Mimi nawewe . Ila nimekumbuka kuna na course ya SOCIAL ECONOMICS...nadhan hapo ndo yeye kajikita..
 
Nimeongelea habari ya kutochanganya watu wasionihusu na wanaonihusu hapo juu.

Soma post namba #67

Watanzania wengi kama wewe wana tatizo la kufikiria hoja kidhahania.

Ili kufanya mjadala, inabidi wai personalize mada.

Na hii ni dalili ya udogo wa mawazo.

Mjadala si wa kunihusu mimi. Mimi si muamuzi. Nikikubali mdogo wangu afanye hivyo au nisipokubali, hilo halibadilishi ukweli.

Zaidi, naiheshimu sana familia yangu kiasi kwamba sitaki kuifanya iwe mfano katika swali la kufikirika.

Kitu muhimu si mimi nitaamua nini katika hoja ya kufikirika. Mimi ni mtu mmoja tu, ambaye sina umuhimu.

Kitu muhimu ni hoja, ukweli ni nini? Uhuru ni nini? Haki ni nini?

Mtu mzima asiyekuhusu akiamua kuishi anavyotaka yeye, kwa uhuru wake, wewe una haki gani ya kumpangia?

Wewe unajipaje umuhimu wa kumpangia mtu baki maisha yake kwenye masuala yaliyo katika miliki ya faragha yake?

Alikupangia na wewe utakubali?
Mbona unakwepa swali
Mtoto ako au mdogo wako wa tumbo moja akifanya anayofanya huyo binti kwenye video utamsupport mbona maelezo mengi yasiyokua na maana

Kama jambo hupendi ndugu yako au mtoto wako alifanye kwanini unaona ni sawa kwa watoto au ndugu wa watu wengine kufanya huo ni ubinafsi wa hali ya juu unaona ni sawa kwa sababu tu halikuhusu hio sio sawa

Kama unaona ni sawa kwa mtoto wako au ndugu yako wa kike kufanya hicho anachofanya huyo binti mimi binafsi sina shida na mtizamo tofauti na hapo hakuna mtu mwenye akili timamu atakussuport
 
Boss, Umeiona HOJA ya MUANDIKAJI?. tafuta key words alafu usome HOJA yangu ..tutakuwa kwenye line moja Mimi nawewe . Ila nimekumbuka kuna na course ya SOCIAL ECONOMICS...nadhan hapo ndo yeye kajikita..

Boss.

Hizi nyuzi zinazaa mazungumzo tofautitofauti tunaweza kupanua mada.

Tunaweza kuchambua hoja moja baada ya nyingine.

Naomba tuanze na hii niliyoinukuu kwa sababu ndiyo uliyoiweka mwanzo ikanivutia kwanza.

Kwa hiyo, hiyo hoja yako niliyoinukuu umeshaikana mara hii?
 
Habari wadau.

Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA.

Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm

Huyu binti hajasoma kayumba toka shule ya msingi ni shule za ada kubwa maarufu kama english medium.

Baada ya kumaliza chuo kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.

Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka, huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada, halafu baada ya kumaliza chuo mwanae huyo anaishia kuwa kungwi mtandaoni hapa ni lazima afe kwa msongo wa mawazo

Hili ni somo kubwa sana kwamba hichi kizazi cha kisasa Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa kujinyima sana bora asome shule za kawaida tu. Maana ajira za maana hakuna. Hata angesoma shule za serikali ukungwi angeumudu tu
This is what I have been talking about all the time lakini akina Joannah hawataki kukubaliana na ukweli huu mchungu.
 
Mbona unakwepa swali
Mtoto ako au mdogo wako wa tumbo moja akifanya anayofanya huyo binti kwenye video utamsupport mbona maelezo mengi yasiyokua na maana
1.Mimi nazungumza hoja, wewe unanizungumzia mimi, mpaka hapo ushafeli.

2. Nimeandika kirefu kwamba napinga watu kushupalia maisha ya mtu asiyewahusu. Mtoto au mdogo wangu ni mtu anayenihusu. Mpaka hapo hujaelewa somo.

3. Inaonekana huwezi kujadili mada kidhahania, mpaka ui personalize kwa mfano wa maisha yangu. Wewe ni kama mtu asiyeweza kuhesabu namba kichwani tu, kuhesabu mpaka ashike vidole. Ukishamaliza kuhesabu vidole kumi vya mkono na kumi vya mguuni, natabiri tutashindwa kuendelea kuhesabu pamoja.
 
1.Mimi nazungumza hoja, wewe unanizungumzia mimi, mpaka hapo ishafeli.

2. Nimeandika kirefu kwamba napinga watu kushupalia maisja ya mtu asiyewahusu. Mtoto au mdogo wangu ni mtu anayenihusu. Hujaelewa somo.

3. Inaonekana huwezi kujadili mada kidhahania, mpaka ui personalize. Wewe ni kama mtu asiyeweza kuhesabu namba kichwani tu, kuhesabu mpaka ashike vidole. Ukishamaliza kuhesabu vidole kumi vya mkono na kumi vya mguuni, natabiri tutashindwa kuendelea kuhesabu pamoja.
Swala sio kufeli
Kama hupendi jambo ndugu yako au mtoto wako kufanya kwanini unaona ni sawa kwa watoto au ndugu wa watu wengine kufanya

Jambo ambalo mimi sipendi ntakemea tu sitasema eti ana uhuru huo mintakemea siwezi mfanya chochote ila lazima nikemee

Anachofanya huo binti ni moral wrong kwa jamii yetu ya kiafrika hatakama hajavunja sheria hatuwezi support
 
Acha kupondea kila kitu..kwani ukungwi ni kitu kipya?? Acha mrembo atoe elimu maana hizi pisi zinajisahau sana hususa ni hapo kwenye upande wa kushika mic kutuma salamu
Mchaga na ukungwi wapi na wapi mkuu? Mwanamke anaonekana hata hajui kuosha k wala kuzungusha kiuno.

Msimtoe mtoa mada kwenye reli pelekeni watoto wenu Kayumba period . Acheni kujistress shule za EM
 
This is what I have been talking about all the time lakini akina Joannah hawataki kukubaliana na ukweli huu mchungu.
Haya matatizo ya watu kufuatikiana sana maisha binafsi ni matatizo ya umasikini wa hali na mali tu.

Yani umasikini wa mawazo na mali, lakini zaidi wa mawqzo.

Mtu mwenye utajiri hata wa mawazo tu ataeleea kanunibya juwaachia watu waishi wanavyotaka, na yeyr kuishi anavyotaka, na ataeleea kuwa haki yake ya kuishi anavyotaka ndiyo ile ike inayoruhudu wengine waishi wanavyotaka.

Na, kwa hivyo, kuuingikia uhuru wa watu wengine kuishi wanavyotaka, kimsingi, ni kuuhatarisha uhuru wake yeye mwenyewe kuishi anavyotaka.

Kama hata anaelewa kuna uhuru wa mtu kuishi anavyotaka.

Maana kuna watu wengine hawaelewi kwamba kuna uhuru huo.

Wanafikiri kuwa maisha ni kufuata sheria unazopangiwa na jamii tu.
 
Swala sio kufeli
Kama hupendi jambo ndugu yako au mtoto wako kufanya kwanini unaona ni sawa kwa watoto au ndugu wa watu wengine kufanya

Jambo ambalo mimi sipendi ntakemea tu sitasema eti ana uhuru huo mintakemea siwezi mfanya chochote ila lazima nikemee

Anachofanya huo binti ni moral wrong kwa jamii yetu ya kiafrika hatakama hajavunja sheria hatuwezi support
Naweza nisipemde kula nyama kwetu.

Je, hilo linanipa haki ya kukataza watu wengine wasio wa kwetu kutokula nyama?

Kwa nini unasema jambo analofanya huyo binti ni moral wrong kwa jamii yetu ya kiafrika?

Hiyo jamii ya kiafrika mlikaa kikao lini na kukubaliana kuwa hii ni moral wrong?

Hayo maneno "moral wrong" tu umeshindwa kuyaandika kwa ligha ya kiafrika, hii nindhana ya kiafrika kweli? Una uhakika hujapandikiziwa na dini na mambo ya wazungu tu?
 
Haya matatizo ya watu kufuatikiana sana maisha binafsi ni matatizo ya umasikini wa hali na mali tu.

Yani umasikini wa mawazo na mali, lakini zaidi wa mawqzo.

Mtu mwenye utajiri hata wa mawazo tu ataeleea kanunibya juwaachia watu waishi wanavyotaka, na yeyr kuishi anavyotaka, na ataeleea kuwa haki yake ya kuishi anavyotaka ndiyo ile ike inayoruhudu wengine waishi wanavyotaka.

Na, kwa hivyo, kuuingikia uhuru wa watu wengine kuishi wanavyotaka, kimsingi, ni kuuhatarisha uhuru wake yeye mwenyewe kuishi anavyotaka.

Kama hata anaelewa kuna uhuru wa mtu kuishi anavyotaka.

Maana kuna watu wengine hawaelewi kwamba kuna uhuru huo.

Wanafikiri kuwa maisha ni kufuata sheria unazopangiwa na jamii tu.
Uhuru upo hakuna mtu anabisha swali anachofanya sahii jibu ni hapana kwa jamii na ni moral wrong
Unajua hata mla unga hana kosa kwa sababu yule ni mtumiaji lakin anachofanya ni moral wrong huwezi support kwa namna yeyote ile
 
Naweza nisipemde kula nyama kwetu.

Je, hilo l9nanipa haki ya kukataza watu wengine wasio wa kwetu kutokula nyama?

Kwa nininunasema jambo analofanya huyo binti ni moral wrong kwa jamii yetu ya kiafrika?

Hiyo jamii ya kiafrika mlikaa kikao lini na kukubaliana kuwa hii ni moral wrong?
Huwezi fananisha kula au kutokula nyama na anachofanya huyo binti hata haviendani huyo binti anaongelea mambo ya faragha

Mdogo wako wa kike au mtoto wako wa kike akifanya anachofanya huyo binti utamsupport hili swali unalikweps mara zote lakin hili ndo lingefunga mjadala
 
Uhuru upo hakuna mtu anabisha swali anachofanya sahii jibu ni hapana kwa jamii na ni moral wrong
Unajua hata mla unga hana kosa kwa sababu yule ni mtumiaji lakin anachofanya ni moral wrong huwezi support kwa namna yeyote ile
Hujaeleza kwa nini ni moral wrong, unakazania tu miral wrong.

Kwa nini anachofanya ni moral wrong?
 
Hujaeleza kwa nini ni moral wrong, unakazania tu miral wrong.

Kwa nini anachofanya ni moral wrong?
Jibu swali langu ili tumalize mjadala
Mdo wako wa kike au mtoto wako wa kike akifanya hicho anachofanya huyo binti kwenye video utamsupport
 
Huwezi fananisha kula au kutokula nyama na anachofanya huyo binti hata haviendani huyo binti anaongelea mambo ya faragha

Mdogo wako wa kike au mtoto wako wa kike akifanya anachofanya huyo binti utamsupport hili swali unalikweps mara zote lakin hili ndo lingefunga mjadala
Kwa nini kula na kutokuka nyama ni tofauti na anachofanya huyo binti? Zote ni personal preferences tu.

Unaniukiza habari za mdogo wangu au mtoto wangu, kwani huyo binti ni mdogo wangu au mtoto wangu?

Kwa nini unamfannaisha huyo binti nisiyemjua na mdogo wangu au mtoto wangu?
 
Jibu swali langu ili tumalize mjadala
Mdo wako wa kike au mtoto wako wa kike akifanya hicho anachofanya huyo binti kwenye video utamsupport
Logical non sequitur. Logocal fallacy.

Unafananisha vitu visivyofanana.

Unaniuliza habari za mdogo wangu au mtoto wangu, kwani huyo binti ni mdogo wangu au mtoto wangu?

Kwa nini unamfannaisha huyo binti nisiyemjua na mdogo wangu au mtoto wangu?
 
Kwa nini kula na kutokuka nyama ni tofauti na anachofanya huyo binti? Zote ni personal preferences tu.

Unaniukiza habari za mdogo wangu au mtoto wangu, kwani huyo binti ni mdogo wangu au mtoto wangu?

Kwa nini unamfannaisha huyo binti nisiyemjua na mdogo wangu au mtoto wangu?
Nimekuuliza swali
Kama ikitokea mdogo wako au mtoto wako wa kike akifanya anachofanya huyo binti utasummport kwa mwavuli kwamba ana uhuru wa maisha yake
 
Logical non sequitur. Logocal fallacy.

Unafananisha vitu visivyofanana.

Unaniuliza habari za mdogo wangu au mtoto wangu, kwani huyo binti ni mdogo wangu au mtoto wangu?

Kwa nini unamfannaisha huyo binti nisiyemjua na mdogo wangu au mtoto wangu?
Mbona unahamisha magoli tena
Jambo usilopenda wewe kufanyiwa au mtu wako wa karibu kufanya usione ni sawa kwa watu wengine kufanya
Kama ndo fikra zako ndo hizo basi unaakili ndogo sana kwa sababu hufikiri mambo kwa upana
 
Back
Top Bottom