Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Kwa nini uhuru unaogeuka ushawishi kwa wengine ni uhuru unaovuka mipaka?

Huoni kwamba hapo umeshaweka kasumba kwamba hiki kitu ni kibaya?

Tukisema uhuru unaogeuka ushawishi kwa wengine ni uhuru unaovuka mipaka, hivyo tufunge makanisa, misikiti na shule zote, kwa sababu vyote hivyo vina uhuru unaojenga ushawishi, utakubali?
Nikuulize swali mdogo wako wa kike au mtoto wako wa kike akifanya hicho anachofanya huyo binti hapo kwenye video utamsupport kwa kitumia kauli mbiu yako ana uhuru huo
Nasubiria jibu
 
Lakini Uhuru unaogeuka Ushawishi kwa wengine ni Uhuru unaovuka mipaka ya haki za msingi za binafsi na kuiingilia hadhara kwa kushawishi muelekeo ama fikra fulani.

Binafsi zibakie huko kwenye Ubinafsi, wasizifanye public issues.
Huyo jamaa ana changamoto alafu pia ana ubinafsi wa hali ya juu sana
Kuwa na uhuru wa kufanya jambo haina maana tukusupport au tuone ni sawa wewe kufanya upumbavu sababu tu una uhuru tutakupinga tu as long ni moral wrong watu watapinga tu hata kama una uhuru wa kisheria

Huwezi support jambo wanalofanya watu wengine ilihali akitokea ndugu yako au mtoto wako akifanya utaumia huo ni ubinafsi wa hali ya juu sana
 
Nikuulize swali mdogo wako wa kike au mtoto wako wa kike akifanya hicho anachofanya huyo binti hapo kwenye video utamsupport kwa kauli mbiu kama ana uhuru huo
Nasubiria jibu
Nimeongelea habari ya kutochanganya watu wasionihusu na wanaonihusu hapo juu.

Soma post namba #67

Watanzania wengi kama wewe wana tatizo la kufikiria hoja kidhahania.

Ili kufanya mjadala, inabidi wai personalize mada.

Na hii ni dalili ya udogo wa mawazo.

Mjadala si wa kunihusu mimi. Mimi si muamuzi. Nikikubali mdogo wangu afanye hivyo au nisipokubali, hilo halibadilishi ukweli.

Zaidi, naiheshimu sana familia yangu kiasi kwamba sitaki kuifanya iwe mfano katika swali la kufikirika.

Kitu muhimu si mimi nitaamua nini katika hoja ya kufikirika. Mimi ni mtu mmoja tu, ambaye sina umuhimu.

Kitu muhimu ni hoja, ukweli ni nini? Uhuru ni nini? Haki ni nini?

Mtu mzima asiyekuhusu akiamua kuishi anavyotaka yeye, kwa uhuru wake, wewe una haki gani ya kumpangia?

Wewe unajipaje umuhimu wa kumpangia mtu baki maisha yake kwenye masuala yaliyo katika miliki ya faragha yake?

Alikupangia na wewe utakubali?
 
Asante.

Wachangiaji wengi kwenye mada hizi na Watanzania kiujumla hawaelewi mambo ya msingi kabisa kwenye habari za uhuru binafsi wa mtu kujiamulia maisha yake anavyotaka mwenyewe.

Wamezoea maisha ya kupangiana.

Na hata huko kupangiana, mara nyingi ni wao kuwapangia wengine, wakipangiwa wao wasivyotaka mgogoro.
Yaan unazidi kupasua ukweliii, semaa babaa semaaa.
Watu wapatee kuponaa. [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Huyo jamaa ana changamoto alafu pia ana ubinafsi wa hali ya juu sana
Kuwa na uhuru wa kufanya jambo haina maana tukusupport au tuone ni sawa wewe kufanya upumbavu sababu tu una uhuru tutakupinga tu as long ni moral wrong watu watapinga tu hata kama una uhuru wa kisheria

Huwezi support jambo wanalofanya watu wengine ilihali akitokea ndugu yako au mtoto wako akifanya utaumia huo ni ubinafsi wa hali ya juu sana
Mkuu,

Ushawahi kufikiri kwamba inawezekana wewe ndiye mwenye ubinafsi wa kutaka kumlazimisha mtu asiyetaka kuishi kama wewe aishi kama wewe bila kupenda?

Ila huna uwezo wa kufikiri kwa kina na kuutambua ubinafsi huo kama ubinafsi tu?

Ushawahi kufikiria kuwa inawezeoana moral wrong kubwa kabisa hapa ni kumlazimisha mtu aishi inavyotaka wewe bila ya yeye kutaka hivyo?

Ila, wewe huna uwezo wa kifikra tu kuona hilo kama moral wrong?
 
Sasa kama mwenyewe kapenda, marinda yake, kaamua yatatuliwe kwa hiyari yake, wewe kinachokuuma hasa ni kipi?

Wewe ni nani umkatalie asitatuliwe anavyotaka?

Unamuonea wivu unataka utatuliwe wewe?

Hasara kwa taifa ni wewe kufuatilia maisha ya watu wasiokuhusu bila sababu wala tija.
Sema babaa semaaa, tena ongeza sautii wasikiee na wengine pia. [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Yaan unazidi kupasua ukweliii, semaa babaa semaaa.
Watu wapatee kuponaa. [emoji122][emoji122][emoji122]
Watu wetu wengi hawaelewi dhana za msingi kabisa za uhuru wa mtu binafsi.

Halafu wamelishwa ujinga mwingi sana na dini ambao mwingine hata hawaujui kuwa ni ujinga wala hawajui kuwa umetoka kwenye dini.

Mtu anapinga haki ya mtu kuishi maisha anavyotaka, a clear moral wrong, halafu anasema anapinga kwa sababu huyo anayempinga anafanya moral wrong.

Huyu mtu hata haelewi kwamba kumkataza mtu kuishi anavyotaka kwa uhuru wake ni a fundamental moral wrong.
 
Naomba usinijadili mimi wala hoja zangu, jadili hoja.

Ukianza kunijadili mimi unakwenda kufanya "ad hominem attack", a logical fallacy.

Fanya kama sijaandika mimi unajadiliana na mtu tu.

Mimi sijawahi kupenda kusifiwa kwa kiasi unachotaka kudai hapa, ningekuwa napenda kusifiwa hivyo, nisingetetea pande ambazo hazikubaliki na Watanzania wengi kama Mungu kutokuwepo au watu kuwa na haki ya kuamua sexual orientation zao.

Ningekuwa napenda sifa, ningeweza kujipanga vizuri na majority ya watu hapa wanaoamini Mungu na kulaani watu wanaofuata sexual orientation tofauti na za majority.

Watu wana haki za kuamua sexual orientation zao, na ukiwanyima haki hii, unafungua mlango na wewe unyimwe haki hiyo hiyo.
Watu weuweeeeeeee!!!! Pasuaaa nasemaa pasuaaaa.
Woyoooooooh
 
Yupo sahihi Kwa nchi yetu,baada ya kufanya huo ujinga unaousema ataitwa na Media, atafanya matangazo, Bongo movie na usije shangaa ni mtangazaji wa FM Redio za mjini, TANZANIA ili utoboe lazima ufanye kitu cha kijinga hadi bungeni utaitwa,refer Pierre liquid,Kina mwijaku,Baba Levo...........
 
Kwa nini uhuru unaogeuka ushawishi kwa wengine ni uhuru unaovuka mipaka?

Huoni kwamba hapo umeshaweka kasumba kwamba hiki kitu ni kibaya?

Tukisema uhuru unaogeuka ushawishi kwa wengine ni uhuru unaovuka mipaka, hivyo tufunge makanisa, misikiti na shule zote, kwa sababu vyote hivyo vina uhuru unaojenga ushawishi, utakubali?
Yaan unanikoshaaa mnooo, nasemajeee piga spanaa hadi wapoteaneee. [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Sasa kama mwenyewe kapenda, marinda yake, kaamua yatatuliwe kwa hiyari yake, wewe kinachokuuma hasa ni kipi?

Wewe ni nani umkatalie asitatuliwe anavyotaka?

Unamuonea wivu unataka utatuliwe wewe?

Hasara kwa taifa ni wewe kufuatilia maisha ya watu wasiokuhusu bila sababu wala tija.

Piga za kichwa tu usipige sehemu ingine [emoji23][emoji23][emoji23].
 
Nimeongelea habari ya kutochanganya watu wasionihusu na wanaonihusu hapo juu.

Soma post namba #67

Watanzania wengi kama wewe wana tatizo la kufikiria hoja kidhahania.

Ili kufanya mjadala, inabidi wai personalize mada.

Na hii ni dalili ya udogo wa mawazo.

Mjadala si wa kunihusu mimi. Mimi si muamuzi. Nikikubali mdogo wangu afanye hivyo au nisipokubali, hilo halibadilishi ukweli.

Zaidi, naiheshimu sana familia yangu kiasi kwamba sitaki kuifanya iwe mfano katika swali la kufikirika.

Kitu muhimu si mimi nitaamua nini katika hoja ya kufikirika. Mimi ni mtu mmoja tu, ambaye sina umuhimu.

Kitu muhimu ni hoja, ukweli ni nini? Uhuru ni nini? Haki ni nini?

Mtu mzima asiyekuhusu akiamua kuishi anavyotaka yeye, kwa uhuru wake, wewe una haki gani ya kumpangia?

Wewe unajipaje umuhimu wa kumpangia mtu baki maisha yake kwenye masuala yaliyo katika miliki ya faragha yake?

Alikupangia na wewe utakubali?
Akikujibuu nitag,
 
Watu wetu wengi hawaelewi dhana za msingi kabisa za uhuru wa mtu binafsi.

Halafu wamelishwa ujinga mwingi sana na dini ambao mwingine hata hawaujui kuwa ni ujinga wala hawajui kuwa umetoka kwenye dini.

Mtu anapinga haki ya mtu kuishi maisha anavyotaka, a clear moral wrong, halafu anasema anapingabkwa sababu huyo anayempinga anafanya moral wrong.

Huyu mtu hata haelewi kwamba kumkataza mtu kuishi anavyotaka kwa uhuru wake ni a fundamental moral wrong.
Toa somo babaaa, watu wapatee kuelewa mambo kwa undani sio kupovukwa na kuhemkwa na hakuna 7bu.
 
Habari wadau.

Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA.

Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm

Huyu binti hajasoma kayumba toka shule ya msingi ni shule za ada kubwa maarufu kama english medium.

Baada ya kumaliza chuo kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.

Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka, huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada, halafu baada ya kumaliza chuo mwanae huyo anaishia kuwa kungwi mtandaoni hapa ni lazima afe kwa msongo wa mawazo

Hili ni somo kubwa sana kwamba hichi kizazi cha kisasa Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa kujinyima sana bora asome shule za kawaida tu. Maana ajira za maana hakuna. Hata angesoma shule za serikali ukungwi angeumudu tu
Tatizo haiko kwa LILIAN , liko kwa kwenye mfumo wa chuo ulioshindwa kumshawishi Lilian aone fursa inayoendana na anachosoma...pili Watoto wamesababisha au kuchangia wazaz Kula RUSHWA na KUIBA ili wawafurahishe watoto wao, Karo 4m Kwa mshahara wa 1m, unaweza ona gape Hilo na huyo ana watoto 3, pia ndo njia za kukwepa Kodi ili mtoto asome....Elimu Hailet maarifa but exposure do.
OME...
 
Back
Top Bottom