Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Mzazi wake katimiza wajibu wake wa kuhakikisha mtoto anadoms vizuri ujana wake

Kamaluza masomo no mtu mzima huyomLilian mengine yaliyobaki ya maisha ya kwake kama mtu mzima hayamhudu mzazi
Kazi ya mzazi ni kuhakikisha mtoto snasoma vizuri na ndicho mzazi kafanya hongera zake mzazi.Huko kwingine hakumhusu huyo ni mtu mzima hatima sasa ya maisha yake iko mokononi mwake mzazi asibebeshwe zigo lisilomhusu

Lakini mzazi kutomusomesha mtoto shule nzuri hapo tatizo kwa mzazi
 
Unajua darasa la Saba wanawachukia Sana wasomi.

Wakiwa kungwi hawataki
Wakiwa saidia FUNDI na wachoma mahindi hapo ndo wanasema safi Sana.


😁😁😁😁 waache Dada apige pesa maana taifa la watu wanaowaza ngono 24/7 unabidi uwaletee content zao zinazo match na akili zao
Wakiwa machawa watasema ila watu wanajenga huko ...Serikali wanapuuza wasomi acha watu wafanye kazi mkono uende tumboni.
 
Unaposomesha mtoto unamtayarisha na maisha yake ya baadae sio kama kaona hiyo ndio fursa kwake na inampa kipato cha kujikimu ni maamuzi yake kinachokuumiza wewe nini somesha wako!
Biblia inasema usiache elimu iende zake , na kidunia ni bora uwe na elimu kuliko kubaki mweupe elimu inakusitiri usiabike
 
Duh! Hiki kizazi cha sasa.. Yani wasichana wadogo wanatengeneza content za kufundishana namna ya kumeza ngoma!! Halafu unajisifu una mtoto umefundisha.

Kwa maana nyengine, huyu ni malaya msomi. Kaamua kujiongeza zaidi ili ajipatie jina na kipato. Aisee, hii dunia inapokwenda!
Hahahahaha Malaya Msomi
 
Malezi ya mtoto sio garama za shule alizosoma au utajiri wa wazazi

🔹 Kama mtoto anasoma shule nzuri wakati redio na Tv zinapiga muziki ya singeli iliyojaa mafumbo ya ngono unatarajia nini?

🔹 Kama mtoto atasoma shule nzuri wakati akiwa nyumbani Kuna tamthilia zinamaigizo yaliyojaa Maudhui ya ngono na mahusiano na hakuna PG

🔹Kama mtoto atasoma shule nzuri lakini kwenye mitandao na vyombo anaona wanaopewa air time ni machawa wanaomshabikia MAGUMEGUME ysliyoshindikana?

🔹 Kama atasoma shule nzuri wakati mitandaoni wapo akina Gigi na kimbia wanarusha ma connection na watu wsnawsfustilia?
 
Akili za timu upinde hizi
That's a right to self determination.

Hata ikiwa timu upinde, kama mtu kaamua kuwa timu upinde ni haki yake, hutakiwi kumlazimisha asiwe timu upinde wakati yeye ndiye kaamua kuwa hivyo.

Kama ambavyo yeye naye pia hatakiwi kukulazimisha ujiunge timu upinde kama wewe hupendi timu upinde.

Au unataka kuishi katika dunia ambayo mtu anaweza kukulazimisha uwe timu upinde hata kama wewe hupendi?
 
Duh! Hiki kizazi cha sasa.. Yani wasichana wadogo wanatengeneza content za kufundishana namna ya kumeza ngoma!! Halafu unajisifu una mtoto umefundisha.

Kwa maana nyengine, huyu ni malaya msomi. Kaamua kujiongeza zaidi ili ajipatie jina na kipato. Aisee, hii dunia inapokwenda!
Si ndiyo video yake ya kutigo na aslay imetrend?🥴
 

Wewe ni mama yake au baba yake? Kama wewe sio kati ya hao basi funga mdomo wako na ukae kimya!
Kufuatilia maisha ya watu baki ambao hawakuhusu kitu, kwa kutaka kuya control, ni ujinga tu, inawezekana ni aina fulani ya ugonjwa wa akili wa kutaka ku control watu.

Mtu hakuhusu chochote, kwa nini umshupalie?
 
Back
Top Bottom