Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Habari wadau.

Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA.

Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm

Huyu binti hajasoma kayumba toka shule ya msingi ni shule za ada kubwa maarufu kama english medium.

Baada ya kumaliza chuo kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.

Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka, huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada, halafu baada ya kumaliza chuo mwanae huyo anaishia kuwa kungwi mtandaoni hapa ni lazima afe kwa msongo wa mawazo

Hili ni somo kubwa sana kwamba hichi kizazi cha kisasa Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa kujinyima sana bora asome shule za kawaida tu. Maana ajira za maana hakuna. Hata angesoma shule za serikali ukungwi angeumudu tu
Acha unafki uyo dem kasoma government maisha yake yote.
Primary;Kurasini primary
O level;Kisutu Sec school Alevel;Weruweru girls.....siwezi kujisifia ila najua kwasababu mimi ni mmoja wa ma x wake kipindi hicho
 
Sasa kama mwenyewe kapenda, marinda yake, kaamua yatatuliwe kwa hiyari yake, wewe kinachokuuma hasa ni kipi?

Wewe ni nani umkatalie asitatuliwe anavyotaka?

Unamuonea wivu unataka utatuliwe wewe?

Hasara kwa taifa ni wewe kufuatilia maisha ya watu wasiokuhusu bila sababu wala tija.
mwanao wakiume akiamua kutatulia fresh tu?
 
Watu wamemjua huyu dogo juzi. Huyu dogo yupo mjini toka enzi za ud finest huko, 2016-2017.
Alishakuwaga fema huyu, baadae akawa sos diplomats na sehemu mbali mbali, hizo podcasts ni za juzi juzi tu. ajira kitu kigumu.
Alishasumbuwa huko nyuma huyu mtoto. Vijana wa 5 years ago ndio tunadunda Maisha club millenium tower. Ndioa maana kapauka.
Kwahiyo vijana wasasa msimuongelee sana. Hamumjui huyo. Alikua kisu ud and smart.
😂😂😂😂😂kumbe 2016 ni zamani sana daaa
 
mwanao wakiume akiamua kutatulia fresh tu?
Siongelei familia yangu kwenye masuala ya kufikirika.

Pia, huyo ni mtu anayenihusu, si mtu asiyenihusu.

Inaonekana uwezo wako wa kufuatilia mantiki ni mdogo.

Mimi nakuambia huna haki ya kumpangia maisha mtu asiyekuhusu, wewe unaniuliza swali la mfano wa mtu anayenihusu.

Hata huelewi hoja.

Logical fallacy. Logical non sequitur.

But I doubt you will get that through your head.
 
Habari wadau.

Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA.

Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm

Huyu binti hajasoma kayumba toka shule ya msingi ni shule za ada kubwa maarufu kama english medium.

Baada ya kumaliza chuo kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.

Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka, huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada, halafu baada ya kumaliza chuo mwanae huyo anaishia kuwa kungwi mtandaoni hapa ni lazima afe kwa msongo wa mawazo

Hili ni somo kubwa sana kwamba hichi kizazi cha kisasa Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa kujinyima sana bora asome shule za kawaida tu. Maana ajira za maana hakuna. Hata angesoma shule za serikali ukungwi angeumudu tu
Slut
 
Siongelei familia yangu kwenye masuala ya kufikirika.

Pia, huyo ni mtu anayenihusu, si mtu asiyenihusu.

Inaonekana uwezo wako wa kufuatilia mantiki ni mdogo.

Mimi nakuambia huna haki ya kumpangia maisha mtu asiyekuhusu, wewe unaniuliza swali la mfano wa mtu anayenihusu.

Hata huelewi hoja.

Logical fallacy. Logical non sequitur.

But I doubt you will get that through your head.
Logically inconsistent...hujielewi mkuu

We unadhani anayekuhusu ni mwanao tu au sio?

Binadamu ni social being we kiande

Jiulize kwa nini wakati wa corona waliokuwa infected waliwekwa quarantine?
Nakusaidia kukujibia tu wewe kiazi...ni kukulinda wewe ambaye unasema watu wengine hawakuhusu.
 
Habari wadau.

Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA.

Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm

Huyu binti hajasoma kayumba toka shule ya msingi ni shule za ada kubwa maarufu kama english medium.

Baada ya kumaliza chuo kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.

Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka, huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada, halafu baada ya kumaliza chuo mwanae huyo anaishia kuwa kungwi mtandaoni hapa ni lazima afe kwa msongo wa mawazo

Hili ni somo kubwa sana kwamba hichi kizazi cha kisasa Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa kujinyima sana bora asome shule za kawaida tu. Maana ajira za maana hakuna. Hata angesoma shule za serikali ukungwi angeumudu tu
Accumen Mo na darcity hawajaiona hii?
 
Naskia kuna dogo kazama matopeni kushuhudia ukungwi kwa kungwi kama umo. Ngoja tumtafute aje hapa atoe ushuhuda kama yaliyomo yamo kwel
 
Habari wadau.

Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA.

Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm

Huyu binti hajasoma kayumba toka shule ya msingi ni shule za ada kubwa maarufu kama english medium.

Baada ya kumaliza chuo kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.

Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka, huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada, halafu baada ya kumaliza chuo mwanae huyo anaishia kuwa kungwi mtandaoni hapa ni lazima afe kwa msongo wa mawazo

Hili ni somo kubwa sana kwamba hichi kizazi cha kisasa Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa kujinyima sana bora asome shule za kawaida tu. Maana ajira za maana hakuna. Hata angesoma shule za serikali ukungwi angeumudu tu
Wewe ndiyo mama yake? Kwahiyo uchungu wa mwana ajuaye mzazi?
 
Back
Top Bottom